Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Hii habari ya kaa kwenye mji wako hii, it does work kama tu issue ni materials.

Kama kitu unachokihitaji ni zaidi ya tofali, bati na ardhi my dear nakuelewa!!

Skia,
Jiulize una miaka mingapi, halafu
Jiulize ikitokea umebarikiwa miaka 60 ya uhai.
Toa na miaka uliyonayo.
Miaka inayobaki ndo Kiwango cha miaka utakayoishi na hiyo agony and feelings of being abandoned.
Iwapo upo tayari kuanza kuihesabu miaka hiyo ,fresh baki na mji wako.
Iwapo haupo tayari na unahitaji zaidi ya mji, mama Tizama mengine.
Una kazi I bet
Una mtoto tayari.
Umeshajua uhalisia.
Anzia hapo.
Inaumiza yes, sana tu!
Wala sikwambii ni rahisi.
Utapoteza vitu na watu kibao along the process.
Ila mwisho wa siku hutakuwa pale alipoamini utabakia.

Hii ni kwa ajili yako binafsi.
Kuhusu mtoto, my dear tayari huyo ni absent father.
Haitakuwa na tofauti ukimlea mwanao hapo au mbali na hapo.
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake
Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenz
Baada ya miez 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahar
tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe
2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikaz kwenda mkoa mwingine nami dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja
Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lkn namshukuru Mungu ninamtoto wa miez
Kilichonifanya nije humu jamaa mapenz kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa
Yaan hana hata kidogo,
Tunaweza maliza hata mwez hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kaul nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safir hata wk zaid ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi
Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako
Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukan, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe
Bt mapenz hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu
Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima
Nahisi kudata nifanyeje???
Kuna Ushauri natamani Nikupe ila sio rahisi Labda Kama Ukihitaji uni DM, na Kosa Kubwa Ambalo ulilifanya na Wanawake wengi wanaendelea kulifanya ni kujisogeza kwa Mwanaume na Kuishi Kinyumba kama Umeuolewa, Hilo Ni kosa Kubwa sana, Na Hapo Usithubutu kuchepuka eti kutafuta ahueni Dada angu utatembeza Mbususu hadi Basi Na Mwisho utatuchukia wanaume wote Duniani, Matamani sana tungekuwa na Mawasiliano angalau nikupe ushauri kidogo kisha Utaamua mwenyewe
 
Hakuna cha uportable wala ubonge. Mwanaume akikupenda atakupenda tu kwa hali yoyote labda uwe mchafu au ubadilike tabia ndo atakudis.
Na kama ni ubonge atakusaidia kupambana na hiyo hali kwa upendo urudi normal.
Tangu mwanzo mwanaume hakuwa na upendo...sijaona sehemu amesema wamefunga ndoa ( nirekebishe kama nimekosea) bali wamevutana tu kuishi wote
Upendo haushuki tu labda kwa baba na mama yako ila upendo wa kimahaba unaweza kujifunza kupenda(developing love) ndio maana kama umesoma point yangu ni self assessment yaani Kama yeye ndiye aliyeanza kumpenda alifanya nini ili kumfanya jamaa kumpenda ndio maana nikasema inawezekana jamaa alimpenda akiwa kimodo Sasa yeye kutokana na uzazi akanenepa kwaiyo jamaa akalose appetite
 
Tatizo lilianza ulipojitongozesha. Acha mwanaume akutake yeye mwanamke tulia uringeringe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Sasa kama ulimshawishi akupende yakupasa uendelee kumshawishi hivyohivyo ili afanye unachotaka akufanyie,
Na tambua kumpenda mtu kuna gharama zake,na wewe ndie uliyempenda sasa pambana mpaka umfanye awe nomal ili atafune japo mbususu yako.
 
Pole sana hisia zimesinyaa mwombe sana Mungu zisife kabisa... Hiki kipindi kikiweza kupita salama mtaishi milele, lakini ni mpaka huko alikokamatiwa mateka aachiliwe huru
Mshana umerudia yake mambo?? Nataka nikamloge mtu ....ila ni kisiki hatari hakilogeki kirahisi. Nipe chimbo la maana hata ikiwezekana kwenda gambosh OG nitaenda. Ninae aliyekamatika mahali nataka nimnasue
 

Ciara - Never Ever ft. Jeezy (Official Video)​


1. if that man dont love you right now...he will never ever love you...

2,porbably ana affairs zingine za sirini
 
Kwahiyo hoja ni kwamba unataka jamaa abutue kitumbua? Hapo jiangalie je baada ya kujifungua mtoto umekua mchafu? Hauna usafi wako tena hivo anavumilia tu kusogeza siku.
Mkuu ndoa ni kubutuana, jamaa atskuwa chombo kipya, huyu bibie atakua alizingua mahali
 
Hapa ndo nafaham umuhimu wa ile dhana ya kukaa kwenye uchumba na umuhim waVOLUNTER hasa kwa Mtu unaetegemea kuja kuishi nae umjue vizuri

Ungeyajua haya before wala usinge kuja kulia hapa cha kukushauri we vumilia tuu siulipenda upole hapa
 
Tatizo lilianza ulipojitongozesha. Acha mwanaume akutake yeye mwanamke tulia uringeringe
Huyo ndo mwenye hisia naye, Wanaume waliokua wanamtaka hana hisia nao ndo changamoto inaowakumba wanawake wa kidigitali
Wanaume wanaowataka hawanahisia nao, wanaume wenye hisia nao hawawapendi
 
Hapa ndo nafaham umuhimu wa ile dhana ya kukaa kwenye uchumba na umuhim waVOLUNTER hasa kwa Mtu unaetegemea kuja kuishi nae umjue vizuri

Ungeyajua haya before wala usinge kuja kulia hapa cha kukushauri we vumilia tuu siulipenda upole hapa
Hakuna hajuaye kesho yake usipende kukufuru, hivi vitu havinaga master ni Mungu tu aweke mkono wake
 
Mtoto ana umri gani shosti? Unaonekana kwa vile wewe ulimpenda basi umekuwa so clingy...hebu relax, jipende, oga jisugue utakate, vaa vizuri nukia....usilee kizamani.
Baada ya hapo usiwe na habari nae, usimuulize, usimuhoji chochote...Ila usiache kusmile...men are hunters in nature, let him chase you....ringia uanamke wako, usikae kinyonge

Mkishazaa tu shughuli inaanza mara mikojo ya mtoto, uchafu wa hapa na pale, wanaume hupenda kuchakata malighafi safi yenye kiwango tatizo kwenye uchumba mnakua makini na usafi na hata usiku lazima uswaki, mkishatimba kwenye ndoa machejo yanaanza unakula unalala hata bila kusafisha kinywa ukichek jamaa hajachuja akipata mbususu ya uchumi wa kati lazima akusahau, hayo uliyosrma hakuna dume ataruka akikuona tu lazima babu juma asimame
 
Hapa ndo nafaham umuhimu wa ile dhana ya kukaa kwenye uchumba na umuhim waVOLUNTER hasa kwa Mtu unaetegemea kuja kuishi nae umjue vizuri

Ungeyajua haya before wala usinge kuja kulia hapa cha kukushauri we vumilia tuu siulipenda upole hapa
Mkuu hilo sio suluhisho, huyu binti kwa maelezo yake alimfuata mjuba wakaishi pamoja, huu ulikuwa muda wa kuchunguzana.

Nijuacho mimi watu hubadilika sana tu.
 
Mtoto ana umri gani shosti? Unaonekana kwa vile wewe ulimpenda basi umekuwa so clingy...hebu relax, jipende, oga jisugue utakate, vaa vizuri nukia....usilee kizamani.
Baada ya hapo usiwe na habari nae, usimuulize, usimuhoji chochote...Ila usiache kusmile...men are hunters in nature, let him chase you....ringia uanamke wako, usikae kinyonge
Mama k, uko smart sana.
Hii itampa jamaa wivu kuwa kuna mtu anabutua mkewe na fasta ataanza kuona wivu na kuweka ukaribu.

Huenda bibie alijisahau akawa mlezi asiyejijali.
 
Njoo na Id yako iliyozoeleka tutakusaidia
 
Mama k, mama k, mama k, uko smart sana.
Hii itampa jamaa wivu kuwa kuna mtu anabutua mkewe na fasta ataanza kuona qivu na kuweka ukaribu.

Huenda bibie alijisahau akawa mlezi asiyejijali.

Kamaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom