Yes, siasa za Africa ni ngumu Sana .
Ndo maana MTU akipata Madaraka huwa akubali kumuachia MTU.
Umeongea sahihi
Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi
Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa
Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi
Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao
They are taking things for grantedKwema Wakuu!
Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.
Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana
Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.
Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?
Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?
Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?
Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?
Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.
Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.
Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.
Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure
Kwako johnthebaptist
Angekuwa anakuja na gari binafsi asingepita akiwa hai kwenye misitu kati ya Kigoma na Tabora.
Kama ni ndege basi tukumbuke jinsi Godbless Lema 'alivyotekwa' airport baada ya kuja nayo toka KIA to JNIA.
No where to hide in a police state.
They are taking things fir granted
Wanajisahau sana, zama zileee! ZimebadilikaHatari Sana
Ndio hawatatekwa?Kwema Wakuu!
Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.
Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana
Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.
Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?
Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?
Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?
Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?
Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.
Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.
Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.
Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure
Kwako johnthebaptist
Wanajisahau sana, zama zileee! Zimebadilika
Ndio hawatatekwa?
mil. 15 uendeshe ofisi na kununua gari unaumwa weweUmeongea sahihi
Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi
Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa
Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi
Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao
Maccm??? Huyu Mondo inaonesha simu yake ilikuwa imehekiwa!Acha shibe bwana mdogo kushinda uenyekiti wa mtaa tu kwa kuibiwa kura basi saiz unajiona umetoboa et mpk ukashifu kiongoz wa chama kingine
Umeongea sahihi
Kama sikosei ACT Wazalendo wanapokea Ruzuku zaidi ya milioni 15 Kwa Mwezi
Nafikiri hawawezi kushindwa kuwanunulia ist ama Klugger Viongozi wao wa Kitaifa
Hata hivyo, zipo Benki zinakopesha vyama vyenye Usajili wa kudumu na vyenye kupata Ruzuku hata kama ni milioni 3 Kwa Mwezi
Nafikiri ni ubinafsi tu wa Viongozi wao
Kwema Wakuu!
Mwezi wa tano mwaka huu nilikuwa maeneo ya Kigoma. Kwa usafiri wa Basi kutoka Kigoma Mpaka DSM ni mbali Sana. Hayatapungua Masaa 20 ukiwa njiani unaugulia maumivu ya mgongo na kiuno.
Sasa kufuatia tukio la kutekwa kwa ndugu Abdul Nondo ambaye kwa mujibu wa maelezo yake anadai alikuwa anatoka Kigoma kwa Basi Mpaka DSM. Nimejiuliza maswali Mengi Sana
Hivi kijana mwenye cheo cha Mwenyekiti wa vijana bila Shaka ngazi ya taifa kwa chama cha ACT Wazelendo anakosaje usafiri binafsi Mpaka asafiri umbali mrefu kiasi hicho.
Tufanye hakuna Pesa ya gari vipi hata kupanda ndege. Ili kuokoa Muda na mateso ya umbali wa safari ya Kigoma Dsm?
Je ACT Wazalendo hawana pesa ya kurahisisha utumishi wa viongozi wao kama Abdul Nondo?
Je ACT Wazalendo hawajali viongozi wao hasa vijana? Kama hawamjali Mwenyekiti wa ngome ya vijana taifa watamjali kijana yupi?
Je Abdul Nondo ndiye Mbishi hataki kutumia Usafiri aliopewa na chama?
Ndugu Zitto Kabwe embu wafikirie hao vijana hapo ACT Wazalendo wasitie tie huruma.
Mtu ameshafikia nafasi ya juu ya uongozi kumaanisha tayari ni public Figure. Kukosa vitu Vidogo kama Usafiri binafsi ni kumnyanyasa kisaikolojia.
Kijana atatia Tia huruma
Kijana ataathirika kisaikolojia.
Kijana atakuwa anajificha ficha akipita kwenye msongamano WA watu.
Mpeni heshima anayostahili Huyo kijana.
Yaani masaa ishirini kwenye Basi. Loooh! Labda ingekuwa adventure
Kwako johnthebaptist
..Tundu Lissu alitumia usafiri binafsi ikawa rahisi kumshambulia, na karibia auwawe.
..Abdul Nondo angekuwa ktk gari binafsi angeweza kusetiwa ambush, au angetengenezewa ajali mbaya ya barabarani.
Kwa sasa, usafiri wa umma ndio salama zaidi kwa viongozi wa upinzani na wana harakati. Kinyume na hapo, ikiwa watatumia usafiri binafsi kwenye safari za masafa, wengi wanaweza kukamatwa, kutekwa, kuuwawa kirahisi mnoo na tusijue chochote, milele na milele.
Kama ukisoma nilichoandika sijahusianisha utekaji na matumizi ya vyombo vya Usafiri
Elewa ujumbe wa nilichoandika
..ndio tunakuelimisha sasa uliangalie suala hilo ktk mapana yake.
..kuna uhusiano kati ya utekaji, usalama, na matumizi ya vyombo vya usafiri.