msubiri mzee gang chomba atoke break.........eeeeeeeeeeeyyyyyyyyyyyyyy!, leo mmefulia nyie.
I'm here Manda..Tukifungwa leo, mashambulizi yake si kidogo mana naona wapinzani wengii wanasubiria tulizwe!:-
...tch ....tch ...tch! π
Mngekuwa Chelsea kweli...
Well done.
Manda;........eeeeeeeeeeeyyyyyyyyyyyyyy!, leo mmefulia nyie.
Ndio wajua mda uuu?Duuuh kweli ac milan wamefulia.
Manda;
Hongera mkuu wewe kidume... Umekomaa mpaka dakika ya mwisho ushindi ukapatikana. Wenzio waliingia mitini bana. Congrats!
ndio nime confirm sasa hivi.Ndio wajua mda uuu?