Membe nani ACT Wazalendo..Maalim kaja na mamilioni ya watu..Fikra za mwenyekiti hazipingwi..hiyo video hapo juu ni jana ZNZ
nan kakwambia hapigi kampeniMkuu anafanya hivyo kukwepa sheria ya NEC. Wewe jiulize kwa nini hapigi kampeni?.
Hapo sasampaka huu mwezi unaisha utakua ushaizimia kisaikolojia, hio ni latest official statement ya membe na yeye ndo aliopewa ridhaa na nec, wewe unataka kubishana na membe?
Yani mi napata burudani ya moyoHali ya CCM ni mbaya sana. Watu hawamtaki magufuli mchana kweupe. Historia kuu inaenda kuandikwa Tanzania mwaka huu
Well-wishing. Let it come true as signs indicate.Hadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahiri sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart CCM.
Mwaka huu Historia Kuu inaenda kuandikwa Tanzania.
Tundu Antiphas Lissu Raisi Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025
Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020- 2025.
A silent lion catches the antelope.Kwa hili sasa nimeamini kuwa Membe hayupo upinzani kimkakati zidi ya upinzani bali ana nia ya kweli ya mabadiriko kitaifa.
Very outsmarting strategy
Hadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahiri sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart CCM.
Mwaka huu Historia Kuu inaenda kuandikwa Tanzania.
Tundu Antiphas Lissu Raisi Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025
Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020- 2025.
Labda upinzani wa chumbani kwako!!Usiache pia kurudi kuandika hapa utakapoona historia inaandikwa ya upinzani kukosa hata kura milioni 2 kati ya kura zote zaidi ya milioni 20. Watanzania wameamua kuendelea na JPM
Hahahaha dahVipi kuhusu Jasusi bobevu la kimataifa?
Ruzuku watakula wapemba au woteMaalim Seif kaizika ACT wazalendo huku Tanzania bara. Zitto imekula kwake. Hakutakuwa na mbunge hata mmoja huku bara wa ACT wazalendo. Chama hiki sasa kimeshachukuliwa rasmu na wapemba.
Ruzuku watakula wapemba tu na Zitto atakuwa kama alivyokuwa Lipumba. Mamlaka ya ACT yatakuwa chini ya Mzee Mandevu ambaye pia atakuwa makamu wa kwanza wa rais huko Zanzibar.Ruzuku watakula wapemba au wote
Muongo wewe !Maalim Seif kaizika ACT wazalendo huku Tanzania bara. Zitto imekula kwake. Hakutakuwa na mbunge hata mmoja huku bara wa ACT wazalendo. Chama hiki sasa kimeshachukuliwa rasmu na wapemba.
Hilo jina lako haliendani na pumba unazomwaga humu kwaniniRuzuku watakula wapemba tu na Zitto atakuwa kama alivyokuwa Lipumba. Mamlaka ya ACT yatakuwa chini ya Mzee Mandevu ambaye pia atakuwa makamu wa kwanza wa rais huko Zanzibar.
Acheni kujidanganya. Hivi Mtanzania wa sasa nini kitamshawishi ampigie kura TL? Utetezi wa ushoga na kuwakumbatia mabeberu wanaotaka kuja kupora mali zetu?? Mtu anayebeza juhudi za kupaisha maendeleo ya watu kwa kuendeleza miundombinu ya umeme, maji, SGR, barabara, n.k.???? Anafikiri sisi ni majuha hatujui kwamba maendeleo ya vitu ndiyo yataleta maendeleo ya watu!!! Mtu ambaye ana uraia wa nchi za nje akishawishi fujo ianze yeye atakimbilia Belgium!!CCM na NEC yao wanajua hilo. Ndio maana wanajifanya kuacha habari za walinzani zitangazwe bila bugudha ila mchezo wote upo kwenye kudoctor kura. Utashangaa sana.
Baada ya uchaguzi huu inabidi muundo wa NEC ufanyiwe major overhaul ili chaguzi ziwe na tija huko mbele ya safari.