Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Hivi mna habari kwamba jina lake bado litakuwepo kwenye orodha ya wagombea?

Hata kama amejiondoa kimya kimya, bado kuna watu watampigia kura, labda aje sasa hadharani atamke kuwa amejitoa, vinginevyo kuna kura ataharibu
Zitakuwa chache sana kuliko angeendelea na kampeni.
 
Twende na Membe imepoteza mwelekeo

Nasubiri tumeibiwa kura[emoji3][emoji3]

Viva Magu 2020 t0 2030
Sasa Membe kaleta upinzani wa kweli. Huu ndio upinzani tulikuwa tunataka sio ule ukinyimwa kugombea unajitoa. Upinzani wa Dr Slaa na Lipumba. Walipigania haki kwa muda mrefu lakini ilipokaribia kupatikana wakasaliti kati kubwa waliikwisha ifanaya kwa maslahi yao binafsi.

Sasa imani yangu inarejea kwa huyu kachero.

Let us expect huge things to happen very soon.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.

Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!

Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
Uko sahihi, kauli hiyo ilishatamkwa na mbunge flani hivi-bungeni.
Lakini huwa yana mwisho wake.
 
Imeisha hiyo automatic Membe is out of the game.

Kimkakati upinzani mwaka huu upo vizuri kuzidi hata ile ukawa.

Wangeungana Magufuli angeanza kuwanunua

Mwaka huu anunuliwi mtu hata mmoja.

Lissu shikilia hapo hapo mpaka mtu ajiiiii......
Uzuri lisu ni mwanasheria...wakitudhulumu kishenzi kura zetu tunakwenda mahakamani
 
jamaa yako aliwatosa na kuwadharau wale waliokuwa wapanga mikakati ya wizi wa kura.. akawanyang'anya chama akawadhihaki, akawatukana, akawatenga wakati wao ndo walimpigia kampeni mpaka wakavunjikia huko na mikono, wakakesha kwenye vyumba huko kubadili matokeo ya kura lakin baada ya jamaa kuapishwa akawatenga kama wakoma, chama akakikabidhi kwa kina sloo sloo wasiokijua chama, akawachukua na wale wale wapinzani akawalundikia vyeo kwa nguvu huku kina februari maropu kinana na napi wakafanywa vidampa.

ccm asilia hawatampa kura hata moja jamaa yako bali atapata tukura tuchache twa ccm mpya(ambayo kimsingi ni "ccm isiyo ccm"), kura za ccm asilia zote ni kwa tundu lisu..ccm asilia wanajua na wameshaamua ni kheri usu shari kuliko shari kamili...kuliko kumpa jamaa miaka mitano tena ya kuwanyamyasa ni heri tu nchi akabidhiwe Lisu ufunguliwe ukurasa mpya...bushiru hata akitishia nyau haisaidii kwanza haijui ccm huyo na ccm si yake, yeye ni wakuja tu ndani ya chama..

na wanachokifanya CCM Asilia wala si cha ajabu, wao kama wenye CCM Asili wanatunza heshima ya chama na kutimiza maono ya muasisi wa chama kuwa Upinzani wa kweli utatoka Ndani ya CCM na kuwa CCM si baba yangu wala si mama yangu...by JK Nyerere.
Asante kwa Madini Mkuu
 
Ikulu ni mahali patakatifu siyo kila mtu ana sifa za kuwa ikulu. Wapinzani bado sana kufika ikulu
 
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.

Hii ngoma bado mbichi sana.

On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.

Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!

Jamani nauliza tu dream liner inaweza kutua pale Frankfurt?
 
Imeisha hiyo automatic Membe is out of the game.

Kimkakati upinzani mwaka huu upo vizuri kuzidi hata ile ukawa.

Wangeungana Magufuli angeanza kuwanunua

Mwaka huu anunuliwi mtu hata mmoja.

Lissu shikilia hapo hapo mpaka mtu ajiiiii......
Waswahili wanasemaga imetoka hiyooo
 
Back
Top Bottom