Kibanda ameumizwa Ccm wanatake oportunity, huku ni kukosa ubinadamu..nakumbuka ile issue ya Chacha Wangwe walifanya hayahaya, tunashukuru Mungu wanatarime waliwadhalilisha vibaya sana na uchafu wao ukafia hapo
ndugu hawa ndo wapambe wa selikali, huranda randa huko na huko wakiwa na makopo ya poda na marashi huku wakisubiri wakubwa wanye au wajampe, ndipo wao waanze kunyiza poda na uturi ili kuficha harufu. Nawaona humu janvin wamejazana namakopo yao.....Tunajua kuwa mmetumwa humu jf ili kuhamisha ukweli wa serikali kuwadhuru wanahabari, watanzania tunatambua kuwa usalama wa wanahabari yapo hatarini kwa kuweka wazi uozo wa watawala
wafuasi wa chadema walio wengi ni vipofu. hawajui usiku wala mchana na rangi kwao si kitu maana hawawezi kuzitenganisha. hawajui uzuri wala ubaya wa mtu na wala hawajui maana ya urefu na ufupi. jinsi KIBANDA alivyofunguka, leo mijadala isingeibuka kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kutekwa na kuumizwa kwa KIBANDA. wenye akili wanajua bayana kuwa Mzee wa Visasi Mbowe anayo siri nzima ya tukio hilo
na nyie mnaposema TISS na polisi wanaua mbona mnajificha? sisi tumejipanga vizuri na katika kipindi hiki wakubwa zenu wataumbuka
mnajua mnayoyajadili? Suspects zenu pelekeni polisi si chama chenu ndio chenye dola? Why keeping a dog and bark yourself ? Stop medling with our time! Msiwafanye watz machizi,mlianza na udini sasa mmepractice umafia na mnaanza kuuaminisha uma ya kwamba ni cdm! Watanzania watapima na wataamua ! Kun'gamua mbivu na mbichi.
Huyu bwana anaandikia gazetu gani? Hata km uhuru wa maoni unaruhusiwa, Naamini sio mtz.
Itakuwa ni uhuru ama mzalendo
tatizo mnapambana na uhalifu kupitia vyombo vya jabari. Sasa mtu kama kova anahusisha tukio hilo na uadui tena wa kisiasa ina maana anawajua waliotenda hayo. Kuhama kwa kibanda toka free media ni kuwalamba miguu wakubwa kutokana na kesi inayomkabili hivi sasa. Inabidi awatumikie then nao watamsaidia kufifisha kesi hiyo. Kibanda namuona kama mwana mapinduzi aliyejisalimisha katika vita ya kutetea haki. Ni msaliti wa wanyonge katika kuwapazia sauti kwa kutumia kalamu yake, matokeo yake anakua kibaraka kwa wenye pesa kwa ajili ya maslahi binafsi. Mnaposema cdm wanahusika kisa tu eti aliandika makala ya "ninmwogopa abrahamani kinaa" akiwa free media si kweli, kumbukeni freemedia sio mali ya chadema bali ni mali ya mbowe. Kama makala aliypkuwa akiandika ilikua ni kumfurahisha bosi wake akiwa freemedia na sasa kahamia huko na tabia hizo hizo basi anaonyesha ni jinsi gni alivyokua kahaba ktk tasnia ya habari amabayo imepelekea hata kuonekana kuwa si mpambanaji. Hana tofauti na mwakyembe aliyepiga kelele kuhusi fichmond walipomtenda sasa hata hamu ya kuisikia richmond hana tena. Tukagundua hakuwa na uzalendo kwa watanzania ila chuki binafsi dhidi ya lowasa. Hilo ndo tatizo la wanasiasa wa tanzania na baadhi ya wananchi kuwa wanafiki.
mnajua mnayoyajadili? Suspects zenu pelekeni polisi si chama chenu ndio chenye dola? Why keeping a dog and bark yourself ? Stop medling with our time! Msiwafanye watz machizi,mlianza na udini sasa mmepractice umafia na mnaanza kuuaminisha uma ya kwamba ni cdm! Watanzania watapima na wataamua ! Kun'gamua mbivu na mbichi.
huo si ugomvi wenu wa misikiti?! Uliwahi kuona mkristo akisherehekea kitendo cha shehe kumwagiwa tindikali?.. Mbona nyie mnashangilia, soma website ya uamsho ujue kifo cha mushi kilivyofurahisha kundi hilo la kigaidi.
akidhuriwa mwislamu mnasema ni ugomvi wa msikiti. Akifa au kudhuriwa mkristo mnasema ni waislamu. Acheni udini huo chadema
akidhuriwa mwislamu mnasema ni ugomvi wa msikiti. Akifa au kudhuriwa mkristo mnasema ni waislamu. Acheni udini huo chadema
hi wanachadema. natumaini mmeugulia vibaya sana na maumivu ya hiyo post. hayo mbona hamkujadili ilipopostiwa mwanzo? kweli ukweli unauma sana