Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Zitakuwa chache sana kuliko angeendelea na kampeni.Hivi mna habari kwamba jina lake bado litakuwepo kwenye orodha ya wagombea?
Hata kama amejiondoa kimya kimya, bado kuna watu watampigia kura, labda aje sasa hadharani atamke kuwa amejitoa, vinginevyo kuna kura ataharibu