Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Ameingia nao mkataba lini na wapi??? We wanaoua watanzania huwajui?? Acha kujitoa ufahamu kilaza wa Lumumba weweLISSU aliyeingia mikataba na wazungu kuleta machafuko Tanzania, ataua Watanzania wangapi? Huyo LISSU wenu ndo Chaguo la shetani kabisa.
sasa ulitaka cdm waseme nini wakati Jasusi mbobevu alikuwa tiyar anafanya engineering yake? wee unafikiri kwa mini mwanzoni Jasusi hakumuunga mkono Lissu moja kwa moja na kwa nini leo na siyo jana wala kesho?Uzuri ni kwamba ccm inaweza kupiga na chadema wakacheza kulingana na mdundo unavyopigwa!
Kabla ACT hawajamuunga mkono Lisu mashabiki wa chadema wakikuwa wanasema Membe ni mamaluki. Sasa hivi wanasema ni shujaa na mwanamikakati imaranya kuitoa ccm.
Kwa mwenye akili unaweza kuona ni jinsi gani ccm inaweza kuwachezea wapinzani ipendavyo
Tulia dawa ikuingie..hakuna cha Bavicha washamba mwisho wao umefika wa kuongoza TZ[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bavicha mnatamani vitu flani vitokee ila ndio hivyo havitokei sijui mna gundu
Imeisha hiyo automatic Membe is out of the game.
Kimkakati upinzani mwaka huu upo vizuri kuzidi hata ile ukawa.
Wangeungana Magufuli angeanza kuwanunua
Mwaka huu anunuliwi mtu hata mmoja.
Lissu shikilia hapo hapo mpaka mtu ajiiiii......
You may be Wright. Lakini ni kwanini chaguzi zinaitishwa na kuharibu rasilimali za kutosha kila kipindi.JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.
Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!
Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
Thubutu yako!!! Na vitoy vyako vya karne ya 19 vile sijui mig 21????😂😂😂Wakithubutu tutakizamisha hicho kimtumbwi
sasa ulitaka cdm waseme nini wakati Jasusi mbobevu alikuwa tiyar anafanya engineering yake? wee unafikiri kwa mini mwanzoni Jasusi hakumuunga mkono Lissu moja kwa moja na kwa nini leo na siyo jana wala kesho?
ccm mwaka mnalo.. na bado hapo Jasusi anaendeleza kazi yake mdogomdogo ndan ya ssm. usishangae siku ukiskia kina marope njunia na siinniya wanatangaza kura zote kwa Lissu...tupo hapa
Hakika wapinzani hawana sera za msingi zaidi ya matusi na kuwanyonya watanzania kwa kuchangisha pesa na kwenda kufanyia anasaHakuna mkakati wowote wa maana kwa upinzani. Nchi haiwezi kuongozwa na watu wasiokuwa na sera tena vibaraka. Mtaisoma namba na vibaraka wenu.
💥👊🏼💃🏻Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
Mpuuzi sana yule mzee anaangalia maslahi yale tu. Bora alivyoshindwa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lowasa akisoma koment kama hii anaweza kutapika kwa kinyaa
Yeah wakichomoka mwaka huu tumekwishaCCM msipodoshwa na lissu (mwanasheria mbobezi)2020 kwa mbinu zote wanazojua itatawala milele na dalili inaonyesha lisu mpango wa Mungu
Hamtoboi wajanja walishaona zamani sana.CCM wenzangu tumekwisha!!! Mi nilijua tu kwa mbinu mbovu za mwenyekiti wetu safari hii hatutoboi.
Siku hizi umekuwaje kijana wangu, mbona aueleweki..?Atajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.
Hawawezi kuthubutu kuja tanzania,Thubutu yako!!! Na vitoy vyako vya karne ya 19 vile sijui mig 21????[emoji23][emoji23][emoji23]
Najua wewe ni kilaza tu wa Lumumba, Sasa subiri nikusaidie embu ingia google au hata youtube alafu andika the Capturing of Manuel Noriega uone wamarekani walivyomchukua raisi huyo wa Panama ikulu kwake!!!
Achana na Marekani we kilaza wa Lumumba, wale ni watu na nusu !! [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshiriki figisu figusu za uchaguzi mkuu kuanzia mwaka 2000 hadi 2010, sikuwahi kupiga kura.
Lakini mwaka huu, nikijaaliwa afya njema nitampigia Lissu, siwezi kuishi na mateso haya ya Magufuli kwa miaka 5 mingine. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Mkuu tuombe uzima.Unajidanganya na kujifariji. Unaota ndoto za mchana hakika