Abraham
Senior Member
- Oct 9, 2008
- 115
- 11
Uzuri wa sisi Man Utd.. hatuangalii sura kwa kuwa kwenye mashindano haya hakuna urembo ni kazi kazi tuu. Kama ulivyoona tumeshinda 3: 2 nyumbani kwao. Pamoja na hizo historia zao sisi hatujali wala nini hata ingekuwa fizikia au geografia halaaa wanatuletea urembo sisi ... wakamuulize Jose Morinho na inter yake walifanywaje mwaka jana !
NA kama tujuavyo InterMilan ni bore kuliko AC Milan by far in the recent seasons.
NA kama tujuavyo InterMilan ni bore kuliko AC Milan by far in the recent seasons.