Pre GE2025 ACT Wazalendo inaenda kushinda Urais 2025

Pre GE2025 ACT Wazalendo inaenda kushinda Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siyo kazi rahisi, kuiangusha CCM kunahitaji watu wazalendo wa kweli hata akidondoshewa bahasha anaikemea, siyo watu wenye uchu na Madaraka tu
 
Siyo kazi rahisi, kuiangusha CCM kunahitaji watu wazalendo wa kweli hata akidondoshewa bahasha anaikemea, siyo watu wenye uchu na Madaraka tu
Act Kuna wazalendo sio wachagadema wenye tamaa ya hela
 
Hadi sasa CCM ndio chama chenye baraka za kushika Dola hata kama sanduku la kura halitoshi!

Labda mambo yaharibike sana kama jk asemavyo!

Na hata kama yakiharibika mgombea wa upinzani lazima awe na nasaba za ccm ndio aaminiwe kushinda akiwa upinzani!!

Lisu hawezi Tena kuwa kiongozi mzuri baada ya Ile trauma ya risasi zile pale Dodoma!huwezi kumpa urais mtu aliejeruhiwa atalipa kisasi na kuharibu nchi!ye ni mhanga kama alivyokua Edo was Monduli!!

LABDA MAMBO YAHARIBIKE SANA NA TAYARI YAMESHAHARIBIKA NA NI LAZIMA MSHINDI ATOKEE CCM NDIO UPINZANI UCHUKUE!
 
Hadi sasa CCM ndio chama chenye baraka za kushika Dola hata kama sanduku la kura halitoshi!

Labda mambo yaharibike sana kama jk asemavyo!

Na hata kama yakiharibika mgombea wa upinzani lazima awe na nasaba za ccm ndio aaminiwe kushinda akiwa upinzani!!

Lisu hawezi Tena kuwa kiongozi mzuri baada ya Ile trauma ya risasi zile pale Dodoma!huwezi kumpa urais mtu aliejeruhiwa atalipa kisasi na kuharibu nchi!ye ni mhanga kama alivyokua Edo was Monduli!!

LABDA MAMBO YAHARIBIKE SANA NA TAYARI YAMESHAHARIBIKA NA NI LAZIMA MSHINDI ATOKEE CCM NDIO UPINZANI UCHUKUE!
Hujielewi
 
Hujielewi full stop
Wewe ndio una tatizo!!

Lisu no sadist Hana Cha kupoteza hawezi kuongoza nchi!

Huwezi kumpa urais mtu aliepitia near death experience!!huyo kiroho alishakufa tayari anaishi mradi kuna kucha!!

Idara ya kijasusi ya kisaikolojia haiwezi kuruhusu hilo kutokea!
 
Wewe ndio una tatizo!!

Lisu no sadist Hana Cha kupoteza hawezi kuongoza nchi!

Huwezi kumpa urais mtu aliepitia near death experience!!huyo kiroho alishakufa tayari anaishi mradi kuna kucha!!

Idara ya kijasusi ya kisaikolojia haiwezi kuruhusu hilo kutokea!
Hujielewi full stop gazeti refu umejaza pumba tupu
 
Najua wengi mtakuja kufukua hii thread ninayoiandika leo huku chama kinaenda kushinda urais kupitia mgombea wake ambaye atakuwa Tundu Lissu huu ni asilmia 100% upinzani unaenda kuchukua nchi

Nimeandika Leo na nitafufua huu Uzi wangu mimi mwenyewe hatimaye watanzania wataenda kufurahi kuondoshwa Kwa Chama Cha Mapinduzi madarakani

Hongereni ACT Wazalendo nyie ndio wakombozi ambao Mungu kawapa funguo sababu nyie ni wazalendo wa kweli hongera rais mtarajiwa Tundu antiphas lissu mzale do wa kweli ataeungana na wazalendo wenzake kupambania nchi 2025
Nani kakudanganya kwamba ACT ni chama cha upinzani?

Hebu tafuta hotuba ya Nyerere alipoongelea wanasiasa malaya wa kisiasa ndo utajua kuwa ACT sio chama cha upinzani bali ni kimbilio la malaya ya kisiasa..

Unamkumbuka jasusi uchwara Membe?
 
Najua wengi mtakuja kufukua hii thread ninayoiandika leo huku chama kinaenda kushinda urais kupitia mgombea wake ambaye atakuwa Tundu Lissu huu ni asilmia 100% upinzani unaenda kuchukua nchi

Nimeandika Leo na nitafufua huu Uzi wangu mimi mwenyewe hatimaye watanzania wataenda kufurahi kuondoshwa Kwa Chama Cha Mapinduzi madarakani

Hongereni ACT Wazalendo nyie ndio wakombozi ambao Mungu kawapa funguo sababu nyie ni wazalendo wa kweli hongera rais mtarajiwa Tundu antiphas lissu mzale do wa kweli ataeungana na wazalendo wenzake kupambania nchi 2025
Urais wa FM Academia
 
Nani kakudanganya kwamba ACT ni chama cha upinzani?

Hebu tafuta hotuba ya Nyerere alipoongelea wanasiasa malaya wa kisiasa ndo utajua kuwa ACT sio chama cha upinzani bali ni kimbilio la malaya ya kisiasa..

Unamkumbuka jasusi uchwara Membe?
Hii michadema ndo maana inashindwa Kila uchwao. Kutwa kuwachukia wenzao tu ambao hawana time nao. Upinzani wa cdm unatoka wapi wakati Kila siku mnatoa watu tu kwenda ccm mafala nyie?
 
Nani kakudanganya kwamba ACT ni chama cha upinzani?

Hebu tafuta hotuba ya Nyerere alipoongelea wanasiasa malaya wa kisiasa ndo utajua kuwa ACT sio chama cha upinzani bali ni kimbilio la malaya ya kisiasa..

Unamkumbuka jasusi uchwara Membe?
Nyerere nani wewe acha kuwa ng'ombe Kwa maneno ya binadamu mwenzako ishi maisha Yako we inaonekana Nyerere angesema Mavi chakula ungekua unaenda kwenye mashimo ya choo unachota unakula
 
Hii michadema ndo maana inashindwa Kila uchwao. Kutwa kuwachukia wenzao tu ambao hawana time nao. Upinzani wa cdm unatoka wapi wakati Kila siku mnatoa watu tu kwenda ccm mafala nyie?
Kenge wewe mwakani mnachomplewa hapo huyo bi kidude anaondoka kwao forodhani
 
Back
Top Bottom