Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
SawaHuyu Mzee ni fundi wa siasa zenye mashiko, ninaamini hata akiwa rais wa Zanzibar ataivusha mbali Zanzibar tofauti na hao wanaorithishwa vyeo na familia zao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHuyu Mzee ni fundi wa siasa zenye mashiko, ninaamini hata akiwa rais wa Zanzibar ataivusha mbali Zanzibar tofauti na hao wanaorithishwa vyeo na familia zao!
Je ukiambiwa uthibitishe hilo unaweza kuthibitisha? Hivi kwa akili ya kawaida yani mtu uhonge kwa miaka 20 yote hiyo watu wakuangalie tu inachekesha.Kuwakata Wagombea wa Upinzani na kuwahonga ili wajitoe ni halali?
Tayari Hawa wanabifu. Maana Membe amekanusha hii taarifa ya kuunga mkono Chadema.RASMI: ACT-WAZALENDO YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CHADEMA
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad ametangaza chama chao kumuidhinisha Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Maalim Seif ameyasema hayo saa chache zilizopita akiwa kwenye Kampeni katika Jimbo la Donge.
View attachment 1576741
Msemaji wa ACT-Wazalendo ameithibitishia JamiiForums kuwa huu ndio msimamo wa chama.
Mapema mwezi huu, Lissu alitangaza kumuunga mkono Maalim Seif akisema Chama cha ACT-Wazalendo kinaweza kuiondoa CCM madarakani visiwani Zanzibar
View attachment 1576754
keshasepa muda mreeefuuuuuuuuuuVipi kuhusu Jasusi bobevu la kimataifa?
Je ukiambiwa uthibitishe hilo unaweza kuthibitisha? Hivi kwa akili ya kawaida yani mtu uhonge kwa miaka 20 yote hiyo watu wakuangalie tu inachekesha.Kuwakata Wagombea wa Upinzani na kuwahonga ili wajitoe ni halali?
Mtu sahihi ni yule anayeamini katika ukweli, sasa kama wewe unaamini katika kudanganya, ninayo imani kuwa hata huyo unayemuamini na kupmigia promo atakuwa muongo muongo kama wewe tu, maana ndege wafananao mbawa huruka pamoja endeleeni kuwadanganya watu ila oktoba habari mtaipata.Mkuu naona umeweka na kajina kabisa, pambana mkuu uenda ikitokea mgombea wenu akifanikiwa utakumbukwa katika uteuzi
Karatas za kura zilishaprintiwa au bado? Inawezekana kajitoa lkn katika karatas ya kura bado yumoHadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahiri sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart CCM.
Mwaka huu Historia Kuu inaenda kuandikwa Tanzania.
Tundu Antiphas Lissu Raisi Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025
Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020- 2025.
Ni watanzania pia, maana chato sio Kenya wala Ubelgiji, chato nayo ni Tanzania nawanaoishi ni watanzania.
Yeye hapigi kampein Bali anafoka kwa hasira baada ya kuona wajanja wamempiga hela kwa hoja ya kuingia mkono juhudikampeni kutimiza wajibu tu... 92% foshoo[emoji3]
Wasanii ni burudani za kawaida...
Viva Magu 2020 to 2030
Heil the JPM
Vipofu wanaona... viwete wanatembea[emoji3][emoji3]Yeye hapigi kampein Bali anafoka kwa hasira baada ya kuona wajanja wamempiga hela kwa hoja ya kuingia mkono juhudi
Consultant yuko sahihi. Maalim Seif na Tundu Lissu watashinda lakini hawatakabidhiwa. Ili wakabidhiwe tunahitaji Tume HURU ya Uchaguzi.Ben aombe msamaha arudi nyumbani
RASMI: ACT-WAZALENDO YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CHADEMA
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad ametangaza chama chao kumuidhinisha Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Maalim Seif ameyasema hayo saa chache zilizopita akiwa kwenye Kampeni katika Jimbo la Donge.
View attachment 1576741
Msemaji wa ACT-Wazalendo ameithibitishia JamiiForums kuwa huu ndio msimamo wa chama.
Mapema mwezi huu, Lissu alitangaza kumuunga mkono Maalim Seif akisema Chama cha ACT-Wazalendo kinaweza kuiondoa CCM madarakani visiwani Zanzibar
View attachment 1576754
WeuweeeeeHabari ndio hiyo.tujiandae Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chadema Bwana Tundu Lissu kuungwa mkono na vyama vingine vya upinzani.
View attachment 1577025