Akili za usiku hizi, na hawa ndo waume zetu,,Labda kabla hujazaa ulikuwa na tako na sasa limeisha. Sijui kuna mazingaombwe gani aisee. Binti kabla hajazaa mtako huoo anaburuta. Sasa subiri akijifugua abakie na unene wake wa mimba na kitambi aisee tako linapotea kabisa. Tena ukimkuta hata kujipodoa keshaacha mzuka wote kwisha yaani lakini ndo hivyo ushabeba...Mwili wa mwanamke hubadilika sana vijana chagueni vizuri hasa kama kigezo kimojawapo ni uzuri wa mwili....tako, nyonyo..n.k
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake
Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha
Huwa hayaishi bila sababu,kutakuwa kuna kitu tu.Inaweza kuwa una majibu ya kero,mvivu,mchafu,muongo,mbishi,mbinafsi,mshirikina,ameshakudaka na vimeseji au picha na ma ex wako n.k,saa nyingine hata mwili,inawezekana ulikuwa na mwili mdogo sasa hivi umejiachia umevimbiana lazima akuchoke,jichunguze utagundua tu una kasoro inamkera lkn anashindwa kukuweka wazi...Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake
Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenz
Baada ya miez 6 akanipeleka kwao akaja kwetu akanitolea mahar
tukapanga ndoa mzazi wake akadai ajipange Kwanza ndio atufanyie sherehe
2018 wakati mipango inaendelea akahamishwa kikaz kwenda mkoa mwingine nami dec 2018 nikamfata tukaanza kuishi pamoja
Nikapata changamoto ya kuchelewa kubeba mimba lkn namshukuru Mungu ninamtoto wa miez
Kilichonifanya nije humu jamaa mapenz kidogo aliyokua nayo kwangu yameisha kabisa
Yaan hana hata kidogo,
Tunaweza maliza hata mwez hatujasex na nikimuuliza sababu kibao, tukipishina kaul nikijinunisha hana muda na Mimi kabisa
Anaweza safir hata wk zaid ya kutuma sms wazima? Labda nimpigie Mimi
Nikimwambia niondoke hataki anadai kaa kwenye mji wako
Yes hajanifukuza, hanipigi, hanitukan, sio mkorofi, familia anahudumia japo huduma zangu binafsi nikimbembe
Bt mapenz hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu
Nikiomba ruhusa kwenda kusalimia nyumban hajali hata nikae mwaka mzima
Nahisi kudata nifanyeje???
Ukweli huu hapaLabda kabla hujazaa ulikuwa na tako na sasa limeisha. Sijui kuna mazingaombwe gani aisee. Binti kabla hajazaa mtako huoo anaburuta. Sasa subiri akijifugua abakie na unene wake wa mimba na kitambi aisee tako linapotea kabisa. Tena ukimkuta hata kujipodoa keshaacha mzuka wote kwisha yaani lakini ndo hivyo ushabeba...Mwili wa mwanamke hubadilika sana vijana chagueni vizuri hasa kama kigezo kimojawapo ni uzuri wa mwili....tako, nyonyo..n.k
Tatizo lilianzia hapo kwenye kupishana kauli na kujinunisha...Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake
Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha tukawa wapenz
Tatizo lao ni hilo, Wenye ni ya dhati TUNABANIWA, Halafu UTAMU wanapewa wengine ambao hata hawakuwa na NIA nao.Malipo ni hapa hapa duniani.
Kwanini uliwakataa waliokutongoza na kuanza kumtongoza mwanaume ambae hakupendi.
Dah kwa hiyo jamaa hana time na mbususu yako? Pole sana hapo chakufanya ni kukubali tuu jamaa hakupendi wee bega virago vyako katafute mwanaume mwengine tuu.Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake
Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu kiurafiki tukawa friends tunapiga story nikaja gundua yupo single mtoto nikajitongozesha
Huwa hayaishi bila sababu,kutakuwa kuna kitu tu.Inaweza kuwa una majibu ya kero,mvivu,mchafu,muongo,mbishi,mbinafsi,mshirikina,ameshakudaka na vimeseji au picha na ma ex wako n.k,saa nyingine hata mwili ,jichunguze utagundua tu una kasoro inamkera lkn anashindwa kukuweka wazi...
Tunaweza maliza hata mwez hatujasex na nikimuuliza sababu kibao,
Bt mapenz hamna nikimuuliza anadai wasiwasi wangu tu
Nahisi kudata nifanyeje???
Haya aendelee kufurahia fursa aliyoikimbiliaMkuu maisha ni ligi ukisubiri mambo yatokee bila juhudi zako fursa inakupita ni vizuri kuishi kimkakati
Cha msingi tafuta jabali awe anachakata hiyo tumbua la sivyo utapata shida sana kwa huyo bwana, ww zama pm watu wa kuchakata tumbua wapo wengi.... Maisha ndo haya jaya hayana part 2
Sent using Jamii Forums mobile app