ACT Wazalendo: Bandari ni Hoja ya Kiuchumi, Tunaunga Mkono Uwekezaji

Siyo kila uwekezaji tu unaongeza ufanisi na kuleta tija ndiyo maana mmeachana na TICTS.
 
Nyie wote mnapinga mkiongozwa na TEC
Tena hao kanisa katoliki ndiyo kabisa walikuwa wa kwanza kutuingiza kwenye makucha ya ukoloni nchi hii.

Hao kqnisq katoliki ndiyo walikuwa vinara vya kuuwa wazalendo wa vita vya majimaji kwa jina la kurusedi.

Bila hao Tanganyika hata mjerumani asingeitawala.

Hao ni wrong number kabisa.

Wanaenda mbali kohistoriq ya kuifisadi Afrika mpaka kuuwa bila mpango ujio wao na mreno.
 
Unadhani kwa nini muswada wa mabadiliko ya sheria kuuwezesha mkataba kutekelezeka umeondolewa bungeni na serikali? Presha, presha, presha kila mahali hadi akili iwakae sawa
Hizo ni hisia zenu wapinga maendeleo ule muswaada haukupelekwa kwa ajili ya DP world
 
Bila shaka hii ni historia ya kutoka katika vitabu vya Mohamed Said
 
Ngoja muone mawazo ya Abdul Nondo yanavyogongana na ya chama chake cha ACT. Asipokuwa makini atafukuzwa

 
We ajuza ni mjinga sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…