愛滿足母女什麼呢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
愛滿足母女什麼呢
Siyo utani NeI kweli, makabila yote yanayojitambuwa huwezi kuyatenga na siasa.Wachagga na Siasa ni kama Uji na mgonjwa 😂😂
Utani tu ndugu Zangu
Wanaopiga maandamano wote hawana hata hao watu wakuandamana.
Chama gani hicho nacho? Kimekosa Kiki tu!Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.
Viongozi wengi wa ACT ni watumishi wa taasisi ya dola kama alivyokuwa James MbatiaHawa watu kuona CDM kama ndo adui wao kisiasa, kinafanya siasa zao sikose weredi na kuonekana ni chama shikizi Cha ccm.
Hapa walikuwa wanafanya siasa za hoja ?Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.
Mbona ni tofauti na alichoongea. Brother ulifaulu darasa la saba? Lakini hata wangetaka kuandamana wangewachukua watu wangapi njiani.Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.
Nasema hivi, wanawake wamesema hakuna kuwapa wanaume kura, nyie. 🌈 kura zenu ni kwanani? Imeisha hiyo.mlikua kwenye kikao chenu cha wanawake sio , leo?🐒
eeh kasemaje mwanamke mwenzenu maana na nyie mlivyo na wivu nyinyi kwa nyinyi 🐒
funguka madame 🐒
👍👏🤝🙏Hawa watu kuona CDM kama ndo adui wao kisiasa, kinafanya siasa zao sikose weredi na kuonekana ni chama shikizi Cha ccm.
kwahiyo sasa wewe na wanawake wenzako apo dodoma mmeamuaje 🐒Nasema hivi, wanawake wamesema hakuna kuwapa wanaume kura, nyie. 🌈 kura zenu ni kwanani? Imeisha hiyo.
🤣 🤣 🤣🌈 Umesikia Jokate amesema wanawake wasiwapigie wanaume kura, nyie kundi Lenu msimamo wenu ni upi?
🤣 🤣 🤣Hapa walikuwa wanafanya siasa za hoja ?View attachment 2928079
Lakini si unakumbuka kwenye katiba tuna kipengelea cha kufikisha ujumbe kwa njia ya kuandamana? Kupanga ni kuchangua.sasa mihemko na maandamano yasio na malengo itasaidia nini 🐒
Wana watu? Tuanzie hapo kwanza.Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.
katiba inaruhusu maandamano yenye tija, yenye maana na malengo mahususi 🐒Lakini si unakumbuka kwenye katiba tuna kipengelea cha kufikisha ujumbe kwa njia ya kuandamana? Kupanga ni kuchangua.
Kama alivyopanga Chadema ni wao, CCM wamepanga na kuchangua Makonda kuzunguka kuwasilisha mambo ya chama kwa wananchi kama walivyochagua...pamoja na vyama vingine.
Tusipende sana kukosoa uchanguzi wa upande mwingine wakati option hizo zote tulijiwekea kwenye sheria mamaa (KATIBA).
Tunasuburi tamko Lenu nyie wa 🌈 tujue na sisi wa jinsia nyingine tuchukue maamuzi gani.kwahiyo sasa wewe na wanawake wenzako apo dodoma mmeamuaje 🐒
kwan wewe na wanawake wenzio mmeamua nini, mbona kimya Mumama 🐒Tunasuburi tamko Lenu nyie wa 🌈 tujue na sisi wa jinsia nyingine tuchukue maamuzi gani.