AC Milan vs Man UTD...

AC Milan vs Man UTD...

Sijakimbia sheikh lakini nina wakati mgumu sana hapa nilipo.
kuna wachezaji wa Milan wamenisononesha saaana.
hakika Milan ni timu kipenzi changu na najivunia hilo.
Ila narudia KUNA WACHEZAJI WA MILAN WAMENISONONESHA MNO.

Finally umeonekana,nilidhani uko buzy na lasagna)):ha ha
Pole kwa kufungwa, tusubiri marudiano!!...Ipongeze Man U basi..
 
Ninaifahamu na kuipenda kwa moyo wangu woote klabu ya AC Milan.
milan ni timu kubwa barani ulaya na kwa namna moja ama nyingine huwezi kuifananisha na Chelsea, Liverpool, Man UTD au Arsenal.

Milan ina mafanikio makubwa ktk medani ya soka kupita klabu hizo nilizozitaja hapo juu.

Milan kama Milan pia ni timu inayothamini wachezaji wenye umri mkubwa na ndio maana huwezi kusikia kuna chembe chembe yoyote ya utovu wa nidhamu.

ktk kipindi choote tangu nimeifahamu AC Milan sijawahi kuona imezidiwa ktk nafasi ya kiungo kama ilivyozidiwa leo haswa kipindi cha pili kilivyoanza mpk kocha alipokumbushwa na washabiki wenye uchungu waliokuwa wanaimba nyimbo za kuwatukuza watu kama Seedorf na Pippo kwa rugha ya kitaliano.

majonzi niliyonayo hapa ni wazi kuwa hata yule kocha wetu ambaye tunamuheshimu na ataendelea kuheshimika muheshimiwa Carlo Ancelotti atakuwa anayo pengine zaidi yangu.

Leo hii ukimuuliza Ancelotti ni kitu gani haswa kimeifungisha AC basi atakwambia ni mfumo uliopo sasa wa kubadili tamaduni za Milan za kuamini wazoefu.

Kwa miaka ya hivi karibuni ulimwengu ulishuhudia AC ile ya Ancelotti ikiifunga na kuitoa Manchester kila kukicha.
Na ukijaribu kuangalia utagundua Ancelotti amekuwa akijaza wakongwe wa Milan anbao wanajua nini uchungu wa kufungwa ktk chmps league.

Milan hiyo ilikuwa na mtu mwenye umri mdogo na mgeni Kaka tu, lakini alikuwa anazungukwa na kundi la wazoefu ambao mara zote walikuwa wanambeba...

hakika kitu kilichoifungisha milan leo ni upangaji mbovu wa timu yetu ambayo hasilani abadani HAIJAWAHI KUSAIDIWA AU KUTENDEWA WEMA NA WAGENI AU WATOTO AMBAO WANA HADHI YA NYOTA 4 KUSHUKA CHINI.

Hivyo ni wazi kuwa kama AC wangekuwa na viungo kama seedorf, gatusso, pirlo na ambrosini huku Dinho akipewa nafasi ya kuchezea mpira kisha mbele akapewa muda wa kutosha super pippo basi ktk thread hii ningetamba peke yangu na wageni ambao wangekuwa wanaingia kunipa hongera.

Hakika Watoto na wageni wametuua Milan.
Watoto wasiojua umuhimu wa kutumia nafasi unazozipata nyumbani wametuua.
Wachezaji wasiojua misingi ya milan wametuua.
Upangaji mbovu wa timu umetuua.
Inasononesha jamani, inasononesha
 
All in all hands shakes hongera sana Man UTD...
but msisahau final series itakayopigwa old traford ambayo itapewa jina la the return of Gatusso....
Naomba niwaage
Adios...

Forza Milan
 
Dida, cafu, maldini, stam, nesta, gatusso, pirlo, ambro, ruicosta, crespo na seedorf...

Je ktk kikosi hicho nani ambae si old men? Na unajua kuwa ktk kikosi hicho Man aliparamiwa mara ngapi?Usikurupuke.

Unachotakiwa kufahamu ni kuwa kuna wachezaji wamefungisha leo.

Una maana fweza imetembea?
 
Usijali, huyu kijana hapa chini ndio ilikuwa bahati yake.


article-0-08529C8B000005DC-357_468x286.jpg


_47316396_carrick_ap.jpg


Huyu atasimuliwa tu na wenzake yatakayotokea Old Trafford.
 
Dida, cafu, maldini, stam, nesta, gatusso, pirlo, ambro, ruicosta, crespo na seedorf...

Je ktk kikosi hicho nani ambae si old men? Na unajua kuwa ktk kikosi hicho Man aliparamiwa mara ngapi?Usikurupuke.

Unachotakiwa kufahamu ni kuwa kuna wachezaji wamefungisha leo.

Hujaacha tu lugha zako za ******? Mwezi mzima umepiga parapara weee haya sasa dakika 90 zimeamua. Bado hutaki kukubali?
 
Ninaifahamu na kuipenda kwa moyo wangu woote klabu ya AC Milan.
milan ni timu kubwa barani ulaya na kwa namna moja ama nyingine huwezi kuifananisha na Chelsea, Liverpool, Man UTD au Arsenal.

Milan ina mafanikio makubwa ktk medani ya soka kupita klabu hizo nilizozitaja hapo juu.

Milan kama Milan pia ni timu inayothamini wachezaji wenye umri mkubwa na ndio maana huwezi kusikia kuna chembe chembe yoyote ya utovu wa nidhamu.

ktk kipindi choote tangu nimeifahamu AC Milan sijawahi kuona imezidiwa ktk nafasi ya kiungo kama ilivyozidiwa leo haswa kipindi cha pili kilivyoanza mpk kocha alipokumbushwa na washabiki wenye uchungu waliokuwa wanaimba nyimbo za kuwatukuza watu kama Seedorf na Pippo kwa rugha ya kitaliano.

majonzi niliyonayo hapa ni wazi kuwa hata yule kocha wetu ambaye tunamuheshimu na ataendelea kuheshimika muheshimiwa Carlo Ancelotti atakuwa anayo pengine zaidi yangu.

Leo hii ukimuuliza Ancelotti ni kitu gani haswa kimeifungisha AC basi atakwambia ni mfumo uliopo sasa wa kubadili tamaduni za Milan za kuamini wazoefu.

Kwa miaka ya hivi karibuni ulimwengu ulishuhudia AC ile ya Ancelotti ikiifunga na kuitoa Manchester kila kukicha.
Na ukijaribu kuangalia utagundua Ancelotti amekuwa akijaza wakongwe wa Milan anbao wanajua nini uchungu wa kufungwa ktk chmps league.

Milan hiyo ilikuwa na mtu mwenye umri mdogo na mgeni Kaka tu, lakini alikuwa anazungukwa na kundi la wazoefu ambao mara zote walikuwa wanambeba...

hakika kitu kilichoifungisha milan leo ni upangaji mbovu wa timu yetu ambayo hasilani abadani HAIJAWAHI KUSAIDIWA AU KUTENDEWA WEMA NA WAGENI AU WATOTO AMBAO WANA HADHI YA NYOTA 4 KUSHUKA CHINI.

Hivyo ni wazi kuwa kama AC wangekuwa na viungo kama seedorf, gatusso, pirlo na ambrosini huku Dinho akipewa nafasi ya kuchezea mpira kisha mbele akapewa muda wa kutosha super pippo basi ktk thread hii ningetamba peke yangu na wageni ambao wangekuwa wanaingia kunipa hongera.

Hakika Watoto na wageni wametuua Milan.
Watoto wasiojua umuhimu wa kutumia nafasi unazozipata nyumbani wametuua.
Wachezaji wasiojua misingi ya milan wametuua.
Upangaji mbovu wa timu umetuua.
Inasononesha jamani, inasononesha

Save haya maneno kwenye mkutano wa mashabi na bodi, watu wanasherekea ushindi tuu sasa hivi.
 
All in all hands shakes hongera sana Man UTD...
but msisahau final series itakayopigwa old traford ambayo itapewa jina la the return of Gatusso....
Naomba niwaage
Adios...

Forza Milan

Ahsante kwa pongezi zako, mkija Old Trafford tunapaki basi golini tunafanya kama tulivyocheza na Barca mwaka juzi.
 
All in all hands shakes hongera sana Man UTD...
but msisahau final series itakayopigwa old traford ambayo itapewa jina la the return of Gatusso....
Naomba niwaage
Adios...
Forza Milan
Mkuu hope next time utafanya 'utafiti' zaidi kabla ya kuanzisha thread itakayokusonesha tena!
BTW: Well done Manda na Belinda kwa kuwa front line to the sweet end. Now back to our
home!.
 
Pole sana GangChomba ukweli Seedorf alitakiwa kuanza ile game
Jaribuni tena next season hii safari tayari
 
utabiri mzuri....kama ilivyo kwa sheikh yahya, utabiri huwa kinyumenyume kama ngadu vile....final whistle: Milan 2: ManU 3

Akiulizwa leo atatoa ufafanuzi wa namba na tarehe hadi ieleweke kwamba alisema AC 2 Man U 3.
 
All in all hands shakes hongera sana Man UTD...
but msisahau final series itakayopigwa old traford ambayo itapewa jina la the return of Gatusso....
Naomba niwaage
Adios...

Forza Milan

mzee
ACM wamechoka,angalia perfomance yao kuanzia dakika ya 60 utakubaliana na mimi,baada ya goli lao la pili adrenalin ikapanda kidogo,otherwise they were finished after 6ominutes.....they cant cope with man utd pace for 90minutes...mind you after the 3rd goal man utd took their feet of the gas pedal which wont happen at old trafford,anyway this is football anything can happen.
 
Tusubiri Old Traford, kama Yanga wanavyosubiri Lubumbashi.
 
Wazee wa AC Milan wasingeweza kukimbizana na muziki mnene wa mashetani wekundu.Wasubiri kichapo kingine Old trafford,Vidic atakuwa tayari ameshapona hakutakuwa na makosa ya kijinga yaliyofanywa na Evans,upande wa kulia atacheza Wes Brown kuondoa kitisho cha Gaucho.

Sir Alex tayari keshaguandua jinsi ya kuidhibiti timu ya wazee.
 
Wazee wa AC Milan wasingeweza kukimbizana na muziki mnene wa mashetani wekundu.Wasubiri kichapo kingine Old trafford,Vidic atakuwa tayari ameshapona hakutakuwa na makosa ya kijinga yaliyofanywa na Evans,upande wa kulia atacheza Wes Brown kuondoa kitisho cha Gaucho.

Sir Alex tayari keshaguandua jinsi ya kuidhibiti timu ya wazee.

Ok..
Huyo mla mirungi keshagundua jinsi ya kuwafunga AC Milan.
Je na wewe umegundua nini?
 
Wazee wa AC Milan wasingeweza kukimbizana na muziki mnene wa mashetani wekundu.Wasubiri kichapo kingine Old trafford,Vidic atakuwa tayari ameshapona hakutakuwa na makosa ya kijinga yaliyofanywa na Evans,upande wa kulia atacheza Wes Brown kuondoa kitisho cha Gaucho.

Sir Alex tayari keshaguandua jinsi ya kuidhibiti timu ya wazee.

ACM wanaweza wakawafunga Man Utd mechi ya marudiano OT na kuwatoa...believe me mkuu,kwenye mpira lolote lawezekana...Usiwadharau sana ACM,tusubiri na tuone
 
Kama Milan tutatumia mfumo wa x-mas tree au kwa jina lingine Diamond basi Manchester ni lazma watakalia kibao cha mbuzi.

Ninaposema x-mas tree ninamaanisha ule mfumo wa kocha wetu kipenzi Mpendwa Carlo Ancelotti ambao kila alipokutana na Fergie amekuwa akimlambisha sakafu.

Mfumo huu unakuwa na mshambuliaji mmoja pale mbele.

Kisha anafuatiwa na viungo wawili ambao kazi yao ni kumlisha mipira huyo striker.

Kisha wanafuatiwa na viungo watatu wakabaji ambao watakuwa na kazi ya kunyang'anya mipira inayopotezwa na hao watu wa juu yao.

Kisha wanafuata mabeki wanne ambao fullback left na right watakuwa wanapanda kwenda kupiga krosi, na wakati huo huo wale viungo watatu wakabaji mmoja wao anakuwa anakava kwa beki aliyepanda.

So ishu inatakiwa kuwa hivi...

Striker
''pato''

Playmakers
''dinho na seedorf''

Difensive midfield
''ambrosini, pirlo, na gatusso''

Mabeki
''antonini, nesta, silva, zambrotta''

Kipa
Kwa kikosi hicho kipa hata akikaa Invisible basi manchester lazima wachambie upupu.

Hiyo ndo milan na huo ndo mfumo asilia wa klabu.

Forza Milan
 
Sisi tutaweka kikosi kilekile ispokuwa nafasi ya Giggs ataanza Anderson au Gibson na Vidic atasimama mkoba
 
Back
Top Bottom