DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
😀😀Wanatest mitambo ya 2025. Kuna ushindi wa kishindo 2025 🤣
Ila CCM hizi mbinu hawaziachi Tu yaani mbona zimepitwa na Muda
Dah yaani ni bora Watu tupige kura OnlineMbinu ni kura feki na kuchakachua mahesabu ya kura. Baada ya hapo wanatangaza ushindi wa kishindo...
Hapo ndio watachakachua vizuri mno. Sisi wengine tunaposema njia ya uhakika ni kupindua nchi mnadhani hizo njia nyingine hatuzioni? Nimeshapigwa mabomu na polisi kwenye uchaguzi, nimekoswakoswa na risasi za polisi kwenye uchaguzi. Tena polisi walikuwa wanawalinda wachakachua kura 🤣🤣🤣.Dah yaani ni bora Watu tupige kura Online
Kwani si ninyi kwa ninyi wenyewe!! Kuna shida gani?Kwenye Official Account yao ya X (Zamani twitter) ACT Wazalendo wamethibitisha kukamata kura hizo, na Kusema bado wanaendelea kuchukua Hatua stahiki ikiwa wao ni Moja ya vyama Shiriki kwenye Uchaguzi huo..
"Kura fake zimekamatwa zikiwa zinaingizwa kwenye vituo vya kupigia kura Katika Kata ya Kasingirima Kigoma. Kura hizo zimetiwa alama ya vema kwenye kiboksi cha mgombea wa CCM. ACT Wazalendo tumeshiriki uchaguzi huo".
View attachment 2940178
View attachment 2940179View attachment 2940180View attachment 2940181View attachment 2940182
View attachment 2940187
Na mtwara pia wamekamataKwani si ninyi kwa ninyi wenyewe!! Kuna shida gani?
Hiyo ndiyo maana ya state capture....wanao ongoza wanajua kabisa awakubaliki na wananchi na wanataka kushika madaraka kwa maslai yao binafsiIla CCM hizi mbinu hawaziachi Tu yaani mbona zimepitwa na Muda