Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana

..Kama walivyokuwa viongozi wengi wa Tanania hawatofautiani..Kinana kama Kinana anabakia kuwa Kinana... ni yule yule hajabadilika.. inawezeekana kuwa baada ya kukaa nje kwa utendaji wa moja kwa moja wa Chama alidhani kwamba watu wamesahau kumbukumbu zake... hii ni pamoja waliompa huo uteuzi..lakini Kabanda kama Kabanda makala yake imeeangalia musakabali mzima wa utendaji wa Kinana kwamba ni mtu anayeweza kufiti mahali popote yani kwenye utendaji mzuri lakini pia kwenye maswala ua kifisadi nako hachezi mbali.. hivi ndivyo walivyo viongozi wengi wa TZ
 
Bora ume muuliza maswali mazuri na wanaonekana kujua mipango yote na wana ushahidi kwanini wana ukalia wanaogopa nini?
Kwao wanataka kusema serikali ya ccm inawaogopa chadema?

Lakini nimegundua wanaogopa kwani hawana ushahidi wowote ni allegations tuu,!

 

Kazi imeanza sasa, tusubiri tuone mwisho wake.
 
NI muhimu sna sasa tubadilike, tuache kushabikia upuuzi kwasababu tukipiga propaganda kuisafisdha serikali tutapata vyeo tutasifiwa na wakubwa. hakuna mtu mwenye haki ya kuua awe CDM awe CCM, kama unapewa ujira wako kwa kumnyamazisha mwana mapinduzi inakusaidia nini..mfano waliomtesa ulimboka. hebu kaa chini ufikilie kazi yako ni kuuwa watu wanaoichana selikari, ukiisha toa roho ya mtu unakwenda kwa mkubwa wako wa kazi unamwambia nimemaliza kazi, basi unafurahi unapewa mshaara wako unakwenda kula na watoto wako nyumbani na bia hiyo siku unakunywa, na unakuwa ukisikiizia kwa makini kama utapandishwa cheo kwa kuua bila huruma, na unajiopna wewe ni bianadanu.
" na ukitaka kujua ni kazi ya laana hawawezi kuitangaza hadharani, kama mimi ni muhasibu, mimi mkulia...kwasababu wana jua wana fanya uchafu mkubwa sana.n alaana iwe juu yao
 
HIvi kitu ambacho naiuliza na nashidwa kupata jibu, hivi huyo mtu anye ingia umu kushabikia matendo machafu yanayo fanywa na serikali ni binadamu kweli au nimizuka isiyo kuwa na roho. "TANZANIA KISIWA CHA AMANI< TUNAJIVUNIA UMOJA WETU. kazi kweli kweli
 
hudhani nini. kwamba kibanda kaandika upuuzi au hudhani kama CHADEMA na Mbowe wanahusika na tukio la kibanda

Lakini hapa wote tunatwanga maji katika kinu tu.

Kama ile tume iliyoundwa kuchunguza tukio la Dr. Ulimboka na ile ya marehemu Mwangosi zingelikuja na majibu basi haya matukio yasingeliendelea kutokea.

Lakini bado hatukupewa matokeo ya tume zile na leo imeundwa tume nyingine tena bila shaka haitaleta majibu kwetu walipa kodi kama kwa tume zilizoitangulia (FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE).

Utesaji wa Kibanda na ule wa Dr. Ulimboka unafanana, bila shaka wahusika ni wale wale.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 


haya yote yanasabaishwa na wanasiasa. Wanapandikiza chuki miongoni mwa wananchi ilimradi tu kujitafutia umaarufu. Sasa kama hili za KIBANDA limetokana na makala hii si ni hatari sana, mbona hakuna jambo baya aliloliandika hapa zaidi ya kusema ukweli mtupu. Mbona hivi sasa CDM hawalali usiku kucha utasikia NAPE, MWIGULLU, MANGULA, KINANA, mara Wasira, utafikiri kazi yao ni kuongelea CCM. Mungu amsaide KIBANDA apone haraka jamani.
 


Unaleta mahubiri ya ustaadhi ILUNGA?!!!...
 

Umekula kiti moto?!..
 

Umesema ni la mwenyekiti wa CHADEMA na hapo hapo unasema ni la chadema???? Kwa hio Kampuni ya kusafirisha meno ya tembo,Ile ya katibu mkuu wa CCM ,Bwana kinana pia hiyo kampuni ni ya CCM? Kweli wewe poyoyo
 
ukiweza kufanya analysis vizur bila kua bias wakati wa issue ya ulimboka niliona upande wa pili kwa mtizamo wangu na mateso ya Kibanda yanazid kunifungua macho.
iko hivi issue ya ulimboka ilikua ni ya uchonganishi kunawatu walijipenyeza kati na kwakujua kua kufanya vile kutazidisha ugomvi kati ya Madaktar pamoja na wananchi dhidi ya Serekali ili wao kupitia huo ugomvi wapenye katikati na kuanekana mbadala.(a) wamijisahau wakautumia mbinu zile zile kwa adui yao anayejulikana wazi kama ndivyo sikutegemea
(b) Mchezo walioufanya wao thidi ya ugomvi kati ya ulimboka na serekali wamefanyiwa wao kuchonganishwa na waandishi wa habari.
tumefika mbali sana na huu mchezo wa uchonganishi kwani hata maswali na kidini yanafinyika kwa kutumia mchezo mchafu unamwagia tindikali mwenzako ili useme upande wa pili unahusika, mnatoa uhai wa mwingine ili kusingizia flani ndo wahisika.haya yote yana malipo.
 
Ili mradi yupo hai
basi yeye ndo aisaidie polisi kutaja suspects...

mengine yote porojo

Kwa uduni wa haw awatu mara wapatiwapo dozi ya Uli au ya mwakyembe, utashangaa wakiwa useful ------ zaidi.Wakirudi sijui wanakuwa wame wa format au.Mwone hata Zitto.

Jamaa anaponea tundu la sindano akirudi airport cha kwanza ni kumshukuru JK na serikalia yake sikivu.Halfu anaongeze akuwa atapambana na hao watu .Full stop.Hutamsikia tena zaidi ya kutoa smile mbaya ya majeraha na mapamabo kwa JK.
 
NDO KUSEMA HATA MWAKYEMBE ALIFANYIZIWA NA CDM, mh! Pole ndugu zangu wanambeya! Ulimboka, Mwangosi, Mwakyembe, na yule jaji nani aliyefia getini kwa kupigwa risasi! Duh! mbombo ghafu!

Mwigulli anao mkanda wa mipango ya mauji inawezekana, tusubiri mbona unahamaki mkuu, kwani kama mtandao wao ni mkubwa watashindwa nini kuwadhuru hao uliowataja?
 

naona mnaanza kuweweseka. kama mnafanya kwa lengo la kupata posho hiyo imekula kwenu. Mna kesi ya kujibu Mbele ya Mungu aliye Mkuu
 

na mbowe aliyemsifia kikwete kwa kujenga barabara kwao utamwitaje?
 
Mmmmh inawezekana mtu yeyote akimua kutengeneza story inaweza kushabikiwa na wa2 hata kama story ya kufikirika(fiction).sijui kama tutafika kwa njia ya kudivert attention za wa2 kwenye matukio makubwa.mind you,you can not fool all people at a time.Mungu ibariki Tanzania na wa2 wake.
 
Umesema ni la mwenyekiti wa CHADEMA na hapo hapo unasema ni la chadema???? Kwa hio Kampuni ya kusafirisha meno ya tembo,Ile ya katibu mkuu wa CCM ,Bwana kinana pia hiyo kampuni ni ya CCM? Kweli wewe poyoyo

kampuni na propaganda kama FREEMEDIA haiwezi kujitenga na CHADEMA. ndiyo maana katika hiyo makala, Kibanda kaandika kama Mhariri Mkuu wa FREEMEDIA lakini anajinasibisha na CHADEMA na anaowahadharisha ni viongozi wa chadema. hutumii nguvu kufikiri hapo
 
Me ninachotaka ni kwamba hawa wanao sema ni chadema wapeleke ushahidi hili ushsughulikiwe mapema pengine si wanajua na wana uhakika ni chadema labda tume italeta majibu!

 
Huyo zakia meghji muheshiwa si anazo scandal kibao za wiki kipindi akiwa wizara ya fedha na maliasili,sema lingine yani hapo katolewa afadhali kaingia potelea kwa mbali yote magamba

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…