Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Nimeshiriki figisu figusu za uchaguzi mkuu kuanzia mwaka 2000 hadi 2010, sikuwahi kupiga kura.

Lakini mwaka huu, nikijaaliwa afya njema nitampigia Lissu, siwezi kuishi na mateso haya ya Magufuli kwa miaka 5 mingine. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Maombi yako yamepokelewa.
 
Upinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.
Mnafanya kampeni za nini?
IMG_20200921_204816.jpg
 
Hadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahiri sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart CCM.

Mwaka huu Historia Kuu inaenda kuandikwa Tanzania.

Tundu Antiphas Lissu Raisi Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025

Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020- 2025.
Inaenda kuandikwa ya upinzani kuangukia pua kuliko wakati wowote katika history ya nchi hii.
 
Hizi ndio kampeni za kisayansi sasa sio zile za kupakia watu kwenye malori na kuwakemea wapiga kura
Ni vema wakapakiwa watu wazima ambao kisheria ni wapiga kura. Picha nyingi za mikutano huwaonesha na watoto wadogo. Jana mh Magufuli Tabora walikuwepo na wanafunzi. Shule zilifungwa!
 
Wananchi watachukua, wataweka, waaaa

Ninahisi Mbowe, Mnyika na Msigwa watampigia Magufuli
 
Back
Top Bottom