Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Huyo Maalim Seif aendelee kuota, akija kuamka Magufuli atakuwa ameshaapishwa tena kutumikia u Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Uzuri ni kwamba ccm inaweza kupiga na chadema wakacheza kulingana na mdundo unavyopigwa!

Kabla ACT hawajamuunga mkono Lisu mashabiki wa chadema wakikuwa wanasema Membe ni mamaluki. Sasa hivi wanasema ni shujaa na mwanamikakati imaranya kuitoa ccm.

Kwa mwenye akili unaweza kuona ni jinsi gani ccm inaweza kuwachezea wapinzani ipendavyo
sasa ulitaka cdm waseme nini wakati Jasusi mbobevu alikuwa tiyar anafanya engineering yake? wee unafikiri kwa mini mwanzoni Jasusi hakumuunga mkono Lissu moja kwa moja na kwa nini leo na siyo jana wala kesho?
ccm mwaka mnalo.. na bado hapo Jasusi anaendeleza kazi yake mdogomdogo ndan ya ssm. usishangae siku ukiskia kina marope njunia na siinniya wanatangaza kura zote kwa Lissu...tupo hapa
 
Imeisha hiyo automatic Membe is out of the game.

Kimkakati upinzani mwaka huu upo vizuri kuzidi hata ile ukawa.

Wangeungana Magufuli angeanza kuwanunua

Mwaka huu anunuliwi mtu hata mmoja.

Lissu shikilia hapo hapo mpaka mtu ajiiiii......

Hakuna mkakati wowote wa maana kwa upinzani. Nchi haiwezi kuongozwa na watu wasiokuwa na sera tena vibaraka. Mtaisoma namba na vibaraka wenu.
 
JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.

Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!

Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
You may be Wright. Lakini ni kwanini chaguzi zinaitishwa na kuharibu rasilimali za kutosha kila kipindi.
 
Tanzania hatuwezi tukawa na Rais, Asiyeweza kujisimamia kama lisu, chaguo la watanzania ni Magufuli
 
Wakithubutu tutakizamisha hicho kimtumbwi
Thubutu yako!!! Na vitoy vyako vya karne ya 19 vile sijui mig 21????😂😂😂

Najua wewe ni kilaza tu wa Lumumba, Sasa subiri nikusaidie embu ingia google au hata youtube alafu andika the Capturing of Manuel Noriega uone wamarekani walivyomchukua raisi huyo wa Panama ikulu kwake!!!

Achana na Marekani we kilaza wa Lumumba, wale ni watu na nusu !! 😂😂😂
 
sasa ulitaka cdm waseme nini wakati Jasusi mbobevu alikuwa tiyar anafanya engineering yake? wee unafikiri kwa mini mwanzoni Jasusi hakumuunga mkono Lissu moja kwa moja na kwa nini leo na siyo jana wala kesho?
ccm mwaka mnalo.. na bado hapo Jasusi anaendeleza kazi yake mdogomdogo ndan ya ssm. usishangae siku ukiskia kina marope njunia na siinniya wanatangaza kura zote kwa Lissu...tupo hapa

Unajidanganya na kujifariji. Unaota ndoto za mchana hakika
 
Hakuna mkakati wowote wa maana kwa upinzani. Nchi haiwezi kuongozwa na watu wasiokuwa na sera tena vibaraka. Mtaisoma namba na vibaraka wenu.
Hakika wapinzani hawana sera za msingi zaidi ya matusi na kuwanyonya watanzania kwa kuchangisha pesa na kwenda kufanyia anasa
 
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.

Hii ngoma bado mbichi sana.

On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.

Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!


💥👊🏼💃🏻
 
Thubutu yako!!! Na vitoy vyako vya karne ya 19 vile sijui mig 21????[emoji23][emoji23][emoji23]

Najua wewe ni kilaza tu wa Lumumba, Sasa subiri nikusaidie embu ingia google au hata youtube alafu andika the Capturing of Manuel Noriega uone wamarekani walivyomchukua raisi huyo wa Panama ikulu kwake!!!

Achana na Marekani we kilaza wa Lumumba, wale ni watu na nusu !! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawawezi kuthubutu kuja tanzania,
Hapa kuna maslahi ya China Na Urusi,marekani hawezi kuleta fyoko fyoko
 
Nimeshiriki figisu figusu za uchaguzi mkuu kuanzia mwaka 2000 hadi 2010, sikuwahi kupiga kura.

Lakini mwaka huu, nikijaaliwa afya njema nitampigia Lissu, siwezi kuishi na mateso haya ya Magufuli kwa miaka 5 mingine. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie.

Nami nimeshiriki hizo figisu unazosema na sikuwahi kupigia CCM lakini mwaka huu kura ni kwa MAGUFULI.
 
Unajidanganya na kujifariji. Unaota ndoto za mchana hakika
Mkuu tuombe uzima.
huwezi kuwanyang'anya chama wenye chama ukawapa waKuja halafu eti utegemee wenye chama wakupiganie!! mbaya zaidi wenye chama ndo walikuweka hapo kwa nguvu kubwa halafu eti baadaye unawadhihaki na kuwadunisha utegemee kura zao? hilo sahau mkuu. kulikon hivo si ni heri waharibu hata hizo kura!!!!
 
Back
Top Bottom