Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,910
Unaambiwa smelter zipo hadi ndogo tu. ACACIA hawa fanyi smelting wanauza mchanga kama ulivyo kwa faida kubwa tuu!!Kwani sisi huwa tunaeleweka basi Mkuu. Ni kushabikia tu vitu kama majuha. Tunashabikia report ya kuwananga ACACIA wakati huohuo hatusomi tafiti nyingine zilizofanywa huko nyuma zinazoonyesha kwamba hatuwezi kumudu uwekezaji wa smelter nchini. Halafu hawa watu wanayoyafanya yote yalipewa baraka zote za serikali hiyohiyo inayolialia leo. Upuuzi mtupu. Binafsi nataka kuona independent analysis ya hasara tunayoambiwa tumeingizwa na hawa ACACIA kabla sija comment zaidi.
The only Data source in this article is company presentation. I still can't take this as a conclusive report
Chillah,mtoa mada ameelezea vizuri sana, Issue ni kuwa kuna udanganyifu kama ni kweli. Ni vizuri tujenge utamaduni wa kusoma na kukumbuka matukio ya nyuma. Mkulu amekurupuka na itakula kwetu upende usipende, Namuombea abadilike na kubehave kama mkuu wa nchi.hiyo ni report yakwenu sasahivi tuna report mpya inayoonesya data mpya zaidi kwa kuambiwa kuna madini zaidi...
swali lingine hizo report unazo ziandika wewe umezifanyia uchunguzi wewe au hao acacia? na nizamwaka gani bro?
I think is the time government to wake up and resolve the matter[/QU
There is no need to hurry with this, they have stolen our concentrate for many years now lets do it slow and resolve it with benefit on our side. if the concentrate have small amount of gold why are they want to close the mine let them operate if they claim concentrate have small amount of valuable minerals
for their 4% let dem go go go mother facxxx. 4% have little effect on our economy. I wish I could be a president so that I can chase them like mice and we can dig our selves even if we use primitive tools the concentrate we can use it for washing our sufuria and decorate our housesBro we all advocate for their departure but we must be keen not to extort ourselves on the way
acha kudanganya watu soma vizuri uelewe au kingereza chako cha dictionary nini? yaani wote tumeelewa sababu kubwa ni kuzuiwa kwa makontena yenye mchanga ambao ulikuwa unawaingizia milion 1 kwa siku ww unasema hasara hawapati kwa ajili ya mchanga nyie ndio wakina mangungu. MAGUFULI mwanzo mwisho chase dem mother fackkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkKwa ujumla hii habari hujaielewa. Hasara hawapati kwa sababu ya mchanga kwamba hawajasafrisha kwao na ndio faida yao. Hasara hii inatokana na zuio la makontena ambalo limepelekea bei ya "HISA" za Acacia katika soko la Hisa la UK na DSE la Dar Es Salaam kuporomoka.
Basi saivi serikali yenye rais mpya ameamua kulishughulikia. Unaonaje tukampa support basi na sio kulia lia kwamba tuliibiwe zamani. Au hukutaka rais wa sasa alishughulikie?Watu wameiba tangu wakiwa Barric Gold tunakuja kulialia wakiitwa Acacia na all days mliambiwa hawa wanaiba mkajifanya viburi,wako wapi wabunge walioshabikia?
Chavez alisifiwa hivi hivi ..tazama walichoifanya ile nchi ...haitawaliki tenaMpaka wanataka kufungu mgodi, kweli wameshikwa! JPM endelea kukomaa soon utaona uzalishaji wa dhahabu unaongezeka
Simutetei ni jina la kilabu kijijini kwenu au?Tumeibiwa sana, tena sana ila wasiwasi wangu ni hii report kutoaksi ukweli, Sisi kama wachumi tulitaka Report ya ukweli ili tuichambue na kutoa majibu sahihi kwa maendeleo ya taifa leo.
Najua kwa mtu aliyesoma au anayefanya Biashara anajua kitu kinaitwa Operating Cost.
Ili tujue tunaibiwa Kiasi gani, inabidi tujue Price of minerals(gold, Copper, Silver..) in Tanzania sio huko Uk, the Operation cost mpaka unapata hayo Makanikia ndio tujue faida. halafu tukokotoe hiyo faida(Tax,....) tuone tunaibiwa shilingi ngapi. Sio kutumia Selling price ya soko la dunia eti ndicho tunachoibiwa as if huyo investor anaokota hayo madini juu ya arthi kama mchanga wa bahari.
Narudia tena tumeibiwa sana na simutetei huyo mwekezaji wala sina hisa naye ila ukweli ni kwamba kuna process ndefu ili upate madini(Running Cost).
Hayo ni baadhi ya mambo ambayo tulihitaji yawepo kwenye report pamoja na Mkataba wenyewe ili wachambuzi tuliyibobea tuyafanyie kazi halafu tutoe ushauri nini kifanyike, ila kama ndio riport inasema kilichomo kwenye makanikia tu hiyo itakua report ya kujinyakulia umarufu wa kisiasa ambao ndio iliyotufikisha hapa tulipo. Bila kusahau hadi leo watanzania wanamsifia Nyerere kwa Maamuzi ya kutoruhusu uchimbaji madini miaka hiyo eti kwa kisingizio cha kuibiwa maamuzi ambayo ni ya **** kwelikweli. poor administration system kwani mwenye nyumba lini akajua kujenga gorofa ila anajiri wasomi(Engerneer) kumjengea kutokana na usimamizi mzuri na haibiwi.
- Exploration
- Surveing
- excavating
- Drilling of rock
- ...
- ...
- ...
- Manpower
- Machineries
- Theft
- Processing
- transportation
- Sinking Cost
- Marketing & marketing
- Interest from Banks
- Consultation
- Insurance .......................
Tatizo hapa ni mkataba! mkataba! mkataba! mkataba! Mibovu sio Makanikia. na magufuli ni sehemu ya tatizo kwani alichangia hata juzi kupitisha mikataba ya gas kwa hati ya dharura. "The problem cannot be Solved by the same person who created it"
ACHENI UTUMWAI think is the time government to wake up and resolve the matter
angekua hai wasingehangaikaChavez alisifiwa hivi hivi ..tazama walichoifanya ile nchi ...haitawaliki tena
Do yo refer to the report ya waliandika hotelini?Are they referring to the TMAA's Study on the Viability to Construct a Copper Concentrate Smelter in Tanzania? The study concluded that it was not feasible for a copper concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate.
One of the reasons provided in the study was that the country’s output was too small for this to be economically viable. According to the authors, their opinion was based on the technical and economic factors required for an economically viable Copper Concentrate smelter.
Sasa ona jinsi tunavyojichanganya.
Full report available at http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf
Unachojua ni mother fucker tu, hizo ni lugha za wahuni na jitahidi kuziepuka. Hili ni suala la mkataba unaweza kuwafukuza ila utakacholipa ni zaidi ya utakachopata kwenye hiyo migodi. Unashindwa hata kutengeneza tooth pick ndo uweze kuoperate mgodi!!!. Tatizo ni mikataba na tuanzie hapo. Waarabu wametuzidi sana kwa sababu mikataba yao ilikuwa ni kwa manufaa ya wananchi.acha kudanganya watu soma vizuri uelewe au kingereza chako cha dictionary nini? yaani wote tumeelewa sababu kubwa ni kuzuiwa kwa makontena yenye mchanga ambao ulikuwa unawaingizia milion 1 kwa siku ww unasema hasara hawapati kwa ajili ya mchanga nyie ndio wakina mangungu. MAGUFULI mwanzo mwisho chase dem mother fackkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
Makubwa, katiba inasemaje?Yaani unaona mkulu anafanya mambo mazuri sana?Akili kuzitumia vizuri ni faida sana.Mm nina wazo Magu akiendelea hivi kukomaa kila sekta kwa kipindi cha mihula yake yote, tubadilishe katiba aendelee kuwa raisi mpaka mwisho wa maisha yake.