Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli tupuHawa watu kuona CDM kama ndo adui wao kisiasa, kinafanya siasa zao sikose weredi na kuonekana ni chama shikizi Cha ccm.
2025 anaenda kuwa RCZitto amesha vuta mkwanja wake wa kutosha huko Ccm sasa kamuachia kadadaa nae avute wa kwake. Hakuna jinsi mta weza kuibomoa Chadema kwa hongo.
Mta subiri sana.
Yeah vibaraka kazini
Hawa wanapambana na CDMMkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Bi Dorothy Semu akihojiwa katika kipindi cha Super breakfast cha East Africa Radio amesema kuwa Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.
Kwenye maandamano kuna hoja nyingi za kisiasa ila ACT Wazalendo na hasa kiongozi wao huyo hawalijui hilo. Wanachojua ni siasa za hoja za kujitoa SUK waliyoingia bila kushawishiwa na mtu yeyote bali walishawishiwa na waongo wenzao CCM.Hivi unaona ulichoweka wewe kina-akisi alichosema yeye ?!!!
Je....;
ACT Wazalendo: Tunafanya siasa za hoja, si maandamano
Ni sawa na:
Wao ACT Wazalendo wanaamini kwenye uhuru na haki mtu kujieleza anavyotaka, ikiwemo pia kwa njia za maandamano, lakini ACT Wazalendo wanasema wanawekeza na kufanya siasa za hoja, siasa za maswali. Ameongeza kuwa ikifika wakati wakahitaji kutumia maandamano kama njia ya kujieleza, njia ya kutoa fikra zao basi wataandamana.