AC Milan vs Man UTD...

AC Milan vs Man UTD...

Currently Active Users Viewing This Thread: 30 (12 members and 18 guests)
Balantanda, AlFahIm, Arsene Wenger, Gang Chomba, Manda, SMU, Wacha1, Wandugu Masanja

Baharia mbona kimya???

Labda ni kati ya hao 18 guests au wanasikilizia fulltime..Man U oyee!!
 
Gang huko alko atakuwa aongea Kiitaliano tu...
 
Mbona na mimi nipo mkuu, au nimekuwa Invisible leo🙂 ha ha ha

ha ha, BJ uzuri wako hukimbii matokeo...hivi CHELSEA wanacheza lini vile na Mourinho? Masa huugua mechi hizi za ECL!

Dah, kwa mtaji huu Mshafuzu nyie Semis,...hawa AC wamekuwa 'kiyoyozi' kweli leo.
 
Naona Gang Chomba kaamua kuingia mitini,nimemuona muda si mrefu akijivinjari hapa....Forza Milan
 
Mshaambiwa THERE IS NO COUNTRY FOR OLD MEN hamsikii...ona sasa!
 
ha ha, BJ uzuri wako hukimbii matokeo...hivi CHELSEA wanacheza lini vile na Mourinho? Masa huugua mechi hizi za ECL!

Dah, kwa mtaji huu Mshafuzu nyie Semis,...hawa AC wamekuwa 'kiyoyozi' kweli leo.

Wanacheza tarehe 24/02/2010
 
Duh, uchngu nahisi kufungwa goli la videoni!
 
Baneni jamaniiiiiiiiiiiiiiiii nanihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Back
Top Bottom