Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

Nadhani hapa CDM inatajwa kwa sababu ndiye mmliki wa Tanzania Daima ambako KIBANDA alikuwa akifanyia kazi na kuondoka baada ya kutoelewana na wakubwa.
Mimi stashangaa, manake kama wanaweza kutangaza namba za simu za viongozi wa kiserikali ili watukanwe hili watashindwaje
Kwa mtizamo wako CHADEMA wana interest gani na Kibanda kiasi cha kumpiga, kumjeruhi na kumwacha bila kumuua? Ninafikiri kama wana bifu naye kwa vyovyote vile wangekwenda na bunduki na si haya marungu na mapanga? Na kwa hakika kama kuna ushahidi walitaka kuuficha, basi wangemchinja kabisa, wasingemwacha hai. Kwa mtizamo wangu naona kuna watu wamefanya haya ili kucall attention fullani, na hilo kwa hakika limefanywa na CCM ili kuibua propaganda kama hizi zinazoendelea hivi sasa za kwamba eti CHADEMA ndiyo wamamshambulia Kibanda. Ni vema watu wajue kwamba CHADEMA haimiliki gazeti, na haina sababu zozote za kumshambulia Kibanda kwa namna yoyote ile kwa kuwa hana maslahi yoyote na CHADEMA otherwise, Liliani Mbowe mmiliki wa gazeti anaweza kuulizwa, japo sioni connection kulingana na mazingira ya tukio.
 
ina maana mkuu ule mgogoro uliomfanya kibanda ahame gazeti lao ndio jamaa wameamua kumfanyia haya?

nadhani wewe utafutwe ulisaidie jeshi la polisi inaonekana unaahbari za kutosha juu ya mpango huu ....mlikaa hotri gani kupanga haya
 
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
There you are, ulijuaje mkuu.
 
Huu ni UGAIDI,ni UKATILI uliofanywa na AL-QAIDA na washirika wao AL-SHABABU.Lazima CIA na FBI waja wafanye uchunguzi na kuwachukulia hatua za kuwapeleka GWANTANAMO hawa MAGAIDI maana serikali yetu ni DHAIFU sana.DR.NCHIMBI njoo na MATAMKO yako yale ya ZANZIBAR.Chezea BUKU HARAMU weye!
 
Mpango wa Rostam, Lowassa na Bashe ndio maaana walimwamisha Tanzania Daima ili wapate full Data na Mida yake ya kurudi home ndio maana kaumizwa.Nasikia Wamemtoa Jicho Moja.Tamaa Mbele Mauti Nyuma.Si alikimbilia Dau kubwa.Mungu amsaidie.
Mkuu pengine una point ila hujaweka sawa. Mwisho inaonekana kama unapiga story za kijiweni. Kwahiyo unamaana wamemleta habari corp ili awe karibu nao, then wamdhuru!!!!!!?
 
Hivi wewe mzima kweli?

wewe ni mburula kitambo , nilikuaminia sana nikidhani unabusara lakini kadri siku zinavyokwenda nakuona unafaidika na udhalimu wa serikali hii ndiyo maana commited anakupa za uso,mimi ni mstaafu pia lakini naona wewe ndiye mgonjwa
 
Waanzilishi wa JF na Moderators,

Nina ushauri ninataka niutoe kwenu leo, nimejiunga na JF tangu mwaka 2008 na mambo yalikuwa yanakwenda sawa ni hivi karibuni tu baada ya kuibuka wimbi la vijana wanaomaliza elimu ya kidato cha nne kwa kuchora mazombie ndipo uchangiaji wa mada hata kwa masuala nyeti umekuwa ni wa mzaha, matusi na hoja dhaifu zisizokuwa na mashiko, haiwezekani habari ya kushtusha, kusikitisha, kuhuzunisha na kughadhabisha kama hii baadhi ya watu waandike mambo ya hovyo hovyo kama haya.

Nionavyo mimi ni kuwa perception za baadhi ya watu kuhusu JF kwa ujumla ni kwamba hii ni forum ya recreation kwa ujumla wake na hivyo unapokuwa umechoka basi unarelax kwa kuja huku na kufanya mzaha ( Ninaelewa yapo majukwaa ya mizaha lakini yapo mengine ambayo sio ya mizaa mathalani JF Doctor, Habari za Kisiasa, Jamii Intelligence n.k)

USHAURI WANGU:

Futeni membership zote JF na watu wajiandikishe tena lakini this time kwa kutoa kamtihani fulani hivi cha kutest IQ za wanaotaka kujiunga. Imenisikitisha sana tukio kama hili na mengine kama haya yaliyowahi kutokea then watu wanacomment mzaha, mbaya zaidi unakuta wengi ni vijana wenzangu ambao walitakiwa wawe smart kwenye kufikiria, kuongea, kuandika na hata kutenda kila jambo.

nakubaliana nawe mkuu. Yani jukwaa limekuwa ni mashindano za pande 2 kisiasa, kidini kwa mashindano ya kejeli na uzushi usio na ushahidi.
Kwa muda mrefu JF kimekuwa kisima cha hoja, fikra endelevu. Ni vyema tusiharibu hii sifa. Just imagini ni blog gani tz au east africa ambayo anytime unapo log in unakutana na zaidi ya wasomaji 20,000!!!!!????
 
tanzania sasa hakuna amani ukieleza ukweli unajeruhiwa ikiwa ishara kukuziba mdomo
 
Achana nao hao hawana lolote wanaropoka baada ya kudanganywa na mwenzao humu anajifanya mwandishi wa habari!
Ujinga wa namna hii umefanywa na offisi mpya hili kuichafua ofisi ya awali na cdm!

Tusiendekeze ujinga,Tanzaniadaima wanahusikaje na kuumizwa kwa kibanda?,ulikuwapo siku mbowe anamuaga kibanda,unaelewa ya kwamba mbowe hakufurahia kibanda atoke pale kutokana na kwamba alikuwa na mchango mkuwa sana freemedia?,mbowe na CDM hawawezi kufanya ujinga wa aina hiyo,wewe sema umetumwa kuvuruga ukweli sema na tukuelewe unalipwa kiasi gani?, tumwombee kibanda apate nafuuu na taarifa za sasa hivi ni kwamba ndo anapelekwa A.Kusini kwa matibabu zaidi,nadhani tayari ameshaondoka kwa mujibu wa mtu wangu wa karibu pake New habari
 
Mkuu pengine una point ila hujaweka sawa. Mwisho inaonekana kama unapiga story za kijiweni. Kwahiyo unamaana wamemleta habari corp ili awe karibu nao, then wamdhuru!!!!!!?

haswaaa ...wamemleta karibu ili wamtie kikaangoni....hiyo mbinu ilikuwa inatumiwa na Russia,Cuba,Zchekoslovakia na washirika wao wa u-communist ikiwemo tz na hasa walitumia vidada virembo sana ....unajipatia toto unalifakamia unaliweka kati amri kwa sana mnafunga na ndoa kumbe anakuwa wakati mwingine hata ni mke wa mtu ila yuko kazini.Pia nasikia miongoni mwa hao aliowataja mdau kuna mmoja anachezewa huo mchezo na mrembo wake pasipo yeye kujua ,anajua ni mke kumbe mtu yu kazini ,usicheze na dunia
 
nakubaliana nawe mkuu. Yani jukwaa limekuwa ni mashindano za pande 2 kisiasa, kidini kwa mashindano ya kejeli na uzushi usio na ushahidi.
Kwa muda mrefu JF kimekuwa kisima cha hoja, fikra endelevu. Ni vyema tusiharibu hii sifa. Just imagini ni blog gani tz au east africa ambayo anytime unapo log in unakutana na zaidi ya wasomaji 20,000!!!!!????
Ni vigumu sana kuwa na chombo cha kisasa kinachopima uzito wa hoja ...ndio maana kukawa ibara ya 18 kwenye katiba ya uhuru wa maoni,tatizo hapa si michango ya wadau ila wengi wanakiu ya mabadiliko na wanahisi yanachelewa so anatfutwa mchawi ambaye tayari tunamfahamu
 
Kwa mtizamo wako CHADEMA wana interest gani na Kibanda kiasi cha kumpiga, kumjeruhi na kumwacha bila kumuua? Ninafikiri kama wana bifu naye kwa vyovyote vile wangekwenda na bunduki na si haya marungu na mapanga? Na kwa hakika kama kuna ushahidi walitaka kuuficha, basi wangemchinja kabisa, wasingemwacha hai. Kwa mtizamo wangu naona kuna watu wamefanya haya ili kucall attention fullani, na hilo kwa hakika limefanywa na CCM ili kuibua propaganda kama hizi zinazoendelea hivi sasa za kwamba eti CHADEMA ndiyo wamamshambulia Kibanda. Ni vema watu wajue kwamba CHADEMA haimiliki gazeti, na haina sababu zozote za kumshambulia Kibanda kwa namna yoyote ile kwa kuwa hana maslahi yoyote na CHADEMA otherwise, Liliani Mbowe mmiliki wa gazeti anaweza kuulizwa, japo sioni connection kulingana na mazingira ya tukio.


Siasa Chafu za CCM na wapenzani wao.CIA na FBI kamata hawa jamaa na peleka Gwantanamo maana wanataka kutuharibia nchi yetu kwa faida ya matumbo yao na Familia zao.Bungeni na kwenye majukwaa ya siasa wanatokwa na mapovu na udenda utazani wanaitakia mema nchi hii kumbe wanatafuta Neema ya matumbo yao na familia zao
 
...Ndiyo zao, wanatuma wa kukudhuru then wanakuwa wa kwanza kukutembelea... !! safari hii kuzuga, wanamtanguliza Ronaldhinyo !
Ili uwapoteze lengo polisi,waache kuchunguza na kukugundua, unashauri waanzie mahala pengine ili wewe uendelee kufaidi fedha uliyolipwa kwa ufedhuli huo...
 
Kwa mtizamo wako CHADEMA wana interest gani na Kibanda kiasi cha kumpiga, kumjeruhi na kumwacha bila kumuua? Ninafikiri kama wana bifu naye kwa vyovyote vile wangekwenda na bunduki na si haya marungu na mapanga? Na kwa hakika kama kuna ushahidi walitaka kuuficha, basi wangemchinja kabisa, wasingemwacha hai. Kwa mtizamo wangu naona kuna watu wamefanya haya ili kucall attention fullani, na hilo kwa hakika limefanywa na CCM ili kuibua propaganda kama hizi zinazoendelea hivi sasa za kwamba eti CHADEMA ndiyo wamamshambulia Kibanda. Ni vema watu wajue kwamba CHADEMA haimiliki gazeti, na haina sababu zozote za kumshambulia Kibanda kwa namna yoyote ile kwa kuwa hana maslahi yoyote na CHADEMA otherwise, Liliani Mbowe mmiliki wa gazeti anaweza kuulizwa, japo sioni connection kulingana na mazingira ya tukio.

Tanzania Daima gazeti la Mbowe,Lilian Mke wa Mbowe na Mmiliki wa Chadema ni Mbowe! Bado huoni Connection?
 
Mimi si mfanyakazi wa Tanzania daima na sina sababu yoyote ya kuleta ujanja ujanja wa kuitetea Tanzania daima kwa namna yoyote ile kwa kuwa sijawahi kuwa na maslahi nayo.
i
Lakini nimeuliza swali kwamba, Kibanda hakuwahi kuwa na mgogoro na Tanzania daima, na aliondoka kwa amani kabisa na kwa kufanyiwa sherehe ya kuagwa, lakini alikuwa na mgogoro na serikali, kiasi cha JK kusema kabisa kule Ethiopia kwamba anakerwa na magazeti yanayochochea jeshi kuasi. Na hilo suala la jeshi kuasi liliandikwa na gazeti la Tz daima wakati Kibanda akiwa mhariri, na hadi hivi sasa ana kesi ya kujibu mahakamani kwa kosa la uchochezi.

Je huoni kwamba JK, anahusika katika hili kwa kuwa alikerwa na habari iliyoandikwa na kibanda? Ni kwa vipi, Pinda alihusishwa na ule mgogoro wa Ulimboka kwa kusema liwalo na liwe, lakin JK asikihusishwe kwenye hili kwa kutamka wazi kwamba alikerwa na habari yake? I am just thinking aloud, kama una utetezi wowote wa kunishawishi nisiendelee kufikiria ninavyofikiria basi ulete.

nimekupata mkuu. You hv realy thought aloud. Wanatafuta pa kutokea.
 
Kwa mtizamo wako CHADEMA wana interest gani na Kibanda kiasi cha kumpiga, kumjeruhi na kumwacha bila kumuua? Ninafikiri kama wana bifu naye kwa vyovyote vile wangekwenda na bunduki na si haya marungu na mapanga? Na kwa hakika kama kuna ushahidi walitaka kuuficha, basi wangemchinja kabisa, wasingemwacha hai. Kwa mtizamo wangu naona kuna watu wamefanya haya ili kucall attention fullani, na hilo kwa hakika limefanywa na CCM ili kuibua propaganda kama hizi zinazoendelea hivi sasa za kwamba eti CHADEMA ndiyo wamamshambulia Kibanda. Ni vema watu wajue kwamba CHADEMA haimiliki gazeti, na haina sababu zozote za kumshambulia Kibanda kwa namna yoyote ile kwa kuwa hana maslahi yoyote na CHADEMA otherwise, Liliani Mbowe mmiliki wa gazeti anaweza kuulizwa, japo sioni connection kulingana na mazingira ya tukio.
Wewe ni msemaji/wakili wao?
 
Yakitokea Bara ni majambazi lakini Zanzibar ni magaidi! kizungumkuti hicho!
 
Back
Top Bottom