AccomplishedEntrepreneur
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 507
- 878
The problem with this thread..😁😊 is that rikiboy likes this😁😂😅 mzee wa kula kimasiara ha ha ha! anyway its pity lady in action . Pole sana en wishing you recovery
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HhahahahahMimi nakashauri Anza kumbaka ....yaani mtegee kavua nguo astukie tu unanyonya Mike bila aibu na ikisimama jiingize zungusha uno lako kojoa bao zako then lala hata Kama yeye bado hajamwaga.
Hayo mengine yatajipa yenyewe ...wanao kuambia Anza upya wanakupoteza .....kurisiti mitihani sio kigezo Cha kupata division one .....unaweza ukazungusha Tena[emoji16][emoji16][emoji16] ...ohooo shauriyako
Malipo ni hapa hapa duniani. Kwanini uliwakataa waliokutongoza na kuanza kumtongoza mwanaume ambae hakupendi.
Sis kuna watu vichomi hata mzae kumi anaondoka
Anaomba ushauri, tabia za mumewe zinamchanganya
Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida sana. 1). Jamaa mkimya sana akiamka asubuhi salamu anaaga anaenda kazini akirudi salamu anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni...www.jamiiforums.com
Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje? Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla. Akisafiri unatamani asirudi dah! Mmewezaje jamani nipeni mbinuwww.jamiiforums.com
Mume wa ndoa akikujibu hivi utajisikiaje?
Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa. Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu. Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa...www.jamiiforums.com
Wanandoa nisaidien hili swali
Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani? mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu...www.jamiiforums.com
Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja 1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza? 2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini...www.jamiiforums.com
Msaada: Mwanaume ninayeishi naye haoneshi kunipenda na hataki tuachane
I hope mko poa guys Naitaji ushauri hapa serious kabisa Mimi ni mwanamke nina miaka 30 nina mchumba ambaye wazazi walishatupa ruhusa ya kuishi pamoja Mwaka 2016 nilipata kazi ya muda mfupi katika kampuni fulani nilifanya kazi ndani ya miezi minne nilikutana na kaka ana 33 kwa a Huyu Kaka...www.jamiiforums.com
Mchumba kamuachia majukumu yote
Iko hv kuna dogo anamchumba wake Mwanaume ana kazi nzuri kiasi ila ukoo mzima unamtegemea yeye, kijijini baba ake anawake 3 ambapo asilimia 80% wanamtegemea jamaa kuanzia chakula kila kitu Sasa jamaa kumbe alimpenda bidada kwakumuona anaroho nzuri pia anakibiashara kidogo ambacho kinatosha...www.jamiiforums.com
Msaada wa ushauri: Je, asitishe kwanza upande wa mwanaume kumtolea mahari?
Ni mdada ana mchumba wake wana mwaka sasa Jamaa amekua na tabia ya kuwasiliana kwa siri na wanawake na dada akigundua jamaa anaomba msamaha yanaisha. Jumamos wazazi wa mume wamepanga kuja kupanga mahari. Sasa Jana wakati wanaongea bidada kagundua jamaa ana simu nyingine ambayo yeye haijui na...www.jamiiforums.com
Ushauri: Kila wakitaka kujenga ndugu/wazazi wa mume wanahitaji mume awasaidie
Changamoto za ndoa, dada yupo na stress za kufa mtu. Iko hivi, kuna hawa wanandoa wameoana wana miaka karibia 2 sasa ya ndoa yao baba mwalimu wa secondary na mama mwalimu wa primary. Dada anadai alipoolewa walikaa baadae mwanaume akamwambia ili wae huru kufanya maendeleo ya familia yao inabidi...www.jamiiforums.com
Unamchumba wako ambae mnatarajia kufunga ndoa alafu 'ukachit' inakua nini chanzo?
Hope mko poa, Nyie wanaume wa humu naombeni jibu. Hivi pale inapotokea unamchumba wako ambae soon mnafunga ndoa alafu ukachit inakua; a) Tamaa b) Tabia yako c) Nature kama mnavyodai d) Mchumba wako haumpendi umelazimishwa tu au nini hasa? Naombeni jibuwww.jamiiforums.com
Nimechanganyikiwa, mwanaume akinipa hela ananiomba tena hela
Mpaka kuandika natetemeka... Nina mpenzi wangu tuna 5 au 6 month yeye ana kazi anapokea kama 1m hivi kwa mwezi. Mimi nina biashara napata kama laki 3 hivi kwa mwezi. Nimepanga chumba, kula, kodi ya kibanda na nyumba ni juu ya hiyo laki 3 ambayo ndio faida katika biashara yangu. Lengo la...www.jamiiforums.com
Kwa wanawake tu: Alinipa mtaji sasa hanipi tena hela ya matumizi
Ninamchumba/mpenzi tulikua katika maongezi nikamuomba aniongezee mtaji, nina kiduka cha nguo sasa basi mwisho wa mwezi kaniletea laki 1 kama mtaji. Ajabu yaani any time akitaka kuja anakula na haleti kitu wala haachi kitu means ule mtaji unatumika, akijisikia anakuja analala anaondoka hata mia...www.jamiiforums.com
Hili swali linaniumiza sana kichwa
Mi ninamchumba/mpenzi ambae hatuna muda mrefu tuko katika relation nadhani kama miezi kadhaa tu hivi haifiki 6 sasa huyu mwenzangu kama simuelewi hivi sijui nimaumbile, mazoea, hanipendi yaani sielewi. Yaani kwake ningumi kuniita mpenzi, yaani majina tu ya kimapenzi ningumu akijitahidi sana...www.jamiiforums.com
Njooni tujadili kidogo hili
Et jmn mfano upo katika relation na umepata shida ya gafla inahitaji kama laki kazaa hv...katika akiba yako umepeleza laki 1....unamshirikisha mpenz/mchumba wako ambae unajua kabisa uwezo wa kukupa anao ila anakushauri uuze cm au uuze kitu cha ndani ili upate hiyo hela...kweli kuna mapenz hapo?www.jamiiforums.com
Kweli nimepatikana siamini
Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa. Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda...www.jamiiforums.com
Nakuonea huruma mnoooo,ila ndo hvo haushauriki[emoji19]
Red flags zilianza onekana miaka minne nyuma huko....
Ungefanya maamuzi tangu kipind hiko ungekua ushamove on kitambo sanaaaa...
Go with the flow, jiulize kwanza ni kwanini uko hapo, ukipata jibu lizingatie. Kusema ukweli kuzaa watoto baba tofauti haipendezi, hata kama una mpango wa kuondoka jitahidi upate watoto wawili wa baba mmoja.
You can't keep a man who does'nt want to be kept; utatelekezwa hapo uishie kuwapa watoto sonona.Mkiwa na watoto wawili/watatu mmeshajenga stability. Hata jamaa ataifiria kabla hajaanza kulichapa lapa.
Mtoto ana umri gani shosti? Unaonekana kwa vile wewe ulimpenda basi umekuwa so clingy...hebu relax, jipende, oga jisugue utakate, vaa vizuri nukia....usilee kizamani.
Baada ya hapo usiwe na habari nae, usimuulize, usimuhoji chochote...Ila usiache kusmile...men are hunters in nature, let him chase you....ringia uanamke wako, usikae kinyonge
Weee[emoji16][emoji16][emoji849]Kumbe ulishauriwa hiyo 2017 now naona unajuta kweli kama witnessj alivyokwambiaga. View attachment 1967967
Yaani hua unanichekesha sana unavyozisifia...[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 1968040
Ni utoto na mawazo ya wavulana lakini sio mwanaume anayejielewa, mwanaume anayejielewa lazima ajue suala zima la uzazi kwa mwanamke litabadilisha muonekano na tabia, lazima ujiandae kiakili...Wanawake mnajisahau sana pindi mnapozaa mnapokuwa sasa n wazazi.
Ndio kimeumana hapo jamaa hana hamu amekupa likizo ulee mtoto,manyonyo imekuwa hotel ya mtoto full nje nje.
Ulele udada udada umepotea.
Vumilia kaa chin jipande coz hakutegemea kama baada ya kuzaa ndio hivyo
Ni sawa pia kama ndo mtazamo uliojiwekea. Mimi ni nani hata nikupingeMambo ya ulaya hayo
Huku Africa mzee.
Kama Bibi zetu wangekuwa na fikira hizi sijui ingekuwaje
Well saidYou can't keep a man who does'nt want to be kept; utatelekezwa hapo uishie kuwapa watoto sonona.
Sent using Jamii Forums mobile app
We msabato wa wapi na ushirikina Naka, si chedi bwana[emoji39][emoji39]Mshana umerudia yake mambo?? Nataka nikamloge mtu ....ila ni kisiki hatari hakilogeki kirahisi. Nipe chimbo la maana hata ikiwezekana kwenda gambosh OG nitaenda. Ninae aliyekamatika mahali nataka nimnasue