Pre GE2025 ACT Wazalendo inaenda kushinda Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM haishindi kihalali. Sikiliza: CCM ingekuwa na uhakika kuwa kwenye uchaguzi wa urais itapata walau 55% ya kura, ingeachia uchaguzi uwe wa haki na wangekuwa wanatamba kweli kweli wao ni wana demokrasia. Pengine hujui hili: Ngoja nikuelimishe. Kabla ya kila uchaguzi, CCM kwa kutumia TISS na wataalam wazuri sana wa kukusanya kura za maoni, hufanya tathmini ya ni kwa namna gani chama na wagombea wake wanavyokubalika. Kura ya maoni ikifanywa kwa kitaalam inaweza kuwa kiashiria kizuri za cha kutoa matokeo ya uchaguzi yatakavyokuwa, japo siyo kwa asilimia zote. Hivyo basi CCM huwa wanaiba kura kwa sababu mara nyingi wanapofanya kura za maoni hugundua kuwa hawakubaliki.
 
Kichaa wewe mimi sijawahi kuchanjwa hayo makitu na huyo taira na Hana mchango wowote kwenye maisha yangu
Kama hukuchanjwa wewe basi alichanjwa babu yako, unachomokaje kwenye chanjo ya kitaifa ilhali alichanjwa ukiwa wodini?

We fala kweli kweli πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa wapiga kura gani waliokuwa nao hao ACT. Kuna tarafa moja ukiondoa wanachama hata bendera tu inayotambulisha kuwepo kwa hicho chama haipo!!!???!!!
 
Kama hukuchanjwa wewe basi alichanjwa babu yako, unachomokaje kwenye chanjo ya kitaifa ilhali alichanjwa ukiwa wodini?

We fala kweli kweli πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulikua mke wa huyo fala nini mbona unamfagilia sana huyo nyani mwenzio maana naona unatikisa mkia wako wa kinyeo kumfagilia
 
Kwani 2025 kunauchaguzi🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 niulize mimi ..2025 kuna virungu na risasi tu ...2025 hakuna uchaguzi
 
Ulikua mke wa huyo fala nini mbona unamfagilia sana huyo nyani mwenzio maana naona unatikisa mkia wako wa kinyeo kumfagilia
Angekuwa fala usingempa kalio adunge sindano..

Wewe ndio fala na kupitia wewe unaishi chini ufala wako mwenyewe gay wahed weye
 
Angekuwa fala usingempa kalio adunge sindano..

Wewe ndio fala na kupitia wewe unaishi chini ufala wako mwenyewe gay wahed weye
Kumbe ulimpa kalio huyo bwege aisee kweli ndio maana umeshakua punga pole sana Kwa kupoteza marinda naona ndio maana umedata sikujibu tena kumbe najibizana na punga🀣🀣🀣🀣
 
Kumbe ulimpa kalio huyo bwege aisee kweli ndio maana umeshakua punga pole sana Kwa kupoteza marinda naona ndio maana umedata sikujibu tena kumbe najibizana na punga🀣🀣🀣🀣
Punga ni wewe na wote unaoishi nao...

Kwa maisha yako yote unawaza kwa kutumia kalio lililodungwa chanjo ya ndui, hongera kwa kugawa bure kario.
 
Bora Nyerere asingepambania uhuru km wananchi wenyewe ndio hawa
 
Uhuru wa kuandika umezidi sasa
 
Saccos ya Mbowe imshinde halafu aje aishinde CCM?
Kapimwe akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…