Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

Kibanda aipoandika makala ya kuichonganisha serikali na majeshi yake baadaye akashtakiwa kwa uchochezi, baadhi yetu tulitokwa povu na kudai ameonewa. Leo Kibanda ameandika kuhusu uhalisia wa Kinana tofauti na tunavyomfikiria, mnamtukana na kumpa majina yote mabaya. Watanzania bwana hovyo kabisa. Kibanda ni sawa na walivyo akina Slaa na wenzake, wakifanikiwa kuiona neema ya nchi mtawaona wanavyobadilika. Mkishangaa ya Kibanda utayaona ya Slaa.
Mkuu acha kupotosha kwa makusudi.
Ile makala iliyoligusa jeshi haikuandikwa na Kibanda bali na mchambuzi binafsi, Kibanda anashitakiwa kama mhariri wa gazeti na sio uandishi wa makala ile.
 
Nadhani Jenerali Ulimwengu hapingani na Absalom Kibanda kuhusu hatari ya Kinana kwa upinzani - rejea:

"[Kinana] is an old hardnosed campaigner who gets things done, any which way but lose. His cavalier style will certainly set him apart from the John Locke-quoting Mukama..." - Jenerali Ulimwengu on CCM
 
Mkuu Ritz mimi nawashairi wana UAMSHO wote kuliko kupoteza Muda wenu kushughulikia Mambo ya CDM ni vyema mkajipanga kuanzisha chama chenu maana CCM haiwataki


"UAMSHO Bye Bye" Nnape Nnauye

Ritz, na Uamsho wapi na wapi naona makala ya Kibanda, imekuchanganya.
 
Last edited by a moderator:
Ni mtu asiyejali au mpuuzi asiyezijua vyema siasa za Tanzania anayeweza na kudharau uteuzi uliofanywa na Rais Kikwete. " Absalom Kibanda"

Hawa ndiyo washirika wa Kibanda na ndiyo watetezi wake wakuu hapa jamvini leo.
HakyaMungu mimeamini njaa mbaya.Even Kibanda? Lord have Mercy on us!
 
Wakuu Kueni Makini Magaidi ya Uamsho yamevamia huu uzi

"Bye Bye UAMSHO" Nnape Nnauye

Mkuu wewe niite utakavyo wala usihofu...mie ninamsoma Kamanda Kibanda,
 
Last edited by a moderator:
Ritz, na Uamsho wapi na wapi naona makala ya Kibanda, imekuchanganya.

Washauri wanaMagamba wenziyo kununua gazeti la Tanzania Daima kila siku kuanzia leo kwa sababu sasa hivi ni kama Toilet Paper ya Kinana.
 
Last edited by a moderator:
Washauri wanaMagamba wenziyo kununua gazeti la Tanzania Daima kila siku kuanzia leo kwa sababu sasa hivi ni kama Toilet Paper ya Kinana.
Usishangae kukuta front page ya kesho kupambwa na picha za Kinana akiwa ziarani mikoa ya kusini.
 
Mkuu Kibanda,
Ebu msome Molemo, anasema umemkandia Mbowe ambaye ni tajiri yako na mkuu wa kambi ya upinzani. Anasema ukiendelea na kazi Tanzania Daima watasusia kununua gazeti anataka ufukuzwe kazi.

Na tutasusia kweli.Asiandike chochote kuhusu Chadema wala M4C akidhani kwamba chama kitakwama.Anajidanganya.Mwaache aambatane na Kinana kwenye ziara zake ili azidi kumsifu na makala zake na gazeti lote liandike habari kama uhuru na Mzalendo.
Nimhakikishie Kibanda hawezi kukwamisha Mageuzi.Chadema itatangazwa tu,hata Nipashe linatosha.
 
Last edited by a moderator:
Usishangae kukuta front page ya kesho kupambwa na picha za Kinana akiwa ziarani mikoa ya kusini.

Na ndivyo itakavyokuwa Mkuu Matola.Ni lazima amemtuma mwandishi aambatane na msafara wa Kinana.
 
....Kwa jina la MUNGU ningelikuwa mimi ndio KINANA nisingelikubali kurudi tena katika system na kutumika katika aibu kama hizi.... ningeamua kustaafu completely na kula bata wangu kimyaaaaaaaaa......

MUDA ALIOTUMIKA NA KASHFA NA MAJARIBU, MATATIZO, LAWAMA na kusingiziwa ningesema yatoshaaaaaaaaaa.... napumzika na kufanya mambo yangu halali kabisa......
 
Hawa ndiyo washirika wa Kibanda na ndiyo watetezi wake wakuu hapa jamvini leo.
HakyaMungu mimeamini njaa mbaya.Even Kibanda? Lord have Mercy on us!

Molemo,
Msome vizuri Absalom Kibanda, utamuelewa tatizo lako unataka Kibanda, kila siku hawasifie Chadema siku akiandika mawazo tofauti na Chadema mnamshambulia kuwa njaaa mbaya. Uandishi wa habari ni taaluma kuna misingi yake.
 
Last edited by a moderator:
Na tutasusia kweli.Asiandike chochote kuhusu Chadema wala M4C akidhani kwamba chama kitakwama.Anajidanganya.Mwaache aambatane na Kinana kwenye ziara zake ili azidi kumsifu na makala zake na gazeti lote liandike habari kama uhuru na Mzalendo.
Nimhakikishie Kibanda hawezi kukwamisha Mageuzi.Chadema itatangazwa tu,hata Nipashe linatosha.

Kwa hiyo sasa hivi gazeti lenu Chadema ni Nipashe kama unavyokiri.
 
Molemo,
Msome vizuri Absalom Kibanda, utamuelewa tatizo lako unataka Kibanda, kila siku hawasifie Chadema siku akiandika mawazo tofauti na Chadema mnamshambulia kuwa njaaa mbaya. Uandishi wa habari ni taaluma kuna misingi yake.
Ni kweli hata mimi naona, kuna misingi yake kama ya Uhuru na Mzalendo, Jambo leo, Rai Al Huda, Al Nuur na baba la Habari Leo huku ukimalizia na TBC.
 
Usishangae kukuta front page ya kesho kupambwa na picha za Kinana akiwa ziarani mikoa ya kusini.

Let us not miss the point here. Tanzania Daima si gazeti la chama chochote linasimama kama gazeti huru lenye utofauti na magazeti kama ya Uhuru na Mzalendo. Pamoja na kuwa Mbowe ni owner wa Free Media bado hana ubavu wa kuingilia Bodi ya Uhariri ya gazeti. Kitaaluma Absalom Kibanda ndiye final katika gazeti ndiyo maana Mbowe hakushitakiwa kwenye kesi ya 'uchochezi' inayowakabili Samson Mwigamba, Kibanda na Theofil Makunga.

Professionally, chombo cha habari na waandishi kwa ujumla wanaongozwa na vitu kama Truth, Fairness na Balance.Kwa kuwa gazeti la Tanzania Daima linaongozwa na misingi hiyo sidhani kama ni tatizo Front page yake kubeba picha za mikutano ya CCM ndiyo maana hata wakati wa kampeni za 2010 tuliliona hili unless kama Tanz.Daima ni gazeti la chama.
 
Last edited by a moderator:
Sijaemuelewa vizuri Kibanda, ina maana Kikwete aliyemteua Kinana ni dhaifu kulilko kinana? Mimi nadhani Kikwete ndiye Mwenyekiti bado na CCM itamtazama yeye na si kinana.

Mafisadi hawatamalizwa na kinana. rushwa haitamalizwa na kinana, wizi wa fedha zetu na kuzificha nje ya nchi hautamalizwa na kinana. Yeye si mkuu wa takukuru, si waziri wa mabo ya nje, si waziri wa mabo ya ndani, si rais wa nchi. kikwete ndiye kila kitu kama kikwete alishidwa hayo haina maana kinana atetekeleza kwa niaba yake Kibanda aelewe kuwa ccm si watanzania na watanzania si ccm. kupambana na rushwa ndani ya ccm haima maana ya kuiondoa rushwa nchini.

Kibanda atambue kuwa siasa haingalii uhalisia wakati wote bali namna ya kupunguza nguvu upand kinzani. ni sawa na mabondia hawaachi kutambiana lakini. ccm na cdm ni sawa na mabondia wawili wanaojiandaa na pambano haingii akilini asimame Slaa au Mbowe aseme Kinana safi. kwa hivo ikiwa Kibanda alijibainisha mpinzani na sasa anamsifu waziwazi Kinana basi amenunuliwa kwa kusema upande mwinine uko sawa lkn wake hoi hapaswi kuingia ktk shindano maana atampa mpinzani ushindi
 
Last edited by a moderator:
Molemo,
Msome vizuri Absalom Kibanda, utamuelewa tatizo lako unataka Kibanda, kila siku hawasifie Chadema siku akiandika mawazo tofauti na Chadema mnamshambulia kuwa njaaa mbaya. Uandishi wa habari ni taaluma kuna misingi yake.

Naona unapata nguvu baada ya boss wako Nnauye Jr aliposema Uamsho bye bye
Hivi mkuu ukutoka pale Lumumba utakula wapi?
 
Last edited by a moderator:
Mpaka 2015, tutawaelewa wengi zaidi jamaa ujanja na umahiri wote wa kuchambua kumbe hii ndio rangi yake halisi. Amekwisha!
 
Kwani we umeenda shule gani ya maana kiasi cha kuwatisha wengine...ungekuwa unaitendea haki elimu yako ungeshka chaki kuutendea haki ualimu wako
Tungejenga hoja za klupingana kwa namna hii, tungesaidia kujijenga kifikra. Hii ndiyo critical appraisal inayopaswa kufanywa na watu walioenda shule.
 
Back
Top Bottom