Account ya Twitter ya hayati Magufuli yaondelewa "blue tick!"

Account ya Twitter ya hayati Magufuli yaondelewa "blue tick!"

Umekariri kua member wote wa JF wapo Bongo?
Wewe ni kapuku choka mbaya,ndio maana umejaza chuki hata kwa watu ambao walisha tangulia mbele ya haki,
Comment zako dhidi ya late President zimetawaliwa na chuki zako zilizosababishwa na umasikini wako,hakuna utawala utakao kuja kukujaza mapesa mfukoni,fikirisha bichwa hilo ili usije ukawapa watu tabu uzeeni mwako,tafuta hela upunguze chuki kiazi wewe.
Asante umeniwakilisha vyema kwa huyo mbwa.
 
Na wewe utamfuata usiku wa kuamkia kesho kenge wewe unadhani utaishi milele hapa duniani...
Ndugu ngoja nikuambie kitu.
Ni hivi mimi siwezi kufa kwa utabiri wako wa kipumbavu.
Zikipita siku ulizotabiri nitakufuata PM kisha nitakutabiria wewe kifo chako kisha kama utaweza nifuate PM baada ya siku nitakayokuwekea limit ya uhai wako.
Tunaposema jambo haturopoki.
 
Ndugu ngoja nikuambie kitu.
Ni hivi mimi siwezi kufa kwa utabiri wako wa kipumbavu.
Zikipita siku ulizotabiri nitakufuata PM kisha nitakutabiria wewe kifo chako kisha kama utaweza nifuate PM baada ya siku nitakayokuwekea limit ya uhai wako.
Tunaposema jambo haturopoki.
Huna akili wewe,nenda ukapate matibabu.
 
Ndugu ngoja nikuambie kitu.
Ni hivi mimi siwezi kufa kwa utabiri wako wa kipumbavu.
Zikipita siku ulizotabiri nitakufuata PM kisha nitakutabiria wewe kifo chako kisha kama utaweza nifuate PM baada ya siku nitakayokuwekea limit ya uhai wako.
Tunaposema jambo haturopoki.
Wewe sio mzima,nenda ukapate matibabu,umegeuka kituko hapa JF kwa vicomment vyako vya hovyo hovyo,umasikini wako usitake kuuhamishia kwa wengine,una upumbavu uliyo vuka mipaka,utakua ulipata malezi ya hovyo sana.
 
Huyo jamaa alikua akipiga mkwara nchi yote inakaa kimya , muhuni aliweza kuendesha taifa kama anaendesha familia inayoishi nyumba moja akisema kulala ni saa 3 bas kulala ni saa 3
Watukutu ilibaki tunaongelea tumboni tu
 
Na wewe utamfuata usiku wa kuamkia kesho kenge wewe unadhani utaishi milele hapa duniani...
JamiiForums922358689.jpg
 
Wewe sio mzima,nenda ukapate matibabu,umegeuka kituko hapa JF kwa vicomment vyako vya hovyo hovyo,umasikini wako usitake kuuhamishia kwa wengine,una upumbavu uliyo vuka mipaka,utakua ulipata malezi ya hovyo sana.
Hii issue ya umaskini inaonekana imeathiri sana maisha yako binafsi, maana umeifanya kuwa point of discussion kwenye kila comment. I wish u well though
 
Hii issue ya umaskini inaonekana imeathiri sana maisha yako binafsi, maana umeifanya kuwa point of discussion kwenye kila comment. I wish u well though
Kumbe unanifuatilia eeh! Safi sana Binti,endelea kujiaminisha hivyo hivyo kama inakupa faraja,sawa Dada?
 
Wanahangaika bure tu, wapenzi wa jpm na wanyonge wa nchi hii 70% hawana account za twitter so wamtoe wasimtoe haina lolote. Wao wako nae vifuani mwao japo Ikulu tunaye puppet wa msoga. Sie tunakisikiliza kivuli cha jpm kuliko sauti ya "tozo lady" Samia
 
Back
Top Bottom