EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Sio kweli ni personality tu watu tunatofautiana sanaHuyo mwanaume hampendi hata kumtamani amtamani, hakuna mahusiano yasiyokua na mapungufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli ni personality tu watu tunatofautiana sanaHuyo mwanaume hampendi hata kumtamani amtamani, hakuna mahusiano yasiyokua na mapungufu
Kwa style hii huyu achape mwendo tu ameanza kulalamika long time hivi?Anaomba ushauri, tabia za mumewe zinamchanganya
Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida sana. 1). Jamaa mkimya sana akiamka asubuhi salamu anaaga anaenda kazini akirudi salamu anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni...www.jamiiforums.com
Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje? Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla. Akisafiri unatamani asirudi dah! Mmewezaje jamani nipeni mbinuwww.jamiiforums.com
Mume wa ndoa akikujibu hivi utajisikiaje?
Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa. Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu. Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa...www.jamiiforums.com
Wanandoa nisaidien hili swali
Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani? mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu...www.jamiiforums.com
Maamuzi magumu: Mume wangu hanijali kwa chochote, nataka kuachana naye
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja 1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza? 2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini...www.jamiiforums.com
Msaada: Mwanaume ninayeishi naye haoneshi kunipenda na hataki tuachane
I hope mko poa guys Naitaji ushauri hapa serious kabisa Mimi ni mwanamke nina miaka 30 nina mchumba ambaye wazazi walishatupa ruhusa ya kuishi pamoja Mwaka 2016 nilipata kazi ya muda mfupi katika kampuni fulani nilifanya kazi ndani ya miezi minne nilikutana na kaka ana 33 kwa a Huyu Kaka...www.jamiiforums.com
Mchumba kamuachia majukumu yote
Iko hv kuna dogo anamchumba wake Mwanaume ana kazi nzuri kiasi ila ukoo mzima unamtegemea yeye, kijijini baba ake anawake 3 ambapo asilimia 80% wanamtegemea jamaa kuanzia chakula kila kitu Sasa jamaa kumbe alimpenda bidada kwakumuona anaroho nzuri pia anakibiashara kidogo ambacho kinatosha...www.jamiiforums.com
Msaada wa ushauri: Je, asitishe kwanza upande wa mwanaume kumtolea mahari?
Ni mdada ana mchumba wake wana mwaka sasa Jamaa amekua na tabia ya kuwasiliana kwa siri na wanawake na dada akigundua jamaa anaomba msamaha yanaisha. Jumamos wazazi wa mume wamepanga kuja kupanga mahari. Sasa Jana wakati wanaongea bidada kagundua jamaa ana simu nyingine ambayo yeye haijui na...www.jamiiforums.com
Ushauri: Kila wakitaka kujenga ndugu/wazazi wa mume wanahitaji mume awasaidie
Changamoto za ndoa, dada yupo na stress za kufa mtu. Iko hivi, kuna hawa wanandoa wameoana wana miaka karibia 2 sasa ya ndoa yao baba mwalimu wa secondary na mama mwalimu wa primary. Dada anadai alipoolewa walikaa baadae mwanaume akamwambia ili wae huru kufanya maendeleo ya familia yao inabidi...www.jamiiforums.com
Unamchumba wako ambae mnatarajia kufunga ndoa alafu 'ukachit' inakua nini chanzo?
Hope mko poa, Nyie wanaume wa humu naombeni jibu. Hivi pale inapotokea unamchumba wako ambae soon mnafunga ndoa alafu ukachit inakua; a) Tamaa b) Tabia yako c) Nature kama mnavyodai d) Mchumba wako haumpendi umelazimishwa tu au nini hasa? Naombeni jibuwww.jamiiforums.com
Nimechanganyikiwa, mwanaume akinipa hela ananiomba tena hela
Mpaka kuandika natetemeka... Nina mpenzi wangu tuna 5 au 6 month yeye ana kazi anapokea kama 1m hivi kwa mwezi. Mimi nina biashara napata kama laki 3 hivi kwa mwezi. Nimepanga chumba, kula, kodi ya kibanda na nyumba ni juu ya hiyo laki 3 ambayo ndio faida katika biashara yangu. Lengo la...www.jamiiforums.com
Kwa wanawake tu: Alinipa mtaji sasa hanipi tena hela ya matumizi
Ninamchumba/mpenzi tulikua katika maongezi nikamuomba aniongezee mtaji, nina kiduka cha nguo sasa basi mwisho wa mwezi kaniletea laki 1 kama mtaji. Ajabu yaani any time akitaka kuja anakula na haleti kitu wala haachi kitu means ule mtaji unatumika, akijisikia anakuja analala anaondoka hata mia...www.jamiiforums.com
Hili swali linaniumiza sana kichwa
Mi ninamchumba/mpenzi ambae hatuna muda mrefu tuko katika relation nadhani kama miezi kadhaa tu hivi haifiki 6 sasa huyu mwenzangu kama simuelewi hivi sijui nimaumbile, mazoea, hanipendi yaani sielewi. Yaani kwake ningumi kuniita mpenzi, yaani majina tu ya kimapenzi ningumu akijitahidi sana...www.jamiiforums.com
Njooni tujadili kidogo hili
Et jmn mfano upo katika relation na umepata shida ya gafla inahitaji kama laki kazaa hv...katika akiba yako umepeleza laki 1....unamshirikisha mpenz/mchumba wako ambae unajua kabisa uwezo wa kukupa anao ila anakushauri uuze cm au uuze kitu cha ndani ili upate hiyo hela...kweli kuna mapenz hapo?www.jamiiforums.com
Kweli nimepatikana siamini
Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa. Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda...www.jamiiforums.com
Nakuonea huruma mnoooo,ila ndo hvo haushauriki[emoji19]
Red flags zilianza onekana miaka minne nyuma huko....
Ungefanya maamuzi tangu kipind hiko ungekua ushamove on kitambo sanaaaa...
Hawa kina okechuku wetu wa sasa, hata ungezaa Mia. Mhusika atafute tu furaha yake na alee mtoto wakeMkiwa na watoto wawili/watatu mmeshajenga stability. Hata jamaa ataifiria kabla hajaanza kulichapa lapa.
Mpe solution ya maanaGo with the flow, jiulize kwanza ni kwanini uko hapo, ukipata jibu lizingatie. Kusema ukweli kuzaa watoto baba tofauti haipendezi, hata kama una mpango wa kuondoka jitahidi upate watoto wawili wa baba mmoja.
Mambo ya ulaya hayoFind your happiness wherever it is.
Unadhani wanafanya hivyo kwakupenda, Mimi nimiongoni tuliozaliwa baba tofauti kwa mama na tuko watano.Hii hua inawatafuna wanawake wengi maisha yao yote, wanakuja kushtuka washazaa watoto kwa Baba tofauti halafu analoose kote maana automatically anaemzalisha mara ya pili sidhani atakua na realy love kwake.
Kumbe ulishauriwa hiyo 2017 now naona unajuta kweli kama witnessj alivyokwambiaga.Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake. Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenzi.
Baada ya miezi 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahari tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe. 2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine nami Dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja.
Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lakini namshukuru Mungu ninamtoto wa miezi. Kilichonifanya nije humu jamaa mapenzi kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa. Yaani hana hata kidogo.
Tunaweza maliza hata mwezi hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kauli nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safiri hata wiki zaidi ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi. Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako.
Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukani, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe. Bt mapenzi hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu. Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima.
Nahisi kudata nifanyeje?
HAHAHAHHA jaman Demi , hivi kufunga ndoa ndio upendo eeehHakuna cha uportable wala ubonge. Mwanaume akikupenda atakupenda tu kwa hali yoyote labda uwe mchafu au ubadilike tabia ndo atakudis.
Na kama ni ubonge atakusaidia kupambana na hiyo hali kwa upendo urudi normal.
Tangu mwanzo mwanaume hakuwa na upendo...sijaona sehemu amesema wamefunga ndoa ( nirekebishe kama nimekosea) bali wamevutana tu kuishi wote
yaani umenena vyema, akicheza atachapwa bakora na wanaume kibao mwisho wa siku watamuacha wote atabaki akisema laiti ningejua,,,pls bora ajue sasa hiviMtoto ana umri gani shosti? Unaonekana kwa vile wewe ulimpenda basi umekuwa so clingy...hebu relax, jipende, oga jisugue utakate, vaa vizuri nukia....usilee kizamani.
Baada ya hapo usiwe na habari nae, usimuulize, usimuhoji chochote...Ila usiache kusmile...men are hunters in nature, let him chase you....ringia uanamke wako, usikae kinyonge