Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,810
- 2,844
Khaaaa jmn nyiee..Kwa zaidi ya Mara mbili, baba mwenye nyumba anakula Mizigo ya wake za wapangaji wake.
Lakni ndo kwanza wapangaji wanazidi kuamia...
Lkn pia ukiachilia mbali ukweli kua Wake za wapangaji hao wanajua kabisa mwenye nyumba ashatembea na wake wengine wa wapangaji na ikajulikana, na pengine Waume zao Huwa wanawaonya kabisa wake zao juu ya mwenye nyumba...... Lakini Bado wake zao pia wameamua kumtunuku Bwana Katayoo !!!.
Wale tunaosema Bwana Katayoo endelea kutoa dozi , Kwa Heshima na taazima, tusimame ,tupige makofi paaa paaaa paaaa!!.
Kila siku nawaambia, jamaan Wanawake Hawa sio Malaika kama mnavyodhani!!
wakati fulan nikiwa kijana mtukutu, niliwah tembea na Ndugu wanne wa mji Mmoja yaan Madada ,nasio kwamba walikua hawajui walikua.
👉Aya Jana yule Mchepuko wangu wa Ofisi pale, kaninunua , kaniblok.. namm nmesema poa .. kisa, Kajua Yale maeneo ya Frame zao, nimekula wale madem walikua wananishobokea ,alafu mademu wakaliii nimewala mademu Saba pale. .. Sasa huyu Mmoja Sijui Jana ndo wamejuana, Sijui wamenikalia kikao ??
Sasa watu wanakushobokea, ukiwaacha watasema hudindishi , ufanyeje?? Hawaishi kunisifia Kwa mchepuko wangu, aahh mie nikawala bana
wa mwisho kumla pale Jana ndo akanitafuta View attachment 2563765
Sasa kama yeye, alijua natoka na Rafiki yake ,na wapo Jiran Ofisi zao, lkn akanielewa, akaiba mpaka namba yangu ya simu Kwa rafiki yake, siku Nampa, anasema Et 'Nmekubali Kwa Moyo wangu uwe unamla "A" na Mimi pia.
alafu Leo wanajifanya wanawivu?... Nimewapiga chini wote !!!.
Kuna huyu hapa, Yeye niliwah MLA Dada yake, Sasa dada yake akawa anamsimulia mambo yangu, siku Dada yake Kaenda kunitambulisha kwake, sinayeye akaanza kunishoboke bana, Mara Shem namba, Mara nn... namm nikamuomba
View attachment 2563775
Alikuja kuleta, nikamla .. siku hizi tunachati tu, sijamla mechi ya marudio
View attachment 2563777
Sasa hivi kasafiri Yuko Ukweni kwake !!!.
👏🤣🤣 Nyinyi endeleeni kutuchapa tu fimbooo , Na sisi hasira tunarudisha Kwa wake zenu, sisi tunawachapa na Ubapa a k.a runguuu a.k.a Mashinee !!
Nyinyi so mnanjaa ya Pesa ndio maana mnapiga faini...Sisi tuna njaa ya Papuchi!!.
nasema uongo Ndugu zangu wa Familia ya Bwana Katayoo Bote🤣🤣🤣
ebu nipeni likes basi !!
Love Technician napata headache