ACP Kingai ni vyema na haki ikiwa utarejesha Tsh 260,000 fedha za mtuhumiwa wa ugaidi

ACP Kingai ni vyema na haki ikiwa utarejesha Tsh 260,000 fedha za mtuhumiwa wa ugaidi

Lakini hebu turudi kwa wanasheria wa serikali wanaoshiriki kubuni njia, mbinu na mtiririko wa matukio feki na kujifanya wanamuongoza mashahidi ili waseme kilichojiri wakati wanajua kabisa kwamba yanasemwa ni uongo, uongo mtupu, tena chini ya kiapo, hao nao si kama wafarisayo walio mtengenezea Yesu mashtaka ya uongo? Hao kweli watauona ufalme wa Mungu?!?!?!
Katika mashata sijasikia habari ya kulipia vituo vya mafuta, wala sijaona vilipuzi au mabomu yaliyowekwa kama vidhibiti vya kazi hiyo, au walitaka kuilipua kwa Pilato na lete 83 za mihadarati????
 
Kutumia neno uchafu huwatendei haki- tumia neno wameoza na funza juu... wachafu sana ...wanamnyang'anya mtu sh 260,000, mtu aliyetoa maisha yake kwa ajili ya nchi na bado wanaenda kumshuhudia uongo. Hao ni funza tu ndani ya kidonda au parasite ndani ya tumbo.
Mkuu umefunga kazi sina la kuongezea. Barikiwa sana.
 
Wakuu wote heshima sana.

Sote tumekuwa tukifuatilia kesi ya UGAIDI inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA na watuhumiwa wengine watatu.

Jana baada ya upande wa mashtaka kuwaondoa mashahidi wanne,mtuhumiwa wa Ugaidi mwanajeshi mstaafu au ukipenda mstaafishwa alipanda kizimbani kwa minajili ya kujitetea.

Akiongozwa na wakili wa utetezi alibainisha wazi wakati wa ukamataji ACP Kingai alichukua simu zake na fedha kiasi cha Tsh 260,000.

Muungwana ni vitendo ni vyema Kingai akamrejeshea mtuhumiwa fedha zake bila kujali Mtuhumiwa atashinda au atashindwa kesi yake.

Ikiwa ACP Kingai alishatafuna fedha za mtuhumiwa na hali ya uchumi imemkalia vibaya basi atoe namba zake za simu Sisi waTanzania ni watu wenye huruma hakika tutachanga kama tunavyochangia watu wengine bila kinyongo wala hiyana.

Naomba kuwasilisha.
Wakitoa ushahidi walimkuta na 260,000/= za bandia! Si kesi juu ya kesi ya kesi.
 
Hiki chombo kina watendaji wachafu mno wengine very senior! Ukiona uchafu unaofanyika huko chini kwa matrafiki na watendaji wengine ni reflection ya kutokea juu.
Hebu fikiria umekamatwa na traffic police Kwa kosa la kukubambikia ukaona uende Kwa RPC na RPC mwenyewe ni Kingai au wa namba yake unategemea kweli kupata haki yako?? Si watakubadilishia kosa na kukuwekea hata silaha kwenye gari laki au viungo vya binadamu???

Hangaya akiendelea kucheka na hawa watu basi tutaamini kuwa nae ni sehemu ya uchafu ule.
 
Wakitoa ushahidi walimkuta na 260,000/= za bandia! Si kesi juu ya kesi ya kesi.
... hayo yote yalitakiwa kuonekana kwenye hati ya mashitaka (charge sheet). Lakini kwa kuwa kesi yote imejaa hila hawakutaka kuorodhesha hizo fedha kama ambavyo wanadai kuwakuta na bastola na madawa ya kulevya lakini vyote kwenye charge sheet havipo!
 
Wangapi wasiokua na watu au connection ya kupambaniwa wanadhulimiwa haki zao...

Inasikitisha sana...
 
ni wachafu sana me na mdogo wangu walichukuwa simu na mapaka leo hawajarudisha tena mmoja yuko kwenye hii kesi ukienda kituoni unazungushwa to
 
Wakuu wote heshima sana.

Sote tumekuwa tukifuatilia kesi ya UGAIDI inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA na watuhumiwa wengine watatu.

Jana baada ya upande wa mashtaka kuwaondoa mashahidi wanne,mtuhumiwa wa Ugaidi mwanajeshi mstaafu au ukipenda mstaafishwa alipanda kizimbani kwa minajili ya kujitetea.

Akiongozwa na wakili wa utetezi alibainisha wazi wakati wa ukamataji ACP Kingai alichukua simu zake na fedha kiasi cha Tsh 260,000.

Muungwana ni vitendo ni vyema Kingai akamrejeshea mtuhumiwa fedha zake bila kujali Mtuhumiwa atashinda au atashindwa kesi yake.

Ikiwa ACP Kingai alishatafuna fedha za mtuhumiwa na hali ya uchumi imemkalia vibaya basi atoe namba zake za simu Sisi waTanzania ni watu wenye huruma hakika tutachanga kama tunavyochangia watu wengine bila kinyongo wala hiyana.

Naomba kuwasilisha.
Haya mapolisiccm ni noma sana.
 
Hamza analaumiwa bure ila alikuwa na lake jambo dhidi ya polisi. Mbio mbio wakakimbilia ku-conlude alikuwa gaidi ili kuficha udhulumati waliomtendea.

Ifike mahali kuwe na independent body ya ku-oversee jeshi la polisi. Wana abuse sana mamlaka yao!

Ukweli mchungu Raia/Wananchi wengi wamekosa imani na Jeshi la Police 👮‍♀️
 
Wakuu wote heshima sana.

Sote tumekuwa tukifuatilia kesi ya UGAIDI inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA na watuhumiwa wengine watatu.

Jana baada ya upande wa mashtaka kuwaondoa mashahidi wanne,mtuhumiwa wa Ugaidi mwanajeshi mstaafu au ukipenda mstaafishwa alipanda kizimbani kwa minajili ya kujitetea.

Akiongozwa na wakili wa utetezi alibainisha wazi wakati wa ukamataji ACP Kingai alichukua simu zake na fedha kiasi cha Tsh 260,000.

Muungwana ni vitendo ni vyema Kingai akamrejeshea mtuhumiwa fedha zake bila kujali Mtuhumiwa atashinda au atashindwa kesi yake.

Ikiwa ACP Kingai alishatafuna fedha za mtuhumiwa na hali ya uchumi imemkalia vibaya basi atoe namba zake za simu Sisi waTanzania ni watu wenye huruma hakika tutachanga kama tunavyochangia watu wengine bila kinyongo wala hiyana.

Naomba kuwasilisha.
Kwanza anatakiwa ashitakiwe kwa ujambazi
 
Back
Top Bottom