ACT Wazalendo hivi mnashindwa kununulia viongozi wenu hata kigari cha milioni kumi? Kupanda Saratoga kutoka Kigoma mpaka DSM sio sawa

ACT Wazalendo hivi mnashindwa kununulia viongozi wenu hata kigari cha milioni kumi? Kupanda Saratoga kutoka Kigoma mpaka DSM sio sawa

Umeongea sahihi

Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi

Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa

Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi

Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao
 
Umeongea sahihi

Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi

Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa

Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi

Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao

Hawa kina Nondo ni vijana wetu
Wanawasemea Watanzania huku wao hakuna wa kuwasemea
 
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist
They are taking things for granted
 
Angekuwa anakuja na gari binafsi asingepita akiwa hai kwenye misitu kati ya Kigoma na Tabora.
Kama ni ndege basi tukumbuke jinsi Godbless Lema 'alivyotekwa' airport baada ya kuja nayo toka KIA to JNIA.
No where to hide in a police state.

Kwa hiyo viongozi wasinunuliwe Usafiri?
 
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist
Ndio hawatatekwa?
 
Umeongea sahihi

Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi

Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa

Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi

Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao
mil. 15 uendeshe ofisi na kununua gari unaumwa wewe
 
Kwa sasa, usafiri wa umma ndio salama zaidi kwa viongozi wa upinzani na wana harakati. Kinyume na hapo, ikiwa watatumia usafiri binafsi kwenye safari za masafa, wengi wanaweza kukamatwa, kutekwa, kuuwawa kirahisi mnoo na tusijue chochote, milele na milele.
 
Umeongea sahihi

Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi

Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa

Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi

Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao

..Ccm wanapokea ruzuku 3.2 BILLION kila mwezi.

..huenda usafiri wa umma KIUSALAMABumemsaidia Abdul Nondo kuliko angetumia usafiri binafsi.
 
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist

..Tundu Lissu alitumia usafiri binafsi ikawa rahisi kumshambulia, na karibia auwawe.

..Abdul Nondo angekuwa ktk gari binafsi angeweza kusetiwa ambush, au angetengenezewa ajali mbaya ya barabarani.
 
..Tundu Lissu alitumia usafiri binafsi ikawa rahisi kumshambulia, na karibia auwawe.

..Abdul Nondo angekuwa ktk gari binafsi angeweza kusetiwa ambush, au angetengenezewa ajali mbaya ya barabarani.

Kama ukisoma nilichoandika sijahusianisha utekaji na matumizi ya vyombo vya Usafiri

Elewa ujumbe wa nilichoandika
 
Kwa sasa, usafiri wa umma ndio salama zaidi kwa viongozi wa upinzani na wana harakati. Kinyume na hapo, ikiwa watatumia usafiri binafsi kwenye safari za masafa, wengi wanaweza kukamatwa, kutekwa, kuuwawa kirahisi mnoo na tusijue chochote, milele na milele.

Kama utekaji upo sponsored na stated hata angepanda ndege au sgr hawezi kuepuka.

Mimi nazungumzia ishu nyingine
 
..ndio tunakuelimisha sasa uliangalie suala hilo ktk mapana yake.

..kuna uhusiano kati ya utekaji, usalama, na matumizi ya vyombo vya usafiri.

Hakuna huo uhusiano.
Asilimia tisini na Tisa ya waliotekwa hawakuwa na magari na hawakuwa katika vyombo vya Usafiri akiwemo huyo Nondo

Kwa nini useme kuna uhusiano wa utekaji na vyombo vya Usafiri?
 
Hata mimi nimeshangaa Kiongozi wa Kitaifa anapanda saratoga, sjuii Mabrouk, majinja, nbc etc???

Hii haikubaliki wakuu, AcT waache ubahiri aiseee
 
Back
Top Bottom