Account gani ya bank itatunza pesa zangu mpaka 2020 bila ku-draw??

Account gani ya bank itatunza pesa zangu mpaka 2020 bila ku-draw??

Fafanua kidogo, ni aina gani hiyo ya mkataba? Yaani kila mwezi unadraw 500,000/= kwa kuweka milion 50 tu?!

Vinginevyo nashawishika kusema si kweli, hata fixed account hupati faida hiyo.
Me nahisi yuko sahihi mkuu, maana fixed account ya crdb unapewa 30k kwa deposit ya 1M kwa miezi 4( kama sijakosea).so kupewa 500k kwa mwaka kwa deposit ya 50M naona kama ni sahihi. Ukinidadavulia nikaelewa, nitashukuru zaidi maana huwa tunaishi kwa kujifunza kila siku.
 
[Kama una swali waweza uliza mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]

nerilan Nimekuta kifungu hiki chini ya maelezo yanayoelezea kuhusu Thamani account.Naomba unifafanulie:
  • Deposit leads to forgoing 50% of the interest earned
    (recovered from the deposit).
 
Me nahisi yuko sahihi mkuu, maana fixed account ya crdb unapewa 30k kwa deposit ya 1M kwa miezi 4( kama sijakosea).so kupewa 500k kwa mwaka kwa deposit ya 50M naona kama ni sahihi. Ukinidadavulia nikaelewa, nitashukuru zaidi maana huwa tunaishi kwa kujifunza kila siku.
Ufuatilie uzi mwanzo mwisho watu wametolea ufafanuzi hata mimi nimeelewa natafuta mda tu niende bank kuthibitisha.
 
[Kama una swali waweza uliza mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

nerilan Nimekuta kifungu hiki chini ya maelezo yanayoelezea kuhusu Thamani account.Naomba unifafanulie:
  • Deposit leads to forgoing 50% of the interest earned
    (recovered from the deposit).
[/QUOTE]Mkuu kwa jinsi ulivyoandika natumai hujaanza mwanzo wa maelezo ya hiyo term and conditions. Embu isome sentensi nzima kisha uiweke hapa. Jinsi ilivyo ni kama kuna kitu kimeachwa na sentesi imeanzia katikati
 
Fafanua kidogo, ni aina gani hiyo ya mkataba? Yaani kila mwezi unadraw 500,000/= kwa kuweka milion 50 tu?!

Vinginevyo nashawishika kusema si kweli, hata fixed account hupati faida hiyo.
Sioni unachobisha mdau maana
Kwa hela aliyoweka anapata Ml 6 Kwa mwaka
Kumbuka pia thamani ya pesa inashuka kila iitwapo leo.
 
nerilan Nimekuta kifungu hiki chini ya maelezo yanayoelezea kuhusu Thamani account.Naomba unifafanulie:
  • Deposit leads to forgoing 50% of the interest earned
    (recovered from the deposit).
Mkuu kwa jinsi ulivyoandika natumai hujaanza mwanzo wa maelezo ya hiyo term and conditions. Embu isome sentensi nzima kisha uiweke hapa. Jinsi ilivyo ni kama kuna kitu kimeachwa na sentesi imeanzia katikati[/QUOTE]

nerilan, Kifungu kizima kiko hivi:
Key Features:
  • Operating Currency: T-Shilling
  • Minimum fixing amount: TZS 1,000,000
  • Maturity tenure is 36 months.
  • Fixed Interest Rate
  • Interest paid Monthly on a different account selected by the customer
    (normally Savings Account)
  • Certificate of Deposit/Fixed Deposit Receipt (FDR) is issued
  • Deposit leads to forgoing 50% of the interest earned
    (recovered from the deposit).
 
Dah! Kwanini uweke pesa iozee bank? Watu kama nyie benki zinawapenda sana. Hiyo pesa wenzako wanaikopa na kuzalisha mara kadhaa kwa hiyo miaka unayotaka kuilaza benki.

Habar za humu wanajamvi?!
Naomben msaada wenu kwenye hili. Nataka niwe na-deposit nusu ya mshahara wng wa kila mwezi kwny account ya benk. Lakin bado cjajua kama kuna benk inayotoa huduma ya account ambayo inamzuia customer kutokutumia pesa anayoiweza once akishai-deposit kwny account hyo kwa mujibu wa taratibu zilizowekw na benk!

Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Kwanini uweke pesa iozee bank? Watu kama nyie benki zinawapenda sana. Hiyo pesa wenzako wanaikopa na kuzalisha mara kadhaa kwa hiyo miaka unayotaka kuilaza benki.
Ni sawa ndugu. Lkn saivi nina commitment kwny company ya mtu. Nalipwa. So I have to give my all, if not my 100% of me.

Nataka niiweke io pesa ili muda wangu nilouweka kumtumikia mwajir wngu ukiisha naende kua "MY OWN-BOSS" kwakutumia io pesa km mtaj wangu!!
 
Hiyo pesa uwe unaweka stock mpunga, unauza mwezi wa pili, nwezi wa sita unanunua tena linakuwa zoezi endelevu pesa itakuwa salama na pia itaongezeka Mara dufu. Bank siku hizi tunaweka hela ya tahadhari tu. Sijui interest zako lakini.
Mkuu yasije tokea ya Korosho
 
Kuna account inatolewa na bank ya Taifa ya Biashara (NBC LTD) inaitwa Malengo account ni nzuri sana ina kufaa , hiyo yenyewe kutoka kwa mwaka n mara 1 tu ila unaweza kuweka muda wowote lakin kutoa n mara moja pia haina makato yeyote ya mwezi yenyewe ina monthly interest ni nzuri sana
Habar za humu wanajamvi?!
Naomben msaada wenu kwenye hili. Nataka niwe na-deposit nusu ya mshahara wng wa kila mwezi kwny account ya benk. Lakin bado cjajua kama kuna benk inayotoa huduma ya account ambayo inamzuia customer kutokutumia pesa anayoiweza once akishai-deposit kwny account hyo kwa mujibu wa taratibu zilizowekw na benk!

Nawasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom