Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Sisi wanawake hatuna la kusema, tunasuburi muongozo wenu nyie wa jinsia mchanganyiko😂😂kwan wewe na wanawake wenzio mmeamua nini, mbona kimya Mumama 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wanawake hatuna la kusema, tunasuburi muongozo wenu nyie wa jinsia mchanganyiko😂😂kwan wewe na wanawake wenzio mmeamua nini, mbona kimya Mumama 🐒
muache chuki na unafiki sasa sasa maana wanawake mnachukiana wenyewe kiaina, unaeeza kumwambia mwenzio amependeza kumbe wigi limekaa upande🐒Sisi wanawake hatuna la kusema, tunasuburi muongozo wenu nyie wa jinsia mchanganyiko😂😂
Stupid kabisa, huyu mama na act yake wanaishi dunia IPI! Haoni maandamano kuanzia Senegal, ulaya, iseael, Congo, ili kulazimisha watawala watii maoni ya wengi!?Kama bado anaamini wakati wa kutumia maandamano bado!, basi, ni mjinga Sana, au ndio wale "ccm" B bure kabisaMkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.
Hawana watu wa kuandamana ndiyo maana wanaona wivu. Labda Zanzibar lakini siyo Tanganyika.Zitto amesha vuta mkwanja wake wa kutosha huko Ccm sasa kamuachia kadadaa nae avute wa kwake. Hakuna jinsi mta weza kuibomoa Chadema kwa hongo.
Mta subiri sana.
HahahaAct wazalendo ni mnara wa Babeli.
NoMkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.
Hivi unaona ulichoweka wewe kina-akisi alichosema yeye ?!!!
Je....;
ACT Wazalendo: Tunafanya siasa za hoja, si maandamano
Ni sawa na:
Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana
Hayo ni machawa ya CCM yanataka kuigonganisha Chadema na ACT.Hivi unaona ulichoweka wewe kina-akisi alichosema yeye ?!!!
Je....;
ACT Wazalendo: Tunafanya siasa za hoja, si maandamano
Ni sawa na:
Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.
Yaani haya yote ww wa duo gender unayajua, mbona Mimi haya siyajui?!muache chuki na unafiki sasa sasa maana wanawake mnachukiana wenyewe kiaina, unaeeza kumwambia mwenzio amependeza kumbe wigi limekaa upande🐒
🤣 nyinyi dah,
pendaneni bana, ambizaneni ukweli, kama minywele imechacha mwambie tu mwenzio zimechacha sio unampamba oohh hizi bado ata miezi miwili ijayo ndio ufumue 🐒
si mnatabia ya unafiki ndio maana unajifanya wew ni tofauti na wenzio 🐒Yaani haya yote ww wa duo gender unayajua, mbona Mimi haya siyajui?!
kwan kuna tatizo wakiwa na mipango na vipaumbele tofauti na vya kwenu 🐒Hawa hata KATIBA MPYA wanasema si kipaomnele chao kwa sasa.
Tulia ww 🌈si mnatabia ya unafiki ndio maana unajifanya wew ni tofauti na wenzio 🐒
Mumama umepanic 😜Tulia ww 🌈
Kazi unayo. What do you mean by vibrant opposition with issues to move on quickly? Lengo kuu la kuunda chama cha siasa ni kukamata dola si kukaa na kusifia au kujinyenyekesha kwenye chama kilicho na dola. Ni kutafuta weakness za chama tawala na kuzianika hadharani ili wananchi wavutike upande wa pili.Yes, that is it...
The country requires, needs and deserves vibrant opposition with issues to move on quickly [emoji205]
sio hii porojo na makelele ya vibaraka huko mtaani [emoji205]
Kwa mjibu wa katiba ni maandamano yapi, yenye tija,maana na malengo mahususi na yapi kinzani?.katiba inaruhusu maandamano yenye tija, yenye maana na malengo mahususi [emoji205]
sio makelele, au jogging na kusumbua watu wanaofanya mambo yao ya kujipatia kipato [emoji205]
Basha kama Mimi nipanikishwe na ww 🌈Mumama umepanic 😜
hudumia the muzee bas muMama 🐒Basha kama Mimi nipanikishwe na ww 🌈
ambayo sio jogging, makelele na kusumbua wanaochapa kazi kwa bidii za kujipatia kipato 🐒Kwa mjibu wa katiba ni maandamano yapi, yenye tija,maana na malengo mahususi na yapi kinzani?.
Sent from my TECNO CK7n using JamiiForums mobile app
si useme wazi tu kwamba hakuna chama cha siasa Tz, tofauti na CCM chenye lengo, mipango na madhumuni ya kushika dola, zaidi sana wanafanya harakati tu za mkono uende kinywani 🐒Kazi unayo. What do you mean by vibrant opposition with issues to move on quickly? Lengo kuu la kuunda chama cha siasa ni kukamata dola si kukaa na kusifia au kujinyenyekesha kwenye chama kilicho na dola. Ni kutafuta weakness za chama tawala na kuzianika hadharani ili wananchi wavutike upande wa pili.
Tofautisheni kati ya civil societies v/s political parties. ACT kwa mwendo huo is just a civil society or lather a pressure group na lengo lake kuu si kukamata dola bali kutafuta some few benefits from the government.
mkuu heading yako na content ni vitu viwili tofauti.Ukisoma content Bi Dorothy anaamini katika maandamano lakini heading yako inakataa😅Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.