Achapwa viboko hadharani na kupigwa faini laki mbili baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa mpangaji wake

Achapwa viboko hadharani na kupigwa faini laki mbili baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa mpangaji wake

Kwa zaidi ya Mara mbili, baba mwenye nyumba anakula Mizigo ya wake za wapangaji wake.

Lakni ndo kwanza wapangaji wanazidi kuamia...


Lkn pia ukiachilia mbali ukweli kua Wake za wapangaji hao wanajua kabisa mwenye nyumba ashatembea na wake wengine wa wapangaji na ikajulikana, na pengine Waume zao Huwa wanawaonya kabisa wake zao juu ya mwenye nyumba...... Lakini Bado wake zao pia wameamua kumtunuku Bwana Katayoo !!!.
Wale tunaosema Bwana Katayoo endelea kutoa dozi , Kwa Heshima na taazima, tusimame ,tupige makofi paaa paaaa paaaa!!.
Kila siku nawaambia, jamaan Wanawake Hawa sio Malaika kama mnavyodhani!!
wakati fulan nikiwa kijana mtukutu, niliwah tembea na Ndugu wanne wa mji Mmoja yaan Madada ,nasio kwamba walikua hawajui walikua.


👉Aya Jana yule Mchepuko wangu wa Ofisi pale, kaninunua , kaniblok.. namm nmesema poa .. kisa, Kajua Yale maeneo ya Frame zao, nimekula wale madem walikua wananishobokea ,alafu mademu wakaliii nimewala mademu Saba pale. .. Sasa huyu Mmoja Sijui Jana ndo wamejuana, Sijui wamenikalia kikao ??
Sasa watu wanakushobokea, ukiwaacha watasema hudindishi , ufanyeje?? Hawaishi kunisifia Kwa mchepuko wangu, aahh mie nikawala bana

wa mwisho kumla pale Jana ndo akanitafuta View attachment 2563765
Sasa kama yeye, alijua natoka na Rafiki yake ,na wapo Jiran Ofisi zao, lkn akanielewa, akaiba mpaka namba yangu ya simu Kwa rafiki yake, siku Nampa, anasema Et 'Nmekubali Kwa Moyo wangu uwe unamla "A" na Mimi pia.
alafu Leo wanajifanya wanawivu?... Nimewapiga chini wote !!!.

Kuna huyu hapa, Yeye niliwah MLA Dada yake, Sasa dada yake akawa anamsimulia mambo yangu, siku Dada yake Kaenda kunitambulisha kwake, sinayeye akaanza kunishoboke bana, Mara Shem namba, Mara nn... namm nikamuomba
View attachment 2563775
Alikuja kuleta, nikamla .. siku hizi tunachati tu, sijamla mechi ya marudio
View attachment 2563777
Sasa hivi kasafiri Yuko Ukweni kwake !!!.

👏🤣🤣 Nyinyi endeleeni kutuchapa tu fimbooo , Na sisi hasira tunarudisha Kwa wake zenu, sisi tunawachapa na Ubapa a k.a runguuu a.k.a Mashinee !!

Nyinyi so mnanjaa ya Pesa ndio maana mnapiga faini...Sisi tuna njaa ya Papuchi!!.

nasema uongo Ndugu zangu wa Familia ya Bwana Katayoo Bote🤣🤣🤣

ebu nipeni likes basi !!
Khaaaa jmn nyiee..
Love Technician napata headache
 
Watu wanatafuta pesa tuu. Wanaamia kijiji kingine kupeleka fumanizi na kuvuna pesa. Maisha ya kijijini
 
Kwa kijijini hasa usukumani hata usipohudhuria vikao vya kiukoo unachapwa viboko mbele za wana ukoo ndio taratibu zao
 
Kwa zaidi ya Mara mbili, baba mwenye nyumba anakula Mizigo ya wake za wapangaji wake.

Lakni ndo kwanza wapangaji wanazidi kuamia...


Lkn pia ukiachilia mbali ukweli kua Wake za wapangaji hao wanajua kabisa mwenye nyumba ashatembea na wake wengine wa wapangaji na ikajulikana, na pengine Waume zao Huwa wanawaonya kabisa wake zao juu ya mwenye nyumba...... Lakini Bado wake zao pia wameamua kumtunuku Bwana Katayoo !!!.
Wale tunaosema Bwana Katayoo endelea kutoa dozi , Kwa Heshima na taazima, tusimame ,tupige makofi paaa paaaa paaaa!!.
Kila siku nawaambia, jamaan Wanawake Hawa sio Malaika kama mnavyodhani!!
wakati fulan nikiwa kijana mtukutu, niliwah tembea na Ndugu wanne wa mji Mmoja yaan Madada ,nasio kwamba walikua hawajui walikua.


👉Aya Jana yule Mchepuko wangu wa Ofisi pale, kaninunua , kaniblok.. namm nmesema poa .. kisa, Kajua Yale maeneo ya Frame zao, nimekula wale madem walikua wananishobokea ,alafu mademu wakaliii nimewala mademu Saba pale. .. Sasa huyu Mmoja Sijui Jana ndo wamejuana, Sijui wamenikalia kikao ??
Sasa watu wanakushobokea, ukiwaacha watasema hudindishi , ufanyeje?? Hawaishi kunisifia Kwa mchepuko wangu, aahh mie nikawala bana

wa mwisho kumla pale Jana ndo akanitafuta View attachment 2563765
Sasa kama yeye, alijua natoka na Rafiki yake ,na wapo Jiran Ofisi zao, lkn akanielewa, akaiba mpaka namba yangu ya simu Kwa rafiki yake, siku Nampa, anasema Et 'Nmekubali Kwa Moyo wangu uwe unamla "A" na Mimi pia.
alafu Leo wanajifanya wanawivu?... Nimewapiga chini wote !!!.

Kuna huyu hapa, Yeye niliwah MLA Dada yake, Sasa dada yake akawa anamsimulia mambo yangu, siku Dada yake Kaenda kunitambulisha kwake, sinayeye akaanza kunishoboke bana, Mara Shem namba, Mara nn... namm nikamuomba
View attachment 2563775
Alikuja kuleta, nikamla .. siku hizi tunachati tu, sijamla mechi ya marudio
View attachment 2563777
Sasa hivi kasafiri Yuko Ukweni kwake !!!.

👏🤣🤣 Nyinyi endeleeni kutuchapa tu fimbooo , Na sisi hasira tunarudisha Kwa wake zenu, sisi tunawachapa na Ubapa a k.a runguuu a.k.a Mashinee !!

Nyinyi so mnanjaa ya Pesa ndio maana mnapiga faini...Sisi tuna njaa ya Papuchi!!.

nasema uongo Ndugu zangu wa Familia ya Bwana Katayoo Bote🤣🤣🤣

ebu nipeni likes basi !!
Kwa akili hizi ndio maana ulikuwa unashabikia utekaji na roho mbaya za awamu iliyopita. Kumbe kichwani ni empty mind. Umebeba mzigo wa tikiti maji shingoni. Huwezi jisifia kwa kuwa fuska hata km ni tabia yako unaificha ili usiharibu kizazi kijacho
 
Kwa akili hizi ndio maana ulikuwa unashabikia utekaji na roho mbaya za awamu iliyopita. Kumbe kichwani ni empty mind. Umebeba mzigo wa tikiti maji shingoni. Huwezi jisifia kwa kuwa fuska hata km ni tabia yako unaificha ili usiharibu kizazi kijacho
Kizazi kijacho ninakiharibuje ?


Hiki kizazi Cha Ushoga ??

Nitolee ujinga wako.
 
Mwanaume mmoja aitwae Katayo Bote Mkazi wa Kijiji cha Kibwera Wilayani Geita Mkoani Geita, amechapwa viboko hadharani pamoja na kulipishwa faini ya shilingi laki mbili baada ya kufumaniwa na Mke wa Mtu wakiwa chumbani katika Kijiji hicho.

Emmanuel Ndalawa ambaye ni Mume wa Mke aliyefumaniwa, amekiri kumfumania Mwanaume huyo akiwa mtupu chumbani kwa Mke wake huku akisema hapo Mwanzo Mke wake huyo Mdogo alizidi kuonesha viashiria vya kuwa karibu na Mtu huyo kadri siku zilivyozidi kwenda.

Ndalawa ambaye ni Mume wa Wake wawili amesema amemfumania Mke mdogo na Katayo katika chumba ambacho Mke huyo amepangishiwa Nyumbani kwa Katayo akimaanisha aliyefumaniwa ni Baba mwenye nyumba wao anapoishi yeye na Wake zake.

Mwenyekiti wa Kijiji hicho Simion Kisinza amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na Uongozi wa Kijiji umechukua hatua ya ya kuweka nidhamu kwenye eneo hilo kwa kumuadhibu Katayo Bote hadharani kutokana na kurudia kosa hilohilo kwa Wapangaji wake kwa zaidi ya mara mbili.

Una maoni gani mwana JF.
View attachment 2563776

Source: MillardAyoUPDATES
Nguvu ya mwenye nyumba
 
Wamemuonea bure. Mke ndo alitakiwa atozwe faini kwa kukiuka mkataba na mume wake.
Kwahiyo mwenye mume karidhika kachukua pisi yake wanaendelea kuishi, 😅😅😅😅😅 raha sana
Ndoa kama NDOA
Wa ndoa kala vya ndoa akafumaniwa na WA ndoa..!!!

Haya bwana mi napita na NDOA ZENU.

#YNWA
 
Mwanaume mmoja aitwae Katayo Bote Mkazi wa Kijiji cha Kibwera Wilayani Geita Mkoani Geita, amechapwa viboko hadharani pamoja na kulipishwa faini ya shilingi laki mbili baada ya kufumaniwa na Mke wa Mtu wakiwa chumbani katika Kijiji hicho.

Emmanuel Ndalawa ambaye ni Mume wa Mke aliyefumaniwa, amekiri kumfumania Mwanaume huyo akiwa mtupu chumbani kwa Mke wake huku akisema hapo Mwanzo Mke wake huyo Mdogo alizidi kuonesha viashiria vya kuwa karibu na Mtu huyo kadri siku zilivyozidi kwenda.

Ndalawa ambaye ni Mume wa Wake wawili amesema amemfumania Mke mdogo na Katayo katika chumba ambacho Mke huyo amepangishiwa Nyumbani kwa Katayo akimaanisha aliyefumaniwa ni Baba mwenye nyumba wao anapoishi yeye na Wake zake.

Mwenyekiti wa Kijiji hicho Simion Kisinza amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na Uongozi wa Kijiji umechukua hatua ya ya kuweka nidhamu kwenye eneo hilo kwa kumuadhibu Katayo Bote hadharani kutokana na kurudia kosa hilohilo kwa Wapangaji wake kwa zaidi ya mara mbili.

Una maoni gani mwana JF.
View attachment 2563776

Source: MillardAyoUPDATES
Wanadhani wamemkata stimu!!! Subutu!!!
 
Hao wanakijiji na mume wa mwenye mke ni waungwana sana. Wameonesha mfano. Wametoa adhabu na jamaa kachukua hela kiulaini. Safi sana. Hakuna sababu kukatana mapanga kisa umefumania
 
Kwa zaidi ya Mara mbili, baba mwenye nyumba anakula Mizigo ya wake za wapangaji wake.

Lakni ndo kwanza wapangaji wanazidi kuamia...


Lkn pia ukiachilia mbali ukweli kua Wake za wapangaji hao wanajua kabisa mwenye nyumba ashatembea na wake wengine wa wapangaji na ikajulikana, na pengine Waume zao Huwa wanawaonya kabisa wake zao juu ya mwenye nyumba...... Lakini Bado wake zao pia wameamua kumtunuku Bwana Katayoo !!!.
Wale tunaosema Bwana Katayoo endelea kutoa dozi , Kwa Heshima na taazima, tusimame ,tupige makofi paaa paaaa paaaa!!.
Kila siku nawaambia, jamaan Wanawake Hawa sio Malaika kama mnavyodhani!!
wakati fulan nikiwa kijana mtukutu, niliwah tembea na Ndugu wanne wa mji Mmoja yaan Madada ,nasio kwamba walikua hawajui walikua.


👉Aya Jana yule Mchepuko wangu wa Ofisi pale, kaninunua , kaniblok.. namm nmesema poa .. kisa, Kajua Yale maeneo ya Frame zao, nimekula wale madem walikua wananishobokea ,alafu mademu wakaliii nimewala mademu Saba pale. .. Sasa huyu Mmoja Sijui Jana ndo wamejuana, Sijui wamenikalia kikao ??
Sasa watu wanakushobokea, ukiwaacha watasema hudindishi , ufanyeje?? Hawaishi kunisifia Kwa mchepuko wangu, aahh mie nikawala bana

wa mwisho kumla pale Jana ndo akanitafuta View attachment 2563765
Sasa kama yeye, alijua natoka na Rafiki yake ,na wapo Jiran Ofisi zao, lkn akanielewa, akaiba mpaka namba yangu ya simu Kwa rafiki yake, siku Nampa, anasema Et 'Nmekubali Kwa Moyo wangu uwe unamla "A" na Mimi pia.
alafu Leo wanajifanya wanawivu?... Nimewapiga chini wote !!!.

Kuna huyu hapa, Yeye niliwah MLA Dada yake, Sasa dada yake akawa anamsimulia mambo yangu, siku Dada yake Kaenda kunitambulisha kwake, sinayeye akaanza kunishoboke bana, Mara Shem namba, Mara nn... namm nikamuomba
View attachment 2563775
Alikuja kuleta, nikamla .. siku hizi tunachati tu, sijamla mechi ya marudio
View attachment 2563777
Sasa hivi kasafiri Yuko Ukweni kwake !!!.

👏🤣🤣 Nyinyi endeleeni kutuchapa tu fimbooo , Na sisi hasira tunarudisha Kwa wake zenu, sisi tunawachapa na Ubapa a k.a runguuu a.k.a Mashinee !!

Nyinyi so mnanjaa ya Pesa ndio maana mnapiga faini...Sisi tuna njaa ya Papuchi!!.

nasema uongo Ndugu zangu wa Familia ya Bwana Katayoo Bote🤣🤣🤣

ebu nipeni likes basi !!
Haya yote ya nini mkuu, unajaribu kutuaminisha nini??
Kwamba unagongana sana, unadindisha au ni nini hiki??
 
Back
Top Bottom