Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mda mrefu tu ila huwa naogopa kukuambia. Nikubalie basi.He he he...umeanza kunipenda lini mkuu
Wazungu wivuu tu[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mda mrefu tu ila huwa naogopa kukuambia. Nikubalie basi.He he he...umeanza kunipenda lini mkuu
Wazungu wivuu tu[emoji16]
NAKAZIA...Yani nchi nzima ilimgwaya😅
Hehehe sawa [emoji854][emoji854]Mda mrefu tu ila huwa naogopa kukuambia. Nikubalie basi.
Sasa mbona unacheka?Hehehe sawa [emoji854][emoji854]
Wapi nimecheka?[emoji849]Sasa mbona unacheka?
Yaani watu wako wanajadili BLUE TICK ya Magufuli, ambaye ni HAYATI.......😀😀😀
Ukiona mtu anaogopwa nchi nzima ujue huyo mtu ni mbaya haiwezekani uogopwe nchi nzima hivi hivi tu.ni sahihi,alikuwa na mapungufu mengi ila mazuri pia alikuwa nayo, mimi huwa namkubali kwenye mambo mawili tu, kujenga sgr na kuogopwa yani nchi nzima ilimgwaya😅
exactly, na hiko ndicho nachokubali mimi nawakubali viongozi walioogopwa mfano Mobutu aliogopwa na hadi wasaidizi wake mfano mkalimani wake alisema alifanya kazi kwa hofu sana maana alijua muda wowote ni kifo,mawaziri na ma gavana wa benki waliogopa kumzingua piaUkiona mtu anaogopwa nchi nzima ujue huyo mtu ni mbaya haiwezekani uogopwe nchi nzima hivi hivi tu.