ACT Wazalendo: Tunaamini katika siasa za hoja, si maandamano

wapuuzi wanafukuzia kutukana bila ya kutizama hata hio video yenyewe
 
Hawa wanapambana na CDM
 
Kwenye maandamano kuna hoja nyingi za kisiasa ila ACT Wazalendo na hasa kiongozi wao huyo hawalijui hilo. Wanachojua ni siasa za hoja za kujitoa SUK waliyoingia bila kushawishiwa na mtu yeyote bali walishawishiwa na waongo wenzao CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…