ACT Wazalendo: Tunaamini katika siasa za hoja, si maandamano

ACT Wazalendo: Tunaamini katika siasa za hoja, si maandamano

Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.

Chama gani hicho nacho? Kimekosa Kiki tu!
 
Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.

Hapa walikuwa wanafanya siasa za hoja ?
20240308_134005.jpg
 
Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.

Mbona ni tofauti na alichoongea. Brother ulifaulu darasa la saba? Lakini hata wangetaka kuandamana wangewachukua watu wangapi njiani.
 
mlikua kwenye kikao chenu cha wanawake sio , leo?🐒

eeh kasemaje mwanamke mwenzenu maana na nyie mlivyo na wivu nyinyi kwa nyinyi 🐒

funguka madame 🐒
Nasema hivi, wanawake wamesema hakuna kuwapa wanaume kura, nyie. 🌈 kura zenu ni kwanani? Imeisha hiyo.
 
Nasema hivi, wanawake wamesema hakuna kuwapa wanaume kura, nyie. 🌈 kura zenu ni kwanani? Imeisha hiyo.
kwahiyo sasa wewe na wanawake wenzako apo dodoma mmeamuaje 🐒
 
sasa mihemko na maandamano yasio na malengo itasaidia nini 🐒
Lakini si unakumbuka kwenye katiba tuna kipengelea cha kufikisha ujumbe kwa njia ya kuandamana? Kupanga ni kuchangua.
Kama alivyopanga Chadema ni wao, CCM wamepanga na kuchangua Makonda kuzunguka kuwasilisha mambo ya chama kwa wananchi kama walivyochagua...pamoja na vyama vingine.
Tusipende sana kukosoa uchanguzi wa upande mwingine wakati option hizo zote tulijiwekea kwenye sheria mamaa (KATIBA).
 
Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.

Wana watu? Tuanzie hapo kwanza.
 
Lakini si unakumbuka kwenye katiba tuna kipengelea cha kufikisha ujumbe kwa njia ya kuandamana? Kupanga ni kuchangua.
Kama alivyopanga Chadema ni wao, CCM wamepanga na kuchangua Makonda kuzunguka kuwasilisha mambo ya chama kwa wananchi kama walivyochagua...pamoja na vyama vingine.
Tusipende sana kukosoa uchanguzi wa upande mwingine wakati option hizo zote tulijiwekea kwenye sheria mamaa (KATIBA).
katiba inaruhusu maandamano yenye tija, yenye maana na malengo mahususi 🐒

sio makelele, au jogging na kusumbua watu wanaofanya mambo yao ya kujipatia kipato 🐒
 
Shida ya ACT wanapambana na CHADEMA. Bila CHADEMA kuforce kingi nani angeongelea maandamano Leo? Waache kutembelea mgongo wa CHADEMA
 
Back
Top Bottom