Acheni kumuandama Rais Samia, angeweza kusaini bila kuwashirikisha na msingefanya chochote

Acheni kumuandama Rais Samia, angeweza kusaini bila kuwashirikisha na msingefanya chochote

Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Kataa DP World... kataa wahuni.
 
We uliwahi kuona wamasai wanahamishwa Loliondo kipindi cha JPM? Uliwahi kuona masoko yanachomwa leo na kesho yake fedha za kuyajenga inapatikana? Uliwahi kuona bei ya kununulia ndege inaongezwa masifuri kibao? Uliwahi kuona akisafiri nje na na utitiri wa watu kwenda kwenye mnada? Uliona maji na umeme vinakatika?
Nisingeona kwa sababu kipindi kile Bata wa kunionesha alinyimwa hiyo fursa. Vyombo vya habari havikuruhusiwa kabisa kuripoti kitu ambacho hakipendezi serikali. Kumbuka hata ule wizi wa 1.5 trillion ulimuondoa prof Asad.
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu

Kwaio wewe una akili kumzidi huyo mzee
 

Kwaio wewe una akili kumzidi huyo mzee
Ndiyo Nina akili kumzidi. Mi nilikuwa na div one y point 7 nikaenda combination ngumu yaani pcm na yeye alikuwa na div three akaenda combination ya ki mama yaani hgk.
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaAka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Acha upumbavu wako na utofautishe Bandari na miradi uliyoitaja!
Bandari ndio moyo wa Uchumi wa Tanzania.
 
Kwa akili zako huo mkataba wa Bandari amemshirikisha nani ?
Huo mkataba ulisainiwa kimya kimya sema tu watu waliamua kuuvujisha ndipo akaona ajisafishe kupitia Bunge. Hivi uliona wapi mtu anakushirikisha kujadili mkataba ambao ameshasaini tayari ?
Amini nakwambia watanzania wengi akili yao ni kama ya mtoa mada kwamba raisi anastahili kufanya lolote na kumkosoa ni kosa. Ndio maana Tanzania bado sana
 
Shivji alifunga mdomo..
Dr Slaa aliunga mkono
Mwanakijiji aliunga mkono
Pengo alisifia kila kitu...

Huku Tundu Lissu anapigwa risasi,Ben Saa nane anapotezwa...Roma anatekwa
Kwa hiyo unataka na sasa wafunge midomo au sio? So, ukiwa mjinga inabidi uendelee kuwa mjinga daima hutakiwa kubadilika?
 
Amini nakwambia watanzania wengi akili yao ni kama ya mtoa mada kwamba raisi anastahili kufanya lolote na kumkosoa ni kosa. Ndio maana Tanzania bado sana
Mbona jpm alifanya lolote na chochote mpaka kumlamba lisu lisasi 32?
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu

Trash
 
Mbona jpm alifanya lolote na chochote mpaka kumlamba lisu lisasi 32?
Bado walikuwa wanamkosoa ndio maana wengine wakapotea na wenginr akawalima risasi, wengine akawafunga kwani alifanya hivyo kwa sababu walikuwa wanampongeza? Kila zama zina wakosoaji na waimba mapambio kwa hiyo acha waendelee kumkosoa
 
Wamiliki halali wa hiyo rasilimali kutoa maoni yao ndio kumuandama kiongozi wao?...
Wewe ni bwege mtozeni.
Kwa jpm mngefanya hivi. Mngekuwa mpaka Sasa hivi mkonkwenye viroba
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Mwigulu na Nape mara kadhaa wamesema msitumie uungwana wa Rais Samia vibaya mkajua ni dhaifu..

Ni hajaamua na sio hulka yake kuwa dikteta ndio maana wakati Jiwe anawashughulikia alikuja kuwaona hospital licha ya Jiwe kununa.
 
Hiyo miradi yote ya JPM uliyoitaja tunaona manufaa yake Acha chuki binafsi kama kakosea lazima akosolewe period
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Kwa taarifa yako huu mkataba umevujishwa, uko signed toka october 2022. Hata tunadisucss kitu ambacho tiyari kishawekewa wino.
 
Kwa uelewa wangu,Naona unashindwa kutofautisha uloyataja na hili la bandari.

Hayo yote yanajengwa na yanaachwa hapa nchini na hakuna anaehusika kuyatumia au kuyaendesha wa nje.

Ila la bandari ni unamkabidhi mtu na ndo hivyo hatujuia ni kwa muda upi.

Alafu tusifananishe mlango wa nchi na mambo mengine yoyote
Lakini hata SGR Ina riba kubwa sana huku tumelazimishwa kukopa benki husika tu. Kasome performance audit ya CAG uone jinsi mkataba ulivyokua wa kinyonyaji.
 
Back
Top Bottom