William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Absalom Kibanda, my good and close friend, ni wa kumsamehe cause yeye anaajiriwa na Gazeti la Mbowe, Tanzania Daima ambalo mission yake inafahamika ya kuitukana CCM kila kukicha so is wafanyakazi wote wa Mbowe wanajulikana kuwa moja ya masharti ya kulipwa ujira wao ni kuitukana CCM at any cost, sasa ningeshangaaa sana asingemuogopa KAtibu Mkuu Mpya wa timu ya ushindi, hasa baada ya KAtibu asiyemuogopa kuongoza Chadema kwenye kushindwa Udiwani!!
- Absalom ni wakati mufaka sasa kutangaza conflict of interest, maana huwezi kuajiriwa na Mbowe halafu ukawa objective inapokuja ishus za CCM!!
Le Mutuz!!
- Absalom ni wakati mufaka sasa kutangaza conflict of interest, maana huwezi kuajiriwa na Mbowe halafu ukawa objective inapokuja ishus za CCM!!
Le Mutuz!!
Last edited by a moderator: