Usimlinganishe mtetezi wa mali za umma na madalali wanaouza nchi siku ya maonyesho bila kusoma kilichoandikwa.Jpm je? Alikushirikisha kitu gani katika mikataba ya miradi aliyoianzisha
Ni uchaguzi tu,mbona akina Zito Kabwe walikua msitari wa mbele kuhoji leo nao wapo kimya.Shivji alifunga mdomo..
Dr Slaa aliunga mkono
Mwanakijiji aliunga mkono
Pengo alisifia kila kitu...
Huku Tundu Lissu anapigwa risasi,Ben Saa nane anapotezwa...Roma anatekwa
Kuna mkataba ulishawahi kumuona kipindi chake?Usimlinganishe mtetezi wa mali za umma na madalali wanaouza nchi siku ya maonyesho bila kusoma kilichoandikwa.
Ni mtazamo wako tu hakuna uungwana wowote. Hoja za kujibu zimeisha mnatafuta huruma !Ni muungwana kwa sababu hajakutek na kuua angekuwepo lile jini Sasa hivi ingekuwa kaburini
Kwa uelewa wako mdogo unadhani JPM alikuwa ni wa viwango vya huyo mtu wenu kiasi cha kusaini mikataba ya kijinga namna hii...Kwa taarifa yako, jpm alikesha akiipitia mikataba mstari kwa mstari na kuelewa anachokisaini.Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.
Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?
1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?
2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?
3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?
Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.
Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Hivi na gesi ya Mtwara ndio tumeliwa?Mwamba JPM alikuwa ni habari nyingine !! Lakini hata kabla yake waliokuwepo waliingia mikataba ya madini na tulisikia mikataba mingine ilisainiwa Hotelini huko majuu. !!
Watu kulalamika ni halali yao !! Wala sio kumuonea nani wala nani !! Ni haki yao kujua ila na wengine huwa wana chuki zao binafsi !! Sisi tunataka kuona positive results katika maendeleo ya Nchi !!
Mmh! Sijui wakubwa ndio wanajua !Hivi na gesi ya Mtwara ndio tumeliwa?
Mijitu mingine sijui ikoje...Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.
Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?
1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?
2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?
3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?
Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.
Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Mwamba alikuwa anatisha. !!Mbona kwa Jpm mliufyata hakuna alithubuti kuhoji chochote hata bungeni hawakuruhisiwa kuona mkataba wowote.
Wee mburula Magufuli alikuwa anaimba win win situation ingawa alikuwa anajiwekea 10% yake! Hakuwahi ku-sign mikataba ya kuuza ardhi yetu, hawa nguruwe wanauza nchi kabisa na ndiyo sababu DP World wanataka wenye nchi wakubali kupitia bunge!Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.
Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?
1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?
2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?
3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?
Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.
Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Sasa kama tupo tupo hakuna marndeo yoyote si Bora tuuze nchi tu. Ni sawa na mtu ana ng'ombe mia lakini anakufa njaa eti hataki kuchinja ng'ombe wake.Wee mburula Magufuli alikuwa anaimba win win situation ingawa alikuwa anajiwekea 10% yake! Hakuwahi ku-sign mikataba ya kuuza ardhi yetu, hawa nguruwe wanauza nchi kabisa na ndiyo sababu DP World wanataka wenye nchi wakubali kupitia bunge!
Mwendazake alikua rais rock.Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.
Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?
1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?
2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?
3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?
Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.
Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Klichomkuta ndiyo stahiki ya ubabe wakeHivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.
Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?
1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?
2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?
3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?
Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.
Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Huwo ni mtazamo wako japo huwezi juwa kwanini mkataba umeletwa kwa raia waongee kama hujuwi Magu alikuwa akipeleka mikataba kwa wasomi ikajadiliwe before haijapita huu umeshuswa kwa amri na ndio maana bunge pia wakapitisha japo wakawa wajanja kusema wamepitisha majadiliano.Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.
Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?
1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?
2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?
3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?
Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.
Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Wamiliki halali wa hiyo rasilimali kutoa maoni yao ndio kumuandama kiongozi wao?...Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.
Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?
1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?
2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?
3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?
Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.
Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
We uliwahi kuona wamasai wanahamishwa Loliondo kipindi cha JPM? Uliwahi kuona masoko yanachomwa leo na kesho yake fedha za kuyajenga inapatikana? Uliwahi kuona bei ya kununulia ndege inaongezwa masifuri kibao? Uliwahi kuona akisafiri nje na na utitiri wa watu kwenda kwenye mnada? Uliona maji na umeme vinakatika?Kuna mkataba ulishawahi kumuona kipindi chake?
Ww ni wale wanao amini rais ni Mungu. JPM hakuwa mtu, bali alikuwa shetani katika umbile la binadamu. Sasa kumlinganisha na huyo bibi wa kikojani ni kutojitambua. Ni hivi, bandari haiuzwi.Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.
Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?
1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?
2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?
3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?
Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.
Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Wasomi Gani amelikuwa anawapelekea. Kama.ni hivyo basi alikuwa analidharau baunge na hivyo alikuwa haheshimu katiba ndoama kwa Jpm kuvunja katiba ilikuwa swala la kawaida kwake.Huwo ni mtazamo wako japo huwezi juwa kwanini mkataba umeletwa kwa raia waongee kama hujuwi Magu alikuwa akipeleka mikataba kwa wasomi ikajadiliwe before haijapita huu umeshuswa kwa amri na ndio maana bunge pia wakapitisha japo wakawa wajanja kusema wamepitisha majadiliano.
Pili kama hujuwi kwanini Jaji mkuu na Spika hawashitakiwi basi ona kama unavyo ona ila Siri Kali🤐 kama Siri sio Kali mwambie Mzee wa Msoga aongee issue ya DPW