AC Milan vs Man UTD...

Gmae ya leo ni sare ama Manure wachezea kichapo.....3-1
 
Y nicpende?
BTW; Weka basi na picha zetu, au JF inagoma ku-upload picha za mashetani?

Picha zenu bado hazijatoka mie, sina noma naweka kama zinavyokuja bado picha zenu hazijakuja. Ati JF inagoma! khe khe khe kheeeeee
 
Mwanzilishi wa thread kageuka kuwa msomaji wa thread, hachangiii...vipi BP au Presha?
 
Ref's wat's up?, hao wamekuwa TAIFA QUEENS?
 
Belinda mama, mbn umeniacha peke angu mimi swala katika mbugha za Simba hawa?, uko wapi tusaidiane?
 
Belinda mama, mbn umeniacha peke angu mimi swala katika mbugha za Simba hawa?, uko wapi tusaidiane?

I'm here Manda..Tukifungwa leo, mashambulizi yake si kidogo mana naona wapinzani wengii wanasubiria tulizwe!:-
 
Duh!, huyu Dinho ataka kudharirishana sasa, mambo gani haya, yaliwatosha Z Bluzzzzzz bwanaa...Lol!
 
Sayyy it...................Roooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo................................
 
again...say it?.................................oooooneeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…