Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

Ni jambo la kheri sana kusimama peke yako kuutetea ukweli. Ones man's freedom fighter is another man's terrorist. Kwangu mimi Kinana anazo sifa nilizozitaja na kimsingi ni tishio kwa ustawi wa upinzani. Sasa mnataka tuwe na taifa la watu wanaofikiri sawasawa kila siku? Huu hakika ni upuuzi wa kitaifa

Kaa kimya wewe na acha kuzidi kujidhalilisha.Nenda kachukue mshiko wako kwa sababu kazi uliyopewa umeifanya kwa uaminifu mkubwa.
Ni aibu kubwa kuuza utu wako kwa vijisenti kidogo huku ukiwasha moto nyumba yako mwenyewe unayolala ndani.

BTW,usibishane kijinga na kila mtu hapa jamvini huenda wengine unaojibizana nao huu ujinga unaoutetea ni waajiri wako.Ama sivyo nimekuambia tena amua moja Jiondoe nenda kaombe kazi Uhuru na Mzalendo.

Huu ni mchango wangu wa mwisho kwenye thread hii....!
 
Sir
you have every reson to fear kinanana wa pale karibu na jollys. As an ex miltary. He runs a an arms and every thing freight fowarding company. Every respectable arms and dugs dealer chooses his company because of his miiltary, party and governmental connections and sir these people have enough money to kill..... You. His company has been a conduit of external smugglers. Hence his recent appointmennt. Please mwelezeni dr. Slaa afanye kazi na kweli tuko nyuma yake. Kikwete angekuwa mtu mwenye nia nzuri na tanzania asingemruhusu kinana akapata madaraka makubwa ya ushawishi kama hayo. Au kwa vile kikwete na kinana wote ni wajeshi? Kwani ukiwa mjeshi raia ni takataka? Wizi wa kubaka katiba na haki za wananchi na wizi wa waziwazi ulianza pale kikwete alipoingia jeshini na kwenye chama na hatimaye kuwa rais. Urais wa kikwete ni kw manufaa yake hadi sasa ni kwa mnufaa ya nchi.

Isotopes
 
Kaa kimya wewe na acha kuzidi kujidhalilisha.Nenda kachukue mshiko wako kwa sababu kazi uliyopewa umeifanya kwa uaminifu mkubwa.
Ni aibu kubwa kuuza utu wako kwa vijisenti kidogo huku ukiwasha moto nyumba yako mwenyewe unayolala ndani.

BTW,usibishane kijinga na kila mtu hapa jamvini huenda wengine unaojibizana nao huu ujinga unaoutetea ni waajiri wako.Ama sivyo nimekuambia tena amua moja Jiondoe nenda kaombe kazi Uhuru na Mzalendo.

Huu ni mchango wangu wa mwisho kwenye thread hii....!

Mkuu acha vitisho wewe binadamu tu wa kawaida kama binadamu wengine.
 
Sio nyie mlioshangiria wakati Tanzania Daima lilipoandika habari za "kumuumbua" Zitto Kabwe? Sio nyie mliolipa sifa kem' kem' kuwa linasimamia ukweli hata uwe unamhusu nani?

Leo tena viereje?
 
- Absalom Kibanda, my good and close friend, ni wa kumsamehe cause yeye anaajiriwa na Gazeti la Mbowe, Tanzania Daima ambalo mission yake inafahamika ya kuitukana CCM kila kukicha so is wafanyakazi wote wa Mbowe wanajulikana kuwa moja ya masharti ya kulipwa ujira wao ni kuitukana CCM at any cost, sasa ningeshangaaa sana asingemuogopa KAtibu Mkuu Mpya wa timu ya ushindi, hasa baada ya KAtibu asiyemuogopa kuongoza Chadema kwenye kushindwa Udiwani!!

- Absalom ni wakati mufaka sasa kutangaza conflict of interest, maana huwezi kuajiriwa na Mbowe halafu ukawa objective inapokuja ishus za CCM!!

Le Mutuz!!

mkuu unaongea ujinga bila shaka. Si bora hao wanaotumia gazeti lao kujipigia chepuo? Ccm ina gazeti uhuru, redio uhuru, sijui mzalendo... Bado inatumia vyombo vya umma; magazeti, tv, Dola, n.k. Uwe unafikiria kidogo usije kuwa kama Nape
 
Last edited by a moderator:
KIBANGA anafahamu uwezo wa KINANA ktk kuangamiza Democracy kupitia mlango wa nyuma! sasa anajaribu kuonyesha ni jinsi anvyomfahamu kwa kukandamiza vyombo vya habari nchi. wakatiwa uchaguzi alikuwa na kazi hiyo. Kibanda anamfahamu sana Kinana alivyoamua kuingia mstari wa mbele na Hatari yake kwa Upinzani. jaribu kufuatilia Kinana, hana rekodi nzuri kwa vyombo habari. Yeye ndo watu walotengeneza skendo ya Dr. Slaa na yule Bibie alonaye sasa wakati wa uchaguzi. Uliza watu wa studio mbalimbali za TV wakwambie alivyo kuwa anawalazimisha watangaze tu hata kama haina maslahi kwao. So Kibanga anachosema tumwelewe jamiiF:A S angry:
 
Hapa unajichanganya kwa makusudi au kwakutokujuwa, Tunafahamu kwamba Tanzania Daima ni Gazeti huru ila tunachokipinga ni Absalom Kibanda kutumika, note it.

Labda wewe ndio umembaini huyu Kibanda leo lakini watu walimshalalamikia kwa kutumiwa kuwa vuvuzela la Lowasa lakini wengine tuliyapuuzia madai haya lakini sasa nimejiridhisha rasmi kwamba huyu jamaa anatumika na wala haliitaji degree kulijuwa hilo.

Kwa sababu leo ameanza kazi ya ukarani wa Kinana ndio nikasema haitashangaza hata ukiona front page za Tanzania Daima kesho kupambwa na Picha za Kinana Mtwara, ni sehemu ya mkataba wake na Kinana.
Hii habari imepewa front page ya uhuru leo kichwa cha habari kimeandikwa hivi SLAA APINGWA NA GAZETI LAKE NI KUHUSU SEKRETARIETI YA CCM.KWELI TANZANIA NI ZAIDI YA TUIJUAVYO
 
Kazi ya Kibanda imepokelewa kwa mikono miwili na Gazeti la Uhuru...lakn Kibanda & Co wajue...CCM ya leo haittapendwa kwa rekodi ya Kinana na wenzake..ameenda Mtwara..walio Mtwara wameona,ujio wake haujapandisha bei ya korosho,haujashusha bei ya sukari na mafuta ya taa,wala haujapunguza mfumuko wowote wa bei na ugumu wa maisha!Kinana ni mfaidikaji wa mfumo,yupo pale kughilibu watu ili kuficha maovu yao waliyoyafanya ndani ya mfumo huu...kudöndoka kwa CCM ni kufichuka kwa wizi wa Kinana...kuimalika kwa CCM ni usalama wa mali na utajili haramu wa A.Kinana
 
Ni jambo la kheri sana kusimama peke yako kuutetea ukweli. Ones man's freedom fighter is another man's terrorist. Kwangu mimi Kinana anazo sifa nilizozitaja na kimsingi ni tishio kwa ustawi wa upinzani. Sasa mnataka tuwe na taifa la watu wanaofikiri sawasawa kila siku? Huu hakika ni upuuzi wa kitaifa

This is arrogance in arguing Kibanda na mara nyingi umekuwa ukibeba insults kwa wasiokuwa upande wako ili ujijengee uhalali wa upuuzi unaoutetea.Uliwahi kumtukana Sitta matusi kibao, uliwahi kuwaita Watanzania wajinga katika makala zako.

Be fair as Journalist must be, mapambo uliyompa Kinana kwenye makala yako hayaoani na kile unachodai kwamba atakuwa mwiba na mwanzo wa kifo cha upinzani. Umeshindwa hata kuunganisha dots ni kwa vipi Uluteni wa Jeshi wa Kinana, Uzoefu wake katika Uwaziri na hata ukampeni meneja kwa Mkapa na Kikwete utaweza kuleta kifo cha upinzani.

Jiulize tu, mwaka 2010 Kinana alipokuwa kampeni Meneja wa Kikwete CCM ilipata kura ngapi za urais (acha ukweli usioelezwa wa Dkt. Slaa kushinda), Mbona ndiyo ulikuwa mwanzo wa mdororo wa CCM? Halafu jiulize tena, Kinana unayeficha kichwa chako ndani ya koti lake hakuwa mjumbe wa CC na NEC ya CCM vyombo ambavyo kimsingi ni vya mkakati na top decision maker ya chama? Nini alifanya au kushauri katika kuua huo upinzani? Je alikaa kando akiona kifo na mdodoro wa chama chake?

Yaani unaandika makala plain katika mambo mazito yaliyobeba mustakabali wa taifa bila hata kuwaza nafasi ya mtanzania wa kawaida katika kuleta mabadiliko. Huwazi hata status ya upinzani ilivyo sasa, mchoko wa watanzania dhidi ya CCM, ufukara uliopo na ufisadi uliotamalaki. Umejifunia gubigubi na ndani ya mfuniko huo unamuona Kinana kama katoka mbinguni na hakuwepo ndani ya CCM kabla.
 
Tuko wapuuzi wengi, kama mwenzetu hii ndio akili yake.

Jamani, mbona wapuuzi tupo wengi! Mimi mwenyewe hapa mpuuzi , kwa mujibu wa bwana kibanda . Hivi kwanza wakuu, kesi ya huyu jamaa inaendeleaje
?
 
Tuko wapuuzi wengi, kama mwenzetu hii ndio akili yake.

Jamani, mbona wapuuzi tupo wengi! Mimi mwenyewe hapa mpuuzi , kwa mujibu wa bwana kibanda . Hivi kwanza wakuu, kesi ya huyu jamaa inaendeleaje
?
 
Pamoja na umaarufu wa Kinana bila kujali ni katika nini tunatakiwa kutosahau kwamba Gari CCM ambalo limeifikisha Tanzania hapa ilipo sasa Kinana alikuwa mmoja wa madereva wake.Twende tukiwa na mawazo hayo vinginevyo tutayumba.
 
Mkuu,
Huyu LeTotoz ni chizi. Muulize nani anawatunza watoto wake marekani.................kazi kutukana baba za watu

- HA! HA! HA! HA! HA! SIWATUNZI ila siajiba mke wa mwananchi na kutaka kuongoza wananchi wengine Millioni 50, sasa si nitawaibia wake zao wote hawa! ha! ha! ha!

- Kibanda Mfanyakazi wa Freeman Mbowe anawezaje kuandika something tofauti na this nonsense!!, anahitaji ku-declare conflict of interest kwanza kwa kuwa ni mfanyakazi wa Freeman!!

Le Mutuz!1
 
We mbona ndoa yako imekushnda?ulishndwa hata kutunza mpaka Mzee wako ndo akawa analeta hela ya matumizi!umekimbia familia mkeo na watoto,wanaume wenzako wanakulelea ,mbona sie hatusemi?

- ha! ha! ha! ha! ha! saafi sana hii ina maana hamna hoja, mimi sigombei Urais wa Jamhuri kama Rais wenu anayeiba wake za wananchi, hajawa Rais tayari anaiba wake za wananchi je akiwa itakuwaje? ha! ha1 ha!

Le Mutuz!!
 
Kakangu LeTotoz, Rais wa Ngwasuma. Muda mwingine unaonekana una akili kabla haujafungua mdomo wako.Vitu unavyoongea mara nyingi vinatisha sana. Hauna tofauti na yule ndugu yako Rais wa Akuda, anayefanana katoto kanako balehe, mwenye suruali nyeupe, anayepaki V8 kando kupiga picha kuja kutudanganya wadangayika kwamba anasafiri na bajaj ili apate sifa. Kwa taarifa yako, Mkeo ni wifi yangu

Hatudangayiki tena. Magamba nyie ni sikio la kufa hamsikii dawa. Nyepesi ni kwamba, Rais wetu ana ndoa, siyo sawa na wewe unayekimbia mke na watoto. Uliaga vipi ukiondoka marekani kurudi bongo? Kwa Obama naskia unatafutwa child support.....Jaribu kuwa na heshima kwa wazee wako. Tukianza ya Mzee Malechela na wakina Mama Kilango/Rita Mlaki utafurahi?

- ha! ha! ha! ha! ha! ha! yaani hapa sasa ndio umejikanyaga kweli, ninasema hivi Kibanda ni mfanyakazi wa Mbowe so hawezi kuandika tofauti na this childish articel, je unabisha?

Le Mutuz!!
 
- HA! HA! HA! HA! HA! SIWATUNZI ila siajiba mke wa mwananchi na kutaka kuongoza wananchi wengine Millioni 50, sasa si nitawaibia wake zao wote hawa! ha! ha! ha!

Suala la kutelekeza watoto wako na kuacha wanateseke huko marekani ni zaidi ya uwendawazimu, na jinsi ulivyo na akili matope unajitahidi kuhalalisha ujinga wako kwa kujifananisha na kichwa cha ukweli. Mwanamke haibiwi mbwege wewe, mwanamke anatongozwa na anakubali kwa hiari yake mwenyewe.

Sasa wewe utuambie kama ulizungumza na wanao kuhusu kuwatelekeza, na wao wakakukubalia ukarudi bongo kuja kuishi kwa baba yako, hata aibu hauna zee zima kula kulala. pfyuuuuuuuuuuuuuu...
 
Ok nivea sasa nimekuelewa, mwanzoni nilidhani kwamba unamaanisha kwamba kibanda ni honesty, kumbe sivyo!?
Btw mimi sijambo sana, nimeshangaa tangu usubuhi hatujaonana kabisa hadi jioni hii.
mbona tunapishana sana kwenye coridor hapo hujui tupo ofic moja .stay tuned nitakusuprise kama Yo Yo
 
Last edited by a moderator:
Kila siku mnataka nyie msifiwe wakipewa ujiko wenzenu roho zinawauma dah wabongo bana!

Wacha apewe his due credits, na nyie mkitaka sifa fanyeni yenu makubwa.
 
Back
Top Bottom