ACT Wazalendo hivi mnashindwa kununulia viongozi wenu hata kigari cha milioni kumi? Kupanda Saratoga kutoka Kigoma mpaka DSM sio sawa

ACT Wazalendo hivi mnashindwa kununulia viongozi wenu hata kigari cha milioni kumi? Kupanda Saratoga kutoka Kigoma mpaka DSM sio sawa

K
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist
wa sasa Siasa ni biashara kweli na inalipa sana au sio ndugu. ??!
Lakini hapo zamani Mwalimu Nyerere alikuwa anatembea kwa miguu yake kutokea Pugu alikokuwa akifanya kazi mpaka viunga vya Kariakoo kwa ajili ya kukutana na wanachama na Viongozi wenzake katika mikakati yao ya kudai UHURU na mpaka Uhuru Ukapatikana !!

Kwa sasa Sihasa ni biashara muzuri ni lazima kila mutu pale iwe na motokari yake !!
Miaka inaenda mbio sana !🙄😳😱 !
 
..kuna clip fulani ambapo Mdude Nyagali anaeleza alivyoponea kutekwa.

..jamaa walimpigia simu wakimuandalia mtego wamteke.

..sasa Mdude akawa mjanja akawalengesha wakutane eneo ambalo kuna watu wengi.

..matokeo yake ni kwamba utekaji ulishindikana, na ikabidi Mdude akamatwe kwa utaratibu huku Polisi rasmi wakihusika.

..Yaani ile crowd / kadamnasi ilibadilisha utekaji, kuwa ukamataji tena wa Polisi.
Haya mambo hayupo wa kuyakemea, mwisho wa Siku yanaachwa yaendelee

Ila mwisho wake utakuwa mbaya sana

Let's wait and see
 
Mtu akiwa anasafiri kwa Gari binafsi anakuwa hatekeki au vipi ??!!
Tuzingumzie kwanini watu wanatekwa sio kwanini Viongozi kama Nondo anasafiri kwa Basi !!
Hata ukisafiri kwa Ndege kama wapo watekaji watajua watampata kwa namna gani !
Point ni moja tu kwanini Watu watekwe ???!!!
 
MKuu unaichukulia ACT kama CCM ambayo inachota tu fedha za uma ikijinufaisha?
 
Kwani Kanisani au Msikitini wanamuogopa Mungu ???! Au ???!
Ni sahihi Mkuu, lakini pia tuseme Abdul Nondo alikuwa na bahati pia

Kwa maana hata Marehemu Mzee Ali Kibao alichukuliwa akiwa kwenye usafiri wa Umma pia.

Kwahiyo hawa jamaa walipofikia wanaweza kukuteka sehemu yeyote tu kasoro Kanisani ama msikitini
 
Kwani Kanisani au Msikitini wanamuogopa Mungu ???! Au ???!
Hukumbuki mara ya mwisho waliweka Kambi nje ya Kabisa la St. Peters wakimsubiri Mnyika aliyekuwa humo ndani akisali

Kwenye hizo nyumba za Ibada wengi wanaogopa kuingia na kufanya hizo operations zao za kuteka watu
 
Hukumbuki mara ya mwisho waliweka Kambi nje ya Kabisa la St. Peters wakimsubiri Mnyika aliyekuwa humo ndani akisali

Kwenye hizo nyumba za Ibada wengi wanaogopa kuingia na kufanya hizo operations zao za kuteka watu
Basi Angalau kumbe wanamuogopa Mungu 🙏
 
Wanaogopa wakubwa zao kuandamwa na Kanisa ama Misikiti, ila wao hawamwogopi Mungu kwani Wana Imani wao wataishi Milele kwenye hii Dunia
Hatari sana !
Duniani tunapita tu !
Na malipo kwanza ni hapa hapa hata kwa Vizazi vitakavyofuata !
Tumuogope Mungu 🙏🙏
 
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist
Hicho chama Kwa Sasa kimeshatekwa na wapemba
 
Bora wapande hayo mabasi ama treni kama wanawajali sana ndege itafaa hasa kwa usafiri wa mbali kama huko kigoma. Kwa wanavyowindwa hivi akisafiri kwa gari binafsi tokea kigoma wakamvizia porini huko hakuna wa kutoa hata taarifa (kutoa msaada wanaogopa shaba). Kwa hiyo bora usafir wa public sintofahamu inapunguzwa.
 
Angekuwa na gari yake uenda ingekuwa very simple kumaliza hyo plan yke lkn gari la public lilichochea kuleta ugumu jinsi ya kumteka nadhani kidgo kwenye usafiri wa ndege.
 
Kwema Wakuu!

Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.

Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana

Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.

Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?

Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?

Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?

Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?

Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.

Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.

Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.

Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure

Kwako johnthebaptist

Halafu wanategemea wakipewa Bahasha na Ccm wakatae!
 
Back
Top Bottom