Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Value inashuka hasa kwa jamii zetu za kiafrika pia inawezekana na mabadiliko baada ya kujifungua nayo yakachangia jamaa kuloose interest ie jamaa alikuta demu kipotabo sasa demu kawa ka simtankšŸ˜†. Atulize akili kabla ya kumface mskaji ajifanyie self assessment toka wanakutana je yeye alikuaje na Sasa yukoje kuanzia tabia,maumbile, mtazamo,saikolojia etc Kisha amcheki na mskaji kila angle ya maisha inawezekana anajistukia tu kumbe jamaa ndivyo alivyo sema hakupata nafasi kumchunguza alipofushwa na mapenzi
Hakuna cha uportable wala ubonge. Mwanaume akikupenda atakupenda tu kwa hali yoyote labda uwe mchafu au ubadilike tabia ndo atakudis.

Na kama ni ubonge atakusaidia kupambana na hiyo hali kwa upendo urudi normal. Tangu mwanzo mwanaume hakuwa na upendo...sijaona sehemu amesema wamefunga ndoa ( nirekebishe kama nimekosea) bali wamevutana tu kuishi wote
 
Labda kabla hujazaa ulikuwa na tako na sasa limeisha. Sijui kuna mazingaombwe gani aisee. Binti kabla hajazaa mtako huoo anaburuta. Sasa subiri akijifugua abakie na unene wake wa mimba na kitambi aisee tako linapotea kabisa. Tena ukimkuta hata kujipodoa keshaacha mzuka wote kwisha yaani lakini ndo hivyo ushabeba...Mwili wa mwanamke hubadilika sana vijana chagueni vizuri hasa kama kigezo kimojawapo ni uzuri wa mwili....tako, nyonyo..n.k
Mkuu aliyekuroga alikurogea makalio šŸ˜‚šŸ˜‚
Eti mtako huo anaburuta
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake
Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenz
Pole sana hisia zimesinyaa mwombe sana Mungu zisife kabisa... Hiki kipindi kikiweza kupita salama mtaishi milele, lakini ni mpaka huko alikokamatiwa mateka aachiliwe huru
 
Maringo yakizidi sana napo tunaondoka
Sio maringo hayo unayoyafikiria. Yaani una hakikisha anakutaka yeye tena ile hasa. Mahusiano mengi yaliyolazimishwa na mwanamke mara nyingi mume anakuwa hivyo.
Ndoa inakuwa proposed na mwanaume na si mwanamke kulazimisha.
Kujitongozesha kupo kwa mwanaume ambae unatamani tu kupita nae na sio serious relationship, labda itokee tu bahati akupende kweli
 
Sio maringo hayo unayoyafikiria. Yaani una hakikisha anakutaka yeye tena ile hasa. Mahusiano mengi yaliyolazimishwa na mwanamke mara nyingi mume anakuwa hivyo.
Ndoa inakuwa proposed na mwanaume na si mwanamke kulazimisha.
Kujitongozesha kupo kwa mwanaume ambae unatamani tu kupita nae na sio serious relationship, labda itokee tu bahati akupende kweli
Nimepata point yako, huyu naye aidha alijua atapita naye tu maisha yaendelee
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake
Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenz
Dah hapo sijui niseme ni jini mahaba au kuna mwenzio tu kashajipenyeza! Cha msingi ombea sana uhusiano wenu maana mipango ya ndoa na shetani huwa hachezi mbali kuwavuruga na watu wenye husda!
 
Labda kabla hujazaa ulikuwa na tako na sasa limeisha. Sijui kuna mazingaombwe gani aisee. Binti kabla hajazaa mtako huoo anaburuta. Sasa subiri akijifugua abakie na unene wake wa mimba na kitambi aisee tako linapotea kabisa. Tena ukimkuta hata kujipodoa keshaacha mzuka wote kwisha yaani lakini ndo hivyo ushabeba...Mwili wa mwanamke hubadilika sana vijana chagueni vizuri hasa kama kigezo kimojawapo ni uzuri wa mwili....tako, nyonyo..n.k
Muhuni kaona kaingia cha kike baada ya model wake kugeuka kisheti kinachotembea
 
View attachment 1967672
Tatizo lake ana Low Libido, na hili tatizo huongezeka kadri umri unavyozidi kuongezeka.

Hii hali Low Libido ni tatizo la kiafya kama matatizo mengine ya kiafya, na hutokana na matatizo ya ki_hormone zaidi, licha ya kuwepo kwa sababu zingine kadha wa kadha.

Ni jukumu lako kutafuta ufumbuzi.

Kuna njia za muda mfupi na njia za muda mrefu ili kumuweka sawa na akawa anakuhitaji mara kwa mara.

Kazi kwako, fanyia kazi hili swala.
images


Na ukisha fanikiwa kutatua tatizo, mtafurahia maisha hadi uzeeni
images
Mwanaume awe na Low Libido? We uliskia wapi šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…
 
Mwanaume awe na Low Libido? We uliskia wapi
Jielimishe uelimike kupitia hizi link

What Causes It?

Any number of things, some physical and some psychological. Sometimes it’s both.

Physical issues that can cause low libido include low testosterone, prescription medicines, too little or too much exercise, and alcohol and drug use. Psychological issues can include depression, stress, and problems in your relationship.

About 4 out of 10 men over age 45 have low testosterone. While testosterone replacement therapy remains somewhat controversial, it’s also a common solution to the problem.

ā€œReplacement therapy with any of the various testosterones available can boost libido,ā€ says M. Leon Seard, II, MD, a urologist in Nashville, TN. ā€œAlso, simply getting healthy can help.ā€

No one thing causes low libido. So it’s crucial to talk to your doctor if you're worried your sex drive has dropped.

Once they figure out the causes, they can tell you the best course of action, or refer you to another doctor who can.

How Is It Treated?

Depending on the cause, possible treatments include:

  • Healthier lifestyle choices. Improve your diet, get regular exercise and enough sleep, cut down on the alcohol, and reduce stress.
  • Change to a new medication, if the one you’re on is affecting your libido
  • Testosterone replacement therapy
  • Counseling
Your doctor may recommend therapy if the issue is psychological. In many cases, a low libido points to a desire for a closer connection with your partner -- one that isn’t sexual, but still intimate. It can help to talk through these issues with a therapist, either alone or with your partner. If the issue is depression, antidepressants can help. Some of them actually lower your sex drive, though.

What about the meds you may have seen in TV and magazine ads, like Cialis, Levitra, and Viagra? These don’t boost libido. They help you get and keep erections.

The bottom line: Know your body and tell your doctor what you’re feeling. Don’t hold back. That’s the only way they’ll know whether the root of the problem is physical, psychological, or both.

And the sooner you know, the sooner you can get back to feeling like yourself again.


Source: webmd
 
Atapatikana tu wa kunitaka tuyajenge.. Hawa wa kujitongozesha huwa ni wa kuhave nao fun kwa muda mfupi
WowšŸ˜… thats cute! Siku utakapozama ghafla kwa kukolewa na utamu wa huyo mpitanjia ndio utajua hujui! Mumeo mwenyewe unaweza muona boya tu!
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake
Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenz
Baada ya miez 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahar
tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe
2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikaz kwenda mkoa mwingine nami dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja
Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lkn namshukuru Mungu ninamtoto wa miez
Kilichonifanya nije humu jamaa mapenz kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa
Yaan hana hata kidogo,
Tunaweza maliza hata mwez hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kaul nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safir hata wk zaid ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi
Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako
Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukan, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe
Bt mapenz hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu
Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima
Nahisi kudata nifanyeje???
Kwahio umeamua kunipost jamii forum
 
Back
Top Bottom