Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Umeongea sahihi
Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi
Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa
Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi
Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao
Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi
Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa
Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi
Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao