Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

RASMI: ACT-WAZALENDO YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CHADEMA

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad ametangaza chama chao kumuidhinisha Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Maalim Seif ameyasema hayo saa chache zilizopita akiwa kwenye Kampeni katika Jimbo la Donge.



View attachment 1576741


Msemaji wa ACT-Wazalendo ameithibitishia JamiiForums kuwa huu ndio msimamo wa chama.

Mapema mwezi huu, Lissu alitangaza kumuunga mkono Maalim Seif akisema Chama cha ACT-Wazalendo kinaweza kuiondoa CCM madarakani visiwani Zanzibar

View attachment 1576754
Tayari Hawa wanabifu. Maana Membe amekanusha hii taarifa ya kuunga mkono Chadema.
 
Kuwakata Wagombea wa Upinzani na kuwahonga ili wajitoe ni halali?
Je ukiambiwa uthibitishe hilo unaweza kuthibitisha? Hivi kwa akili ya kawaida yani mtu uhonge kwa miaka 20 yote hiyo watu wakuangalie tu inachekesha.
Mkuu naona umeweka na kajina kabisa, pambana mkuu uenda ikitokea mgombea wenu akifanikiwa utakumbukwa katika uteuzi
Mtu sahihi ni yule anayeamini katika ukweli, sasa kama wewe unaamini katika kudanganya, ninayo imani kuwa hata huyo unayemuamini na kupmigia promo atakuwa muongo muongo kama wewe tu, maana ndege wafananao mbawa huruka pamoja endeleeni kuwadanganya watu ila oktoba habari mtaipata.
 
Hadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahiri sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart CCM.

Mwaka huu Historia Kuu inaenda kuandikwa Tanzania.

Tundu Antiphas Lissu Raisi Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025

Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020- 2025.
Karatas za kura zilishaprintiwa au bado? Inawezekana kajitoa lkn katika karatas ya kura bado yumo
 
kampeni kutimiza wajibu tu... 92% foshoo[emoji3]

Wasanii ni burudani za kawaida...

Viva Magu 2020 to 2030

Heil the JPM
Yeye hapigi kampein Bali anafoka kwa hasira baada ya kuona wajanja wamempiga hela kwa hoja ya kuingia mkono juhudi
 
Mbona siwaelewi?
JamiiForums704975005.jpg
 
chadema mmeshavunja dole la mwisho mumebakiza dole la kati ...

kwa hio Membe chali ?
 
RASMI: ACT-WAZALENDO YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CHADEMA

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad ametangaza chama chao kumuidhinisha Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Maalim Seif ameyasema hayo saa chache zilizopita akiwa kwenye Kampeni katika Jimbo la Donge.



View attachment 1576741


Msemaji wa ACT-Wazalendo ameithibitishia JamiiForums kuwa huu ndio msimamo wa chama.

Mapema mwezi huu, Lissu alitangaza kumuunga mkono Maalim Seif akisema Chama cha ACT-Wazalendo kinaweza kuiondoa CCM madarakani visiwani Zanzibar

View attachment 1576754
 
Bwana yule lazima ampigie simu Ziraili amuulize kwanini hukumchukuwa huyu anae nisumbua kwenye kampeni za urais. 😂


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom