Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wajieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini Maalim Seif (ACT) alimuombea kura Tundu Lissu (CHADEMA)

NEC Nguo Zinaanguka Bora Wachutame πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
"wazarendo", "msajiri", "ghafra" "Kifungu cha 11a". Post hiana nukta na kanuni kibao za uandishi umekosea
 
Rungu lipo pale pale, hakuna janja janja. ACT na CHADEMA waenguliwe kwenye mbio za Urais.
UTOTO HUO POSIBLY MSAJILI AMESHAONA UPEPO UNAVYOVUNA SASA ANATAFUTA NAMNA LAKINI SISHAURI AFANYE HIVYO KWANI AMANI YETU INAWEZA KUFUTIKA WITHIN A MINUTES KIZEMBE ZEMBE
 

Huna lolote wewe na wenzio isipokuwa HOFU ya UBAMIZWA uchaguzi mkuu kwa CO-OPERATION ya ACT na CDM.
 

Japo kingereza chako ni cha shida, omba msaada kwa wenzako urudie kusoma alichokiandika MISSILE OF THE NATION halafu wakusaidie kukuelewesha, ndio urudi hapa. Unachosha na arguements zako za chekechea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…