Pre GE2025 ACT Wazalendo inaenda kushinda Urais 2025

Pre GE2025 ACT Wazalendo inaenda kushinda Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Najua wengi mtakuja kufukua hii thread ninayoiandika leo huku chama kinaenda kushinda urais kupitia mgombea wake ambaye atakuwa Tundu Lissu huu ni asilmia 100% upinzani unaenda kuchukua nchi

Nimeandika Leo na nitafufua huu Uzi wangu mimi mwenyewe hatimaye watanzania wataenda kufurahi kuondoshwa Kwa Chama Cha Mapinduzi madarakani

Hongereni ACT Wazalendo nyie ndio wakombozi ambao Mungu kawapa funguo sababu nyie ni wazalendo wa kweli hongera rais mtarajiwa Tundu antiphas lissu mzale do wa kweli ataeungana na wazalendo wenzake kupambania nchi 2025
 
Najua wengi mtakuja kufukua hii thread ninayoiandika Leo huku chama kinaenda kushinda uraisi kupitia mgombea wake ambaye atakuwa tundu lissu huu ni asilmia 100 upinzani unaenda kuchukua nchi nimeandika Leo na nitafufua huu Uzi wangu mimi mwenyewe hatimaye watanzania wataenda kufurahi kuondoshwa Kwa chama Cha mapinduzi madarakani
Amka mkuu acha kuota. Kwa sasa bila wananchi wenyewe kuacha ukondoo ccm haiwezi kuodnoka madarakani ukiachilia mbali kuwa itashinda kihalali kabisa kwa kura za urais ila kwakuwa ccm huwa haitosheki bado itaiba ili ionekane imeshinda kwa kishindo sana.
 
Amka mkuu acha kuota. Kwa sasa bila wananchi wenyewe kuacha ukondoo ccm haiwezi kuodnoka madarakani ukiachilia mbali kuwa itashinda kihalali kabisa kwa kura za urais ila kwakuwa ccm huwa haitosheki bado itaiba ili ionekane imeshinda kwa kishindo sana.
Sawa tukutane mwakani naona unatatizo la afya ya akili
 
Najua wengi mtakuja kufukua hii thread ninayoiandika Leo huku chama kinaenda kushinda uraisi kupitia mgombea wake ambaye atakuwa tundu lissu huu ni asilmia 100% upinzani unaenda kuchukua nchi nimeandika Leo na nitafufua huu Uzi wangu mimi mwenyewe hatimaye watanzania wataenda kufurahi kuondoshwa Kwa chama Cha mapinduzi madarakani hongereni act wazalendo nyie ndio wakombozi ambao mungu kawapa funguo
Kina Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa watakimbilia huko tena aliko Lissu wakajambe kunuke na huko, watasema chama ni cha zito amekipambania mpaka kikapata umaarufu. Nadhani itapendeza sana lissu atimkie kule kuna wapiga kura wengi kuliko chauma ya hashim rungwe
 
Akiingia Tundu Lissu ikulu naingia porini kumng'oa hata kama nitatumia gobore. Siwezi kuvumilia kuiona nchi yangu ikidhalilika kiasi hicho....
 
Kama lisu atatoswa chadema, hakuna kupoa atimkie chama lolote hata kama halina umaarufu kama tadea, umd, na vingine mradi tu aipeleke ccm puta hata kama hatashinda fresh tu, kura atapata za kutosha popote aliko kwenye hivyo vyama vidogo
 
Kuna watu mpo serious na siasa...

Acha sisi wengine tuendelee kupumua iwe ni CCM, CDM, ACT, CUF ipo ikulu haisumbui maisha yetu...
 
Kina Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa watakimbilia huko tena aliko Lissu wakajambe kunuke na huko, watasema chama ni cha zito amekipambania mpaka kikapata umaarufu. Nadhani itapendeza sana lissu atimkie kule kuna wapiga kura wengi kuliko chauma ya hashim rungwe
Hawatoweza act ITASHINDA UCHAGUZI mungu yupo na act milele
 
Hizi ni ndoto man kila mtu anakuwa nazo tukisema tuandike kila mtu ndoto zake hapatoshi hapa.Sema uhalisia hauko hivyo
 
Hizi sasa ndizo ndoto zenye manufaa kwa muotaji. Unaota bila mipaka, yaani kama unaota umeona choo unakitumia kwa haja zote, sio unashtuka kabla ya haja kubwa.
 
Hizi sasa ndizo ndoto zenye manufaa kwa muotaji. Unaota bila mipaka, yaani kama unaota umeona choo unakitumia kwa haja zote, sio unashtuka kabla ya haja kubwa.
Endelea kuota na wewe kama ni rahisi lissu anaingia mjengoni mtake msitake hiki chama Cha kizalendo
 
Back
Top Bottom