ACT Wazalendo hivi mnashindwa kununulia viongozi wenu hata kigari cha milioni kumi? Kupanda Saratoga kutoka Kigoma mpaka DSM sio sawa

ACT Wazalendo hivi mnashindwa kununulia viongozi wenu hata kigari cha milioni kumi? Kupanda Saratoga kutoka Kigoma mpaka DSM sio sawa

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist
 
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist
Watoto wote wa viongozi wa serikali/umma walitakiwa wasome katika shule za serikali, pia viongozi wote wa serikali walitakiwa watibiwe katika hospitali za serikali za hapa hapa ndani ya nchi.
 
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist
Saratoga na Adventure zinasaidia kuyajua matatizo ya Wananchi humo mabarabarani 😂
 
Umeongea vizuri Sana .

Ila naomba niongee kidogo

Mimi huwa napanda Sana buss siku ya ijumaa kutoka Dodoma to Dsm .

Mara nyingi safari za usiku huwa nasafiri na mawaziri wengi sana.

Sitolitaja jina la buss Ila gharama za hili bus huwa ni kati ya 30-35K.

Hivyo swala la Nondo kupanda buss kutoka Kigoma kuja DSM na kutekwa halileti Picha nzuri Kwa Jamii au Taifa

Maana kuna watu hupenda kupanda buss Kwa ajili ya sababu zao binafsi ikiwemo na Mimi Na sio kuwa wanakosa nauli ya mwewe.

Kuhusu Nondo na swala la gari.

Nondo huwa anatumia usafiri wa chama hivyo sifikirii Kama ni lazima atumie aina moja ya usafiri kila siku.

Nguvu zetu tuzielekeze katika kukemea swala zima la utekaji ,na aina ngingine ya mambo Kama hayo.
 
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist
Wanakusanya kodi?
 
Umeongea vizuri Sana .

Ila naomba niongee kidogo

Mimi huwa napanda Sana buss siku ya ijumaa kutoka Dodoma to Dsm .

Mara nyingi safari za usiku huwa nasafiri na mawaziri wengi sana.

Sitolitaja jina la buss Ila gharama za hili bus huwa ni kati ya 30-35K.

Hivyo swala la Nondo kupanda buss kutoka Kigoma kuja DSM na kutekwa halileti Picha nzuri Kwa Jamii au Taifa

Maana kuna watu hupenda kupanda buss Kwa ajili ya sababu zao binafsi ikiwemo na Mimi Na sio kuwa wanakosa nauli ya mwewe.

Kuhusu Nondo na swala la gari.

Nondo huwa anatumia usafiri wa chama hivyo sifikirii Kama ni lazima atumie aina moja ya usafiri kila siku.

Nguvu zetu tuzielekeze katika kukemea swala zima la utekaji ,na aina ngingine ya mambo Kama hayo.

Umesema vizuri sana
Kitu ukiwa nacho hata usipotumia hutii huruma
 
Umeongea vizuri Sana .

Ila naomba niongee kidogo

Mimi huwa napanda Sana buss siku ya ijumaa kutoka Dodoma to Dsm .

Mara nyingi safari za usiku huwa nasafiri na mawaziri wengi sana.

Sitolitaja jina la buss Ila gharama za hili bus huwa ni kati ya 30-35K.

Hivyo swala la Nondo kupanda buss kutoka Kigoma kuja DSM na kutekwa halileti Picha nzuri Kwa Jamii au Taifa

Maana kuna watu hupenda kupanda buss Kwa ajili ya sababu zao binafsi ikiwemo na Mimi Na sio kuwa wanakosa nauli ya mwewe.

Kuhusu Nondo na swala la gari.

Nondo huwa anatumia usafiri wa chama hivyo sifikirii Kama ni lazima atumie aina moja ya usafiri kila siku.

Nguvu zetu tuzielekeze katika kukemea swala zima la utekaji ,na aina ngingine ya mambo Kama hayo.
Shabiby Extra VVIP 😂

Chuma yangu hiyo Dar - Arusha 50,000/=
 
Angekuwa anakuja na gari binafsi asingepita akiwa hai kwenye misitu kati ya Kigoma na Tabora.
Kama ni ndege basi tukumbuke jinsi Godbless Lema 'alivyotekwa' airport baada ya kuja nayo toka KIA to JNIA.
No where to hide in a police state.
 
Back
Top Bottom