Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kama huwezi si utulie tu?Kushindana na mgonjwa mtambuka utaweza wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huwezi si utulie tu?Kushindana na mgonjwa mtambuka utaweza wapi
Ndio utajua kama ni futuhi ama hifutu mwaka huu ni YEYEUpinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.
Lile bus alilozawadiwa Lisu huko ubelgiji limepotelea wapi?Utajinyea wewe kipindi unarudi kwenu Burundi
Mwaka huu ndo utaamini kuwa wewe ndo nyumbu. Jiandae tu, Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020- 2025Yaani Nyumbu kwa kufarijiana wako vizuri, yaani mtu na akikili zake anawaza kabisa kwamba Lissu atakuwa Rais.
Yani wewe ndio utachanganyikiwa kabisa baada ya oktoba maana lisu hapati zaidi ya 20%Wanapasha mazoezi kidogo hapo bahari ya hindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Dadeki CCM mtajua hamjui mwaka huu
View attachment 1576601
Kwenda zako huko.Kwenye kizazi chako atatoka kilema, kama hutokuwa wewe kabla hijaingia mavumbini.
I-save comment yangu. Ili ujue Mungu hadhihakiwi.
Nijibu ili nithibitishe
LISU ATASHINimeshiriki figisu figusu za uchaguzi mkuu kuanzia mwaka 2000 hadi 2010, sikuwahi kupiga kura.
Lakini mwaka huu, nikijaaliwa afya njema nitampigia Lissu, siwezi kuishi na mateso haya ya Magufuli kwa miaka 5 mingine. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie.ASHIN
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
Hili hapaLile bus alilozawadiwa Lisu huko ubelgiji limepotelea wapi?
Jiandaeni mrudi kwenu BurundiYani wewe ndio utachanganyikiwa kabisa baada ya oktoba maana lisu hapati zaidi ya 20%
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lowasa akisoma koment kama hii anaweza kutapika kwa kinyaaRaha sana yaani imagine Kura za ACT na Chadem pamoja. Effect yake ni resultant force ya nguvu.
Cheyo na Mrema mbona wanaongea hadharani kuunga mkono CCMMataga tusikubali hawa waungane
Kudadadeeeki, ukifika mapokezi hapa Moi ni pm ili upate msaada wa harakaKwenda zako huko.
Tulia dawa ikuingie vizuriMaamuzi ya ajabu kabisa haya
Wewe siyo mtanzaniaMagufuli anatosha hao wengine mmh.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu tutamrudisha kwa beberu wake ubelgijiJiandaeni mrudi kwenu Burundi
Na nyinyi warundi lazima tuwarudishe kwenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu tutamrudisha kwa beberu wake ubelgiji