Hiv unadhan wale makomando wakiachiwa wakiamua kulipa kisasi itakuwajeHuyu mungu aliyejaza roho ya kusamehe ni mwema sana vinginevyo hawa police si tunaishi nao uraiani tunge deal nao kimtaa mtaaa mbona pangekua uwanja wa vita
Wote ni majambaziFedha walitumia yeye na Mahita toka Moshi na kuja kutanulia Dar es Salam.
Kuna tofauti gani kati ya huyu na aliyejifanya kaimu afisa kodi Lengai Ole Sabaya?
Sio kama alivyowadhalilisha watuhumiwa. Ila malipo ni hapa hapa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ila jamaa kadhalilika sana
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mkuu umefunga kazi sina la kuongezea. Barikiwa sana.Kutumia neno uchafu huwatendei haki- tumia neno wameoza na funza juu... wachafu sana ...wanamnyang'anya mtu sh 260,000, mtu aliyetoa maisha yake kwa ajili ya nchi na bado wanaenda kumshuhudia uongo. Hao ni funza tu ndani ya kidonda au parasite ndani ya tumbo.
Je mtuhumiwa aliruhusu zitumike? Na pia ujue Bwana Adamoo anasema hicho chakula cha pale Himo hakikuwepokingai si aliitolea maelezo hiyo hela kuwa aliwanunulia watuhumiwa nyama na Mo Energy.
Wakitoa ushahidi walimkuta na 260,000/= za bandia! Si kesi juu ya kesi ya kesi.Wakuu wote heshima sana.
Sote tumekuwa tukifuatilia kesi ya UGAIDI inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA na watuhumiwa wengine watatu.
Jana baada ya upande wa mashtaka kuwaondoa mashahidi wanne,mtuhumiwa wa Ugaidi mwanajeshi mstaafu au ukipenda mstaafishwa alipanda kizimbani kwa minajili ya kujitetea.
Akiongozwa na wakili wa utetezi alibainisha wazi wakati wa ukamataji ACP Kingai alichukua simu zake na fedha kiasi cha Tsh 260,000.
Muungwana ni vitendo ni vyema Kingai akamrejeshea mtuhumiwa fedha zake bila kujali Mtuhumiwa atashinda au atashindwa kesi yake.
Ikiwa ACP Kingai alishatafuna fedha za mtuhumiwa na hali ya uchumi imemkalia vibaya basi atoe namba zake za simu Sisi waTanzania ni watu wenye huruma hakika tutachanga kama tunavyochangia watu wengine bila kinyongo wala hiyana.
Naomba kuwasilisha.
Hebu fikiria umekamatwa na traffic police Kwa kosa la kukubambikia ukaona uende Kwa RPC na RPC mwenyewe ni Kingai au wa namba yake unategemea kweli kupata haki yako?? Si watakubadilishia kosa na kukuwekea hata silaha kwenye gari laki au viungo vya binadamu???Hiki chombo kina watendaji wachafu mno wengine very senior! Ukiona uchafu unaofanyika huko chini kwa matrafiki na watendaji wengine ni reflection ya kutokea juu.
... hayo yote yalitakiwa kuonekana kwenye hati ya mashitaka (charge sheet). Lakini kwa kuwa kesi yote imejaa hila hawakutaka kuorodhesha hizo fedha kama ambavyo wanadai kuwakuta na bastola na madawa ya kulevya lakini vyote kwenye charge sheet havipo!Wakitoa ushahidi walimkuta na 260,000/= za bandia! Si kesi juu ya kesi ya kesi.
haya ndiyo ya kumuuliza kingai, laki 2 na 60 ikatumika kununua energy na choma😂😂😂.Je mtuhumiwa aliruhusu zitumike? Na pia ujue Bwana Adamoo anasema hicho chakula cha pale Himo hakikuwepo
Na hii Ni kesi ndogo kesi kubwa atapanda Tena kizimbani kutoa ushahidiSio kama alivyowadhalilisha watuhumiwa. Ila malipo ni hapa hapa
Pesa ya dhuluma unaenda kulipia Ada watoto? Au unajengea nyumba? Au unanunulia gari? Lazima utadhurika tu ndio maana wakitoka kazini wanakua wamechokaaaa
Haya mapolisiccm ni noma sana.Wakuu wote heshima sana.
Sote tumekuwa tukifuatilia kesi ya UGAIDI inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA na watuhumiwa wengine watatu.
Jana baada ya upande wa mashtaka kuwaondoa mashahidi wanne,mtuhumiwa wa Ugaidi mwanajeshi mstaafu au ukipenda mstaafishwa alipanda kizimbani kwa minajili ya kujitetea.
Akiongozwa na wakili wa utetezi alibainisha wazi wakati wa ukamataji ACP Kingai alichukua simu zake na fedha kiasi cha Tsh 260,000.
Muungwana ni vitendo ni vyema Kingai akamrejeshea mtuhumiwa fedha zake bila kujali Mtuhumiwa atashinda au atashindwa kesi yake.
Ikiwa ACP Kingai alishatafuna fedha za mtuhumiwa na hali ya uchumi imemkalia vibaya basi atoe namba zake za simu Sisi waTanzania ni watu wenye huruma hakika tutachanga kama tunavyochangia watu wengine bila kinyongo wala hiyana.
Naomba kuwasilisha.
Police wamepoteza uaminifu kwenye jamiiHiki chombo kina watendaji wachafu mno wengine very senior! Ukiona uchafu unaofanyika huko chini kwa matrafiki na watendaji wengine ni reflection ya kutokea juu.
Kwani Kingai ni Komandoo?TBA tunataka pambano la ndondi kati ya Kingai na Adamoo, baada ya case ya Mbowe kutupiliwa mbali.
Hamza analaumiwa bure ila alikuwa na lake jambo dhidi ya polisi. Mbio mbio wakakimbilia ku-conlude alikuwa gaidi ili kuficha udhulumati waliomtendea.
Ifike mahali kuwe na independent body ya ku-oversee jeshi la polisi. Wana abuse sana mamlaka yao!
Kwanza anatakiwa ashitakiwe kwa ujambaziWakuu wote heshima sana.
Sote tumekuwa tukifuatilia kesi ya UGAIDI inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA na watuhumiwa wengine watatu.
Jana baada ya upande wa mashtaka kuwaondoa mashahidi wanne,mtuhumiwa wa Ugaidi mwanajeshi mstaafu au ukipenda mstaafishwa alipanda kizimbani kwa minajili ya kujitetea.
Akiongozwa na wakili wa utetezi alibainisha wazi wakati wa ukamataji ACP Kingai alichukua simu zake na fedha kiasi cha Tsh 260,000.
Muungwana ni vitendo ni vyema Kingai akamrejeshea mtuhumiwa fedha zake bila kujali Mtuhumiwa atashinda au atashindwa kesi yake.
Ikiwa ACP Kingai alishatafuna fedha za mtuhumiwa na hali ya uchumi imemkalia vibaya basi atoe namba zake za simu Sisi waTanzania ni watu wenye huruma hakika tutachanga kama tunavyochangia watu wengine bila kinyongo wala hiyana.
Naomba kuwasilisha.