Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Acha niseme ukweli ili nipate kuwa huru

Labda kabla hujazaa ulikuwa na tako na sasa limeisha. Sijui kuna mazingaombwe gani aisee. Binti kabla hajazaa mtako huoo anaburuta. Sasa subiri akijifugua abakie na unene wake wa mimba na kitambi aisee tako linapotea kabisa. Tena ukimkuta hata kujipodoa keshaacha mzuka wote kwisha yaani lakini ndo hivyo ushabeba...Mwili wa mwanamke hubadilika sana vijana chagueni vizuri hasa kama kigezo kimojawapo ni uzuri wa mwili....tako, nyonyo..n.k
Bro bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio maringo hayo unayoyafikiria. Yaani una hakikisha anakutaka yeye tena ile hasa. Mahusiano mengi yaliyolazimishwa na mwanamke mara nyingi mume anakuwa hivyo.
Ndoa inakuwa proposed na mwanaume na si mwanamke kulazimisha.
Kujitongozesha kupo kwa mwanaume ambae unatamani tu kupita nae na sio serious relationship, labda itokee tu bahati akupende kweli
Uko sahivi, Ila changamoto ni kwamba mwanaume ambaye anakutaka serious huna hisia nae
Na hii ndo sababu kubwa kuwepo kwa single mother wengi
 
Mahaba is quishiney my wangubpole sans kumbuks ulijitongozesha
 
Mtoto ana umri gani shosti? Unaonekana kwa vile wewe ulimpenda basi umekuwa so clingy...hebu relax, jipende, oga jisugue utakate, vaa vizuri nukia....usilee kizamani.
Baada ya hapo usiwe na habari nae, usimuulize, usimuhoji chochote...Ila usiache kusmile...men are hunters in nature, let him chase you....ringia uanamke wako, usikae kinyonge
Amina amina!
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake. Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenzi.

Baada ya miezi 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahari tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe. 2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine nami Dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja.

Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lakini namshukuru Mungu ninamtoto wa miezi. Kilichonifanya nije humu jamaa mapenzi kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa. Yaani hana hata kidogo.

Tunaweza maliza hata mwezi hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kauli nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safiri hata wiki zaidi ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi. Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako.

Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukani, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe. Bt mapenzi hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu. Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima.

Nahisi kudata nifanyeje?
Pole sana dada huyo jamaa tabia zake kama mimi, ni kawaida sana ya watu wapole na wasioongea sana, hawapendi kelele, wanatimiza majukumu, kuhusu sex umesema una mtoto wa mwezi mmoja kama sijakosea, anasubiria mtoto wakuekue mambo yatakaa sawa,

Mi mpenzi wangu ameshanizoea saivi anaweza tuma text moja nikajibu jioni, we dont like more attention text moja kwa siku inatosha sio kila muda unailiza nilipo na nafanya nini ama nimekula.... (kama sijala unataka kuninunulia chakula?)

Anyways utazoea ndio asili yetu ila hakuna kitu kinakosekana home
 
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake. Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenzi.

Baada ya miezi 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahari tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe. 2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine nami Dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja.

Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lakini namshukuru Mungu ninamtoto wa miezi. Kilichonifanya nije humu jamaa mapenzi kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa. Yaani hana hata kidogo.

Tunaweza maliza hata mwezi hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kauli nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safiri hata wiki zaidi ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi. Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako.

Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukani, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe. Bt mapenzi hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu. Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima.

Nahisi kudata nifanyeje?
No yako plz kwa ushauri zaidi
 
















Nakuonea huruma mnoooo,ila ndo hvo haushauriki[emoji19]
Red flags zilianza onekana miaka minne nyuma huko....
Ungefanya maamuzi tangu kipind hiko ungekua ushamove on kitambo sanaaaa...
 
Inawezekana kuna Kitu ana hisi kama uliwah kumsaliti na ana uhakika hiko kitendo ulikifanya ili kulipiza kisasi kasusa
 
Sasa si una mtoto wa miezi rafiki au haupendezwi na uvumilivu wa kaka yetu?
 
Mambo Mambo eh eh - the babes are all around me
Mambo Mambo eh eh - dancin' all night long
Mambo Mambo eh eh - the babes are all around me
Mambo Mambo eh eh - to the break of dawn
 
Nikuambie kitu;
Ukivumilia mwishowe utakuwa na ndoa na familia bora kabisa.
Huyo binti aliyempa yote ipo siku watakwaruzana na ndipo atarudi nyumbani mazima
 
Dada usiondoke hapo muonyeshee Upendo na ushirikiano kuwa muaminifu tu muombe atakuwa unavyotaka
Kuna kitu Mungu ameweka Kwa wanawake ila wanawake hawajielewi
 
Back
Top Bottom