Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Unapotezea eeh? Naategemea Waandishi wa habari mjikite zaidi katika habari za uchambuzi wa kina kuliko kuripoti matukio jambo analoweza kufanya mtu yeyote mradi anajua kuandika kiswahili... Kwa nini tunajidanganya eti Tanzania ni nchi ya amani, ni kisiwa cha amani, ni nchi salama, na hii yote ni kazi ya chama tawala!!!!
Hakuna cha uchunguzi hapa... mhusika anajulikana (UDHAIFU WA SERIKALI NA VYOMBO VYAKE KUMLINDA MTANZANIA)...
anayetaka uchunguzi amemiss maigizo ya kamanda Kova...
Ila wafitini wote mnaolipwa vijisenti kujikimu matumboyenu ili kulichafua gazeti la T.daima,viongozi wa Cdm na Cdm yote hamtofanikiwa,mtauwa,mtatekawatu sana lakini mwisho mtaumbuka kama ilivyokuwa kwa ulimboka nawengine,Cdm tunazidi kupaa mana Mungu yuko pamojanasi.Nasasa tupo vijijini tunazidi kuuamsha umma na kuvuna wanachama lukuki!
mchumia tumbo tu huyu. mnafiki na anayechangia kwa kiasi kikubwa kuharibu profession ya uandishi nchini...hii ni dawa ya unafiki, bado yule Bagenda.
Mbona mnaleta utani na maudhi,
Mwandishi kaumizwa na tunaambiwa katobolewa jicho
Badala ya kumpa pole na kumuombea apone
nyie mnaleta hasira za kisiasa Eti Chama Tawala
"Kwa nini tunajidanganya eti Tanzania ni nchi ya amani, ni kisiwa cha amani, ni nchi salama, na hii yote ni kazi ya chama tawala!!!!
Humu Tanzani kuna mijitu ina ROHO MBAYA sijawahi ona
Ndugu yangu nakuombea kwa MUNGU upone na Ulimwengu utafahamu ni nani kutoka Rohoni mwako na uwaumbue wote waliokudhuru na kutaka kukuangamiza maisha yako kwa ajili ya siasa Uchwara za Tanzania
