Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Akili za usiku hizi, na hawa ndo waume zetu,,Labda kabla hujazaa ulikuwa na tako na sasa limeisha. Sijui kuna mazingaombwe gani aisee. Binti kabla hajazaa mtako huoo anaburuta. Sasa subiri akijifugua abakie na unene wake wa mimba na kitambi aisee tako linapotea kabisa. Tena ukimkuta hata kujipodoa keshaacha mzuka wote kwisha yaani lakini ndo hivyo ushabeba...Mwili wa mwanamke hubadilika sana vijana chagueni vizuri hasa kama kigezo kimojawapo ni uzuri wa mwili....tako, nyonyo..n.k