greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Na wewe utamfuata usiku wa kuamkia kesho kenge wewe unadhani utaishi milele hapa duniani...Mfuate basi.
Kwa mujibu wa uchumi wa Tanzania mimi sio kapuku.
Kapuku ni wewe unayebambiana kwenye daladala
Asante umeniwakilisha vyema kwa huyo mbwa.Umekariri kua member wote wa JF wapo Bongo?
Wewe ni kapuku choka mbaya,ndio maana umejaza chuki hata kwa watu ambao walisha tangulia mbele ya haki,
Comment zako dhidi ya late President zimetawaliwa na chuki zako zilizosababishwa na umasikini wako,hakuna utawala utakao kuja kukujaza mapesa mfukoni,fikirisha bichwa hilo ili usije ukawapa watu tabu uzeeni mwako,tafuta hela upunguze chuki kiazi wewe.
Thread ClosedUnawezaje ku verify mtu ambaye hatunae tena??
Ndugu ngoja nikuambie kitu.Na wewe utamfuata usiku wa kuamkia kesho kenge wewe unadhani utaishi milele hapa duniani...
Huna akili wewe,nenda ukapate matibabu.Ndugu ngoja nikuambie kitu.
Ni hivi mimi siwezi kufa kwa utabiri wako wa kipumbavu.
Zikipita siku ulizotabiri nitakufuata PM kisha nitakutabiria wewe kifo chako kisha kama utaweza nifuate PM baada ya siku nitakayokuwekea limit ya uhai wako.
Tunaposema jambo haturopoki.
Wewe sio mzima,nenda ukapate matibabu,umegeuka kituko hapa JF kwa vicomment vyako vya hovyo hovyo,umasikini wako usitake kuuhamishia kwa wengine,una upumbavu uliyo vuka mipaka,utakua ulipata malezi ya hovyo sana.Ndugu ngoja nikuambie kitu.
Ni hivi mimi siwezi kufa kwa utabiri wako wa kipumbavu.
Zikipita siku ulizotabiri nitakufuata PM kisha nitakutabiria wewe kifo chako kisha kama utaweza nifuate PM baada ya siku nitakayokuwekea limit ya uhai wako.
Tunaposema jambo haturopoki.
Wewe sio mzima,nenda ukapate matibabu,umegeuka kituko hapa JF kwa vicomment vyako vya hovyo hovyo,umasikini wako usitake kuuhamishia kwa wengine,una upumbavu uliyo vuka mipaka,utakua ulipata malezi ya hovyo sana.
Na wewe utamfuata usiku wa kuamkia kesho kenge wewe unadhani utaishi milele hapa duniani...
Mbona umejibu kinyonge sanaHuna akili wewe,nenda ukapate matibabu.
Hii issue ya umaskini inaonekana imeathiri sana maisha yako binafsi, maana umeifanya kuwa point of discussion kwenye kila comment. I wish u well thoughWewe sio mzima,nenda ukapate matibabu,umegeuka kituko hapa JF kwa vicomment vyako vya hovyo hovyo,umasikini wako usitake kuuhamishia kwa wengine,una upumbavu uliyo vuka mipaka,utakua ulipata malezi ya hovyo sana.
Kumbe unanifuatilia eeh! Safi sana Binti,endelea kujiaminisha hivyo hivyo kama inakupa faraja,sawa Dada?Hii issue ya umaskini inaonekana imeathiri sana maisha yako binafsi, maana umeifanya kuwa point of discussion kwenye kila comment. I wish u well though
Labda umetafsiri kua nakutongoza.Mbona umejibu kinyonge sana
Tuseme yote ila mwamba nchi ilimgwaya dah [emoji3]ni sahihi,alikuwa na mapungufu mengi ila mazuri pia alikuwa nayo, mimi huwa namkubali kwenye mambo mawili tu, kujenga sgr na kuogopwa yani nchi nzima ilimgwaya[emoji28]
😂 jamaa aliogopwa mpaka na wazeeTuseme yote ila mwamba nchi ilimgwaya dah [emoji3]
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hii ni kweli kabisaPombe ni rais bora wa kipindi chote,chuki kubwa ni wale wenye vyeti fekero.
He he he...umeanza kunipenda lini mkuuMimi nakupenda wewe Witty simpendi Magufuli maana amesharest.
Ila wazungu wanaulizaga "Why is this news?"